Kama watz tuliowengi tunataka amani ibaki, idumu na iendelee kudumu.
Mataifa mbalimbali hutafuta amani kwa njia ya gahrama kubwa.tz mungu ametupa.
kitendo cha wanaharakati kuanza kupayuka kuhusu amani yetu kinatutia mashaka
watu wenye kutunza amani ni vyombo vya usalama.
baadhi ya nchi wanaharakati huwa ndio chanzo cha migogoro na kuhatarisha amani.
baadhi ya mataifa wanaharakati wamewekewa sheria kali.
baadhi ya nchi baadhi ya taaisisi za wanaharakati zimefungwa.
nadhani sisi watz wenye amani tusifike Huko. lkn na sisi watz wanyonge tunaotaka amani tusikilizwe na wanaharakati. tunataka amani ilindwe na vyombo vyetu vya usalama.
leo hii kuna mtanzania anashatkiwa marekani. hakuna mwanaharakati aliejitokeza kuzungumza, hakuna alienyanyua mdomo. huyo ni mtanzania, amezaliwa tanzania