haya. na jeshi letu ndio maana linajizatit kupambana na wakorofi yaani chadema.
thanks jeshi letu
Ongea na kamanda SHIMBO ahakikishe anarudi huyo Ghailani unayemtetea. Naamini jeshi linaweza kumrudisha wakitaka ila kwa kuwa macho ya jeshi yamehamia ndani ya tanzania na siyo nje, usisubiri wanaharakati kumpigia chapuo mtu ambaye ameamua kwa hiari yake kuviolate sheria za kimataifasasa hapo ndipo mnaponiacha hioi? unauhakika gani alifanya yeye? sasa kama mnapiga kelele hizo? kwanini jeshi letu liszuie machafuko?
Kama watz tuliowengi tunataka amani ibaki, idumu na iendelee kudumu.
Mataifa mbalimbali hutafuta amani kwa njia ya gahrama kubwa.tz mungu ametupa.
kitendo cha wanaharakati kuanza kupayuka kuhusu amani yetu kinatutia mashaka
watu wenye kutunza amani ni vyombo vya usalama.
baadhi ya nchi wanaharakati huwa ndio chanzo cha migogoro na kuhatarisha amani.
baadhi ya mataifa wanaharakati wamewekewa sheria kali.
baadhi ya nchi baadhi ya taaisisi za wanaharakati zimefungwa.
nadhani sisi watz wenye amani tusifike Huko. lkn na sisi watz wanyonge tunaotaka amani tusikilizwe na wanaharakati. tunataka amani ilindwe na vyombo vyetu vya usalama.
leo hii kuna mtanzania anashatkiwa marekani. hakuna mwanaharakati aliejitokeza kuzungumza, hakuna alienyanyua mdomo. huyo ni mtanzania, amezaliwa tanzania
Wewe na Malaria Sugu ndio hamuelewi, acheni watu wenye akili timamu waendelee kutetea haki inayoporwa na CCM wakisaidiwa na vyombo vya usalama na wagonjwa kama ninyiTamko la wanausalama linaeleweka vzr ila ni hao wanaojiita wanaharakati hawakulielewa na wameamua kulitafsiri vibaya. Hizi siyo civil societies ni vyama vya siasa. Wanajeshi wanahusika pia na usalama wa raia ndiyo maana hata wakati wa maafa wanajishughulisha na uokoaji. Kwenye tamko lao wamewaonya wanaotaka kuleta vurugu na siyo kuingilia uchaguzi. MSITUCHANGANYE!
Kama watz tuliowengi tunataka amani ibaki, idumu na iendelee kudumu.
Mataifa mbalimbali hutafuta amani kwa njia ya gahrama kubwa.tz mungu ametupa.
kitendo cha wanaharakati kuanza kupayuka kuhusu amani yetu kinatutia mashaka
watu wenye kutunza amani ni vyombo vya usalama.
baadhi ya nchi wanaharakati huwa ndio chanzo cha migogoro na kuhatarisha amani.
baadhi ya mataifa wanaharakati wamewekewa sheria kali.
baadhi ya nchi baadhi ya taaisisi za wanaharakati zimefungwa.
nadhani sisi watz wenye amani tusifike Huko. lkn na sisi watz wanyonge tunaotaka amani tusikilizwe na wanaharakati. tunataka amani ilindwe na vyombo vyetu vya usalama.
leo hii kuna mtanzania anashatkiwa marekani. hakuna anaefuatilia na angalau tu kutoa tamko.
hawa ndio wanaharakati wetu. sitaki niamini kama wanafanya kazi kwa shindikizo
Kama watz tuliowengi tunataka amani ibaki, idumu na iendelee kudumu.
Mataifa mbalimbali hutafuta amani kwa njia ya gahrama kubwa.tz mungu ametupa.
kitendo cha wanaharakati kuanza kupayuka kuhusu amani yetu kinatutia mashaka
watu wenye kutunza amani ni vyombo vya usalama.
baadhi ya nchi wanaharakati huwa ndio chanzo cha migogoro na kuhatarisha amani.
baadhi ya mataifa wanaharakati wamewekewa sheria kali.
baadhi ya nchi baadhi ya taaisisi za wanaharakati zimefungwa.
nadhani sisi watz wenye amani tusifike Huko. lkn na sisi watz wanyonge tunaotaka amani tusikilizwe na wanaharakati. tunataka amani ilindwe na vyombo vyetu vya usalama.
leo hii kuna mtanzania anashatkiwa marekani. hakuna anaefuatilia na angalau tu kutoa tamko.
hawa ndio wanaharakati wetu. sitaki niamini kama wanafanya kazi kwa shindikizo
Kama watz tuliowengi tunataka amani ibaki, idumu na iendelee kudumu.
Mataifa mbalimbali hutafuta amani kwa njia ya gahrama kubwa.tz mungu ametupa.
kitendo cha wanaharakati kuanza kupayuka kuhusu amani yetu kinatutia mashaka
watu wenye kutunza amani ni vyombo vya usalama.
baadhi ya nchi wanaharakati huwa ndio chanzo cha migogoro na kuhatarisha amani.
baadhi ya mataifa wanaharakati wamewekewa sheria kali.
baadhi ya nchi baadhi ya taaisisi za wanaharakati zimefungwa.
nadhani sisi watz wenye amani tusifike Huko. lkn na sisi watz wanyonge tunaotaka amani tusikilizwe na wanaharakati. tunataka amani ilindwe na vyombo vyetu vya usalama.
leo hii kuna mtanzania anashatkiwa marekani. hakuna anaefuatilia na angalau tu kutoa tamko.
hawa ndio wanaharakati wetu. sitaki niamini kama wanafanya kazi kwa shindikizo
ni wazi kwamba wanharakati hufanya kazi kwa shindikizo
Yaani Pumba nyingi kwenye JF hutoka kwa Malaria Sugu.!!!
:llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama::llama: