Kuelekea robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, ungependa Simba SC apangwe na Timu Ipi Hapa

Kuelekea robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, ungependa Simba SC apangwe na Timu Ipi Hapa

Hakuna kulala...Tukutane uwanjani
IMG_20190320_224643_225.jpeg
 
REKODI MUHIMU KATIKA ROBO FAINALI.

1.Timu iliyofunga Magoli mengi ni TP MAZEMBE.Imefunga Goli 13 .
*
2.Timu iliyofungwa Magoli* mengi ni SIMBA.Imefungwa Goli *13 .

Huu ni Mpambano kati ya Forward hatari vs Beki dhaifu.
Mpaka sasa bado nasubiri kuona Vyura watapangwa na nani..Nipo radhi nikose usingizi lakini mpaka nishuhudie[emoji23][emoji23]

This Is Simba....SimbaNguvuMoja
 
Mechi za ugenini mmepigwa goli 13 na hamkushinda hata moja hakika huu nì msiba mzito
Hivi wale ndugu zako wauza Putulu nao wamepangwa nani?

Mnajua mnatusumbua aisee kutafuta droo yenu..SimbaNguvuMoja
 
Hivi wale ndugu zako wauza Putulu nao wamepangwa nani?

Mnajua mnatusumbua aisee kutafuta droo yenu..SimbaNguvuMoja
Mkuu chakufanya ni kutoa kafara kubwa kwa wanachama ila msiue albino wala watoto basí uweni mambumbumbi tu
 
Kuna walioahidi wake zao kuwa Simba inafungwa na inatolewa, lakini mwisho wa siku Mnyama alitoboa...Na wao tuliamua kuwasamehe, kwahivyo hana jipya nyie Hama hama FC..SimbaNguvuMoja

Wanaitwa Orchestre Le Tout Puissant 'Englebert' Mazembe
 
Wanaitwa Orchestre Le Tout Puissant 'Englebert' Mazembe... hawajawahi kuniangusha
Leo AS Vita mnawakataa.. Ama kweli jina la [emoji196][emoji196] linasadifu tabia zenu..endelea kuruka ruka

Simba mashine ya kazi...Simba Taifa Kubwa
 
Mwisho wa Simba ndio huu, mwanzoni aliwekewa kibinda mkoi, akanengua vizuri, CD imebadilishwa kawekewa ndombolo ya solo napo akichoropoka, basi arab de monde inamkata pumzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho wa Simba ndio huu, mwanzoni aliwekewa kibinda mkoi, akanengua vizuri, CD imebadilishwa kawekewa ndombolo ya solo napo akichoropoka, basi arab de monde inamkata pumzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie kila hatua mnatutabiria kushindwa..

Simba inasafisha takataka zote eleweni hivyo, lini mtaacha kujipendekeza [emoji196][emoji196]kwahivyo As Vita hawajui mpira mara hii?

This Is Simba SC
 
Kwa muongozo wa kanuni katika hatua hii ya robo fainali timu zilizo kuwa katika kundi moja haziwezi kukutana kwenye droo ya tarehe 20/3, pia timu zilizo maliza katika nafasi ya pili zitakutana na zile zilizo maliza katika nafasi ya kwanza, kwa mantiki hiyo Simba anatarajia kukutana na timu 3 tu ambazo ni TP mazembe, ESPERANCE na WYDAD CASABLANCA.
Kwa maoni yangu bora Simba ipangwe na Tp Mazembe

Sent using Jamii Forums mobile app
Yametimia mkuu.. Tusubiri tukutane uwanjani, SimbaNguvuMoja
 
Mpaka sasa bado nasubiri kuona Vyura watapangwa na nani..Nipo radhi nikose usingizi lakini mpaka nishuhudie[emoji23][emoji23]

This Is Simba....SimbaNguvuMoja

tulia vibonde nyie... na sasa hv mnaanzia nyumbani tutawaoza na kuchukua mahari kabisa.
 
Back
Top Bottom