Kuelekea robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, ungependa Simba SC apangwe na Timu Ipi Hapa

Umeshaanza vikao na Tp Mazembe?
tulia vibonde nyie... na sasa hv mnaanzia nyumbani tutawaoza na kuchukua mahari kabisa.
Kujipendekeza FC...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Endeleeni kujipendekeza kwa hizo timu, lakini Simba ataendelea kuwakausha damu pamoja kizazi hadi msizae kabisa[emoji23][emoji23]

Mwana Kulipewa...Kulitaka Mwana
MUDA UTASEMA...MSIDHANI TP MAZEMBE NI AS VITA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…