Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mabingwa wa Nchi ya Tanzania na Wawakilishi Pekee, Ligi ya Mabingwa Afrika Simba SC, baada ya kufuzu kuingia hatua ya robo fainali, Ungependa Simba SC apangwe na Timu Ipi kati ya Hizi hapa..?
Esperance de Tunis, CS Constantine, Tp Mazembe, Horoya, Mamelod Sandowns, Simba SC, Wydad Casablanca, Al Alhy.
Baada ya Kiulizo hicho, natumai wote ni wazima wa afya salama kabisa na mko na akili ya kawaida baada ya furaha ya ajabu siku ya Jumamosi pale ambapo Klabu ya Simba SC ikicheza kandanda safi la Kulipewa Mwana..Kulitaka Mwana, kandanda la kiwango cha juu, lenye kuvutia hadhira na pasi maridadi zilizothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF, walipoweza kuwacharaza Wakongo AS Vita Club na Washirika wao, ambao hawatakaa wasahau kilichowakuta Uwanja wa Taifa.
Kongole ziende kwa klabu nzima ya Simba SC kuanzia Viongozi, Benchi la Ufundi, Wachezaji, Wanachama, Mashabiki ambao walifanya kazi yao ipasavyo.
Hivyo basi, Kama wewe ni mshabiki na mwanachama na mdau wa soka huku tukisubiri droo ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kupangwa Machi 20, 2019 saa 2: 00 usiku Cairo nchini Misri ungependa Simba SC apangwe na Timu Ipi Hapa?
Kumbuka timu ambazo zimeongoza kwa alama kwenye kundi lao haziwezi kukutanishwa wala zile ambazo zimetoka kundi moja, mfano kama Simba SC hawezi kukutana na Alhy SC.
Esperance de Tunis, CS Constantine, Tp Mazembe, Horoya, Mamelod Sandowns, Simba SC, Wydad Casablanca, Al Alhy.
Baada ya Kiulizo hicho, natumai wote ni wazima wa afya salama kabisa na mko na akili ya kawaida baada ya furaha ya ajabu siku ya Jumamosi pale ambapo Klabu ya Simba SC ikicheza kandanda safi la Kulipewa Mwana..Kulitaka Mwana, kandanda la kiwango cha juu, lenye kuvutia hadhira na pasi maridadi zilizothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF, walipoweza kuwacharaza Wakongo AS Vita Club na Washirika wao, ambao hawatakaa wasahau kilichowakuta Uwanja wa Taifa.
Kongole ziende kwa klabu nzima ya Simba SC kuanzia Viongozi, Benchi la Ufundi, Wachezaji, Wanachama, Mashabiki ambao walifanya kazi yao ipasavyo.
Hivyo basi, Kama wewe ni mshabiki na mwanachama na mdau wa soka huku tukisubiri droo ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kupangwa Machi 20, 2019 saa 2: 00 usiku Cairo nchini Misri ungependa Simba SC apangwe na Timu Ipi Hapa?
Kumbuka timu ambazo zimeongoza kwa alama kwenye kundi lao haziwezi kukutanishwa wala zile ambazo zimetoka kundi moja, mfano kama Simba SC hawezi kukutana na Alhy SC.