Elections 2010 Kuelekea uchaguzi: Jeshi lawatisha wananchi

Elections 2010 Kuelekea uchaguzi: Jeshi lawatisha wananchi

tumkumbushe tu huyu mkuu wa majeshi yale yaliotokea TIANANMEN SQUARE nchini china...! kijana mmoja alisimamisha vifaru vinne..!!
watu wakifikia POINT OF NO RETU
RN huwezi ukawatisha kwa lolote
 

Attachments

  • tiananmen-square-hero.jpg
    tiananmen-square-hero.jpg
    19.3 KB · Views: 73
Wameona hawajapigana muda mrefu toka Idd Amin sasa wanataka kuanzisha vita na wananchi wanaowalinda. Ila hawa jamaa si wapo jirani na yule mwenye kipetupetu inawezekana jamaa kamtangazia kuingia msituni kama Makame akimzingua kumtangaza!!! Hahaaa, kanyaga twende no retreat no slender"
ndiyo nini hicho mkuu
 
[FONT=Arial, sans-serif]Vyombo vya ulinzi na usalama nchini Tanzania vimewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu yatakayotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi NEC na kutothubutu kupinga matokeo hayo na kusababisha vurugu.[/FON

.[/SIZE][/FONT]

Hata kama tume itatangaza utumbo wananchi wakubali tu????? Afande Simbo amka its time for liberation. Kama tume italeta madudu kupindisha matokeo itakuwa imewadhulumu wananchi na wananchi watakuwa na haki ya kuyakataa na wala sio vyama vya siasa.

Na ninyi kama jeshi ni Lazima mheshimu matakwa ya wananchi kama walivyoamua kupitia kwenye sanduku la kura.
 
Hii kauli ya shimbo inakihusu zaidi chama cha ccm kwani ndio chama chenye kauli mbiu kwamba ushindi ni lazima. Maana yake ni kwamba hata wakishindwa hawapo tayari kukubali matokeo. Ccm mwaka huu imeshikwa pabaya kiwewe kimewaingia, hawawezi tena hata kupambanua lipi ni lipi. Jeshi la Tz ni la wananchi hivyo halina budi kuyaheshimu matakwa ya wananchi. Likinasa katika mtego wa kikundi cha watawala wachache basi lijue linakosa ridhaa ya wananchi na hivyo lijiondoe kabla ya kuondolewa na nguvu za wananchi hao hao.

Hapo ndipo unapokosea kuzani jesha la sasa la TZ ni la wananchi, labda kuruta wake tu; wakubwa wote ni kina-KOMBA
sema tumechoka tu, bora watuumize lakini ujumbe utakuwa umefika
 
Huyu jamaa anajiandaa kugombeaa ubunge hivi ndio maana ameanza kujiingiza katika mambo haya mapema.Jeshi la kulinda usalama wa raia lipo yeye anasema kama nani?Kwani tuna vita na nchi jirani?
 
mimi nasema,hatudanganyiki,hawa baba zetu,wengine vijana wenzetu,wengine wenye umri kama babu zet,woooooote wanataka kutudhulumu haki zetu,mimi nasema haaaaaatudhulumiwi,hata kwa mapanga tutapambana na shimbo
 
kama kikwete si sehemu ya suala hili, basi atalitolea tamko kama raisi, lakini kama na yeye kama Amiri jeshi mkuu ana husika na kutaka kuwanyima watanzania haki yao ataungana na kauli potofu ya chief of staff
 
Peace cannot be kept by force. It can only be achieved by understanding.

~Albert Einstein
 
Kila kitu kina mwisho wake, HAKI HUVUNJA MILIMA. Makaburu waliondoka na leo hii wanawapigia salute wale wale waliokuwa wanawanyanyasa na kuwabeza.
Shimbo na wenzake hawatasimama pale tutakapoanza kudai haki yetu.
 
Hapo ndipo unapokosea kuzani jesha la sasa la TZ ni la wananchi, labda kuruta wake tu; wakubwa wote ni kina-KOMBA
sema tumechoka tu, bora watuumize lakini ujumbe utakuwa umefika

.
Mkuu unamaanisha wakubwa woote wana vitambi? Sasa kweli mjeshi na kitamba wapi na wapi. Komba yeye ni mwanakwaya, basi uhalisia ni kwamba kuruta ndio true soldier!
 
Kwa kawaida Amani ipo tu,huwa hailetwi na wala ccm wasidanganye kuwa wameleta au wanadumisha Amani. Kinacholetwa ni machafuko na uvunjaji wa amani. Uroho wa madaraka na ubinafsi huchangia uvunjaji wa amani.
Sasa kuna kila dalili kuwa Kuna watu hawathamini maisha. Wamedanganya,wameshindwa,maji yako shingoni na sasa wameamua kutawala hata kwa kuangamiza maisha.
Sitaki kuamini kuwa Dezo ndo imemfikisha Shimbo hapo,amezoea maisha rahisi, kule kambini kila kitu bei chee no matter who will be the next Pres.maisha hayo yatakuwepo tu,asiwe na wasiwasi. Kuna kitu zaidi hapo. Sasa WaTZ huenda tukapata mtawala wa kijeshi muda mfupi baada ya Rais wa 5 JMT kuapishwa hapo Novemba.
 
Wana JF,

Mie sioni dalili yoyote ya vita bali vurugu za hapa na pale tuu ndio zaweza tokea, Sielewi jeshi latokea wapi kura tuuu ndio zifanye Jeshi kutoa tahadhari?? hawajwasaidia wezao police kuzuia ujambazi na uhalamia wa majini huko na wanowinda wanyama porini jamani lets get this streaght uchaguzi utafanyika vyema tuuu ila najua kuibiana kwenye kura ndio kuta kuwa kukubwa sana ati.

Nime gundua kwenye siasa ndipo watu wanajitoa makucha ila kwenye issue kama EPA,MEREMETA,KAGODA watu hawasemi na JESHI lilikuwa wapi kusema nchi inakokwenda siko viongozi wanafuja mali ya nchi? why now during the election ndio watoe tamkooo??
 
Who the hell is Shimbo????????? mwambieni aende Mogadishu / Darfur / Afghanistan / Pakistan / Iraq kama mikono na akili inawasha sana. kule ndiyo hakuna amani kwa sasa na inahitajisha sana.

Umemsikia Jenerali wa Jeshi mwamnyange ameongea??? Hapana!!! je kwa nini???? anajua ukweli wa mambo na hali ngumu ya kiuchumi ya nchi na hata mafisadi kuongezeka na pia yeye ni mmoja ya wanajeshi wasomi... hivyo hawezi kubwatuka kaka huyu Shimbo aka shombo.

Tanzania hakuna vita wala nini kwa nini tusipinge matokeo wakati tunajua CCM watachachua.. Demokrasia iko wapi kama mambo hayaendi vizuri??? Kwa kifupi kama wanaona vipi wamwambie JK aachie ngazi kabla ya 31 Octoba. yaani ni kusema hatutaki wala hatuendekezi sera wala maoni wala mtazamo wa wagombea wala viongozi wa kifisadi wa CCM.

Huyo Shimbo anapiga debe ili akistaafu apewe Ukuu wa wilaya au mkoa au ubalozi... sasa anajua CCM ikishinda hivi vyeo vyote havipo hapo ndipo tumbua limapoingia Mchanga... Mzee kula jasho lako la halali..

Kazi ya utulivu wa ndani ni ya Polisi na hayo maneno alitakiwa ayatoe Inspecta Mwema, ila unajua kwa nini hayatoi ni kwasababu anajua ukweli wa mambo hali ngumu ya maisha kwa polisi wake na hakuna mwelekeo wa kubadilika kama CCM ikiendelea. Polisi wanaishi kule kwenye vi hotpot askari 7 vitanda viwili je hayo ni maisha???????? mishahara yenyewe mibovu.. Kwa taarifa yenu nyie CCM hata polisi wanataka mabadiliko.. Njoo huku CCP moshi uone vijana wanavyopiga kampeni za chadema kwa mbele....


JWTZ & JKT wao waangalie mipaka yetu hicho ndicho wanacholipwa na kodi ya wavuja jasho... Suala la Kumchagua mgombea ni la wananchi na Mungu na Mwenye heri Nyerere watabariki mabadiliko..


AACHE KUTUTISHIA HUYO SHOMBO, CCM SIYO MUNGU WA TANZANIA, NA SIYO LAZIMA WATAWALE MIAKO YOTE, 49 INATOSHA.

VIVA CHADEMA VIVA SLAA.. GO GO GO ALE ALE ALE GO GO GO ALE ALE ALE

PEOPLE EEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR.


ALUTA KONTINUE MAPAMBANO YANAENDELEA CCM BYEEEEEEEEEEEEE!!!! SEE YOU IN HELL!!!!

VOTE FOR SLAA FOR DEVELOPMENT TO THIS COUNTRY
 
Wana JF,

Mie sioni dalili yoyote ya vita bali vurugu za hapa na pale tuu ndio zaweza tokea, Sielewi jeshi latokea wapi kura tuuu ndio zifanye Jeshi kutoa tahadhari?? hawajwasaidia wezao police kuzuia ujambazi na uhalamia wa majini huko na wanowinda wanyama porini jamani lets get this streaght uchaguzi utafanyika vyema tuuu ila najua kuibiana kwenye kura ndio kuta kuwa kukubwa sana ati.

Nime gundua kwenye siasa ndipo watu wanajitoa makucha ila kwenye issue kama EPA,MEREMETA,KAGODA watu hawasemi na JESHI lilikuwa wapi kusema nchi inakokwenda siko viongozi wanafuja mali ya nchi? why now during the election ndio watoe tamkooo??

Umesahau issue ya radar na helikopta mitumba nadhani afande angeanzia huko
 
Wala hakuna vita ... Mchezo unachezwa hapa ni WINING THROUGH INTIMIDATION... yaani unapigwa mkwara very calculated ... watu wakishaogopa ..huwa watiifu kiana...!! Intimidator ..anatumia media and all what is on his reach... Kuanzia sheigh yahaya ..hadi jeshi nk

Watz?

Definetly wata give in ...and no war ...just utiifu wa woga kama kawaida!!!
 
Hii ni aibu kubwa sana
Kwa maadili ya taifa la Tanzania Generali hapaswi kuzungumzia chochote kuhusu uchaguzi na badala yake asubiri wananchi wamchague raisi wao na yeye asubiri kupangiwa majukumu na raisi Dr Slaa.

Generali shimbo najua una familia, ndugu jamaa na marafiki wanaoihitaji amani ya kweli. Hizo kauli zako hazitutishi watanzania na badala yake zinatupa morali wa kupambana hadi tone la mwisho la damu endapo haki yetu itadhulumiwa.
Ukijidai kutumia mabavu uliyonayo amani ya nchi hii itapotea na ni bora ipotee kuliko kuendelea kukandamizwa na mafisadi wachache ambao matumbo yao yamejaa dhuluma na ni wauaji wakubwa.
 
[FONT=Arial, sans-serif]Hii nimeipata sasa hivi
[/FONT]
[FONT=Arial, sans-serif]
[/FONT]
[FONT=Arial, sans-serif]Vyombo vya ulinzi na usalama nchini Tanzania vimewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kukubali matokeo ya uchaguzi mkuu yatakayotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi NEC na kutothubutu kupinga matokeo hayo na kusababisha vurugu.[/FONT]


[FONT=Arial, sans-serif]Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Luteni Jenerali Abdurahmani Shimbo ametoa tamko hilo leo Jijini Dar-Es-Salaam kufuatia kuwepo kwa taarifa za vyama vya kisiasa kujiandaa kukataa matokeo yatakayotangazwa na tume ya uchaguzi. [/FONT]


[FONT=Arial, sans-serif]Luteni Jenerali Shimbo amesema vyombo vya usalama vimejipanga kukabiliana na hali yoyote ya vurugu ambayo itajitokeza na kuwaonya watu kutoshiriki katika vurugu zozote baada ya kutangazwa matokeo.[/FONT]

SWALI KWA Lt.Jn Shimbo: mmejiandaaje kuzuia wizi wa kura??? Na suala hili la mkwara mnaopiga sasa ni nani kawatuma???au ni mmoja wa wagombea....JK ambaye haamini kabisa kama anaweza kuanguka...... tena kuanguka kwa kishindo???????

Kwa hali halisi hata watanzania wengi wanaokipinga Chama Cha Mafisadi bado mioyoni mwao wanaamini kitashinda, kwa kuwa watanzania wengi sio watafiti bali ni wafuata upepo hasa wa vyombo vya habari ambavyo vingi na sio vyote.....vingi viko mikononi mwa JK(woga wa hatimaye)...vingine mifukoni(takrima).

Mwaka 2005 kwa jinsi Mbowe wa Chadema alivyokuwa akikubalika hata kunguru tu wanajua kuna jambo lilifanyika kumpa JK ushindi wa kishindo......na hakukuwa na kupinga matokeo.. Mwaka 1995 Mrema alishinda( Hizi ni nyaraka za siri ndani ya TISS) na bado wizi ulifanyika na hata Mrema mwenyewe ambaye anaramba fungus za kwenye vidole vya JK analijua hilo....ila nani angemwamini?????Hakukuwa na kupinga uchaguzi kwa vurugu au fujo.

Mwaka 2010 kutokana na historia ilivyo isingekuwa shida kuiba na bado hakuna ambaye angepinga, isipokuwa CCM inajua HATUDANGANYIKI, hivyo wanajijua kabisa hawataweza kuiba kiasi cha kumtosha JK kushinda. Dr Slaa atatangazwa na NEC kushinda kiti cha urais na mpango kabambe umeandaliwa kuhakikisha kuwa TISS hawaingilii isivyo halali matokeo ya kweli ya kiti cha urais.

Kwa hiyo Shimbo hapa unampiga mkwara bosi wako huyo huyo aliyekutuma.....HATA HIVYO UKWELI NI KUWA JWTZ WENYEWE HAWAMTAKI JK...BASI TU HEKIMA TU INATUMIKA. LAKINI 2010 CCM NJEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!
 
Loh! Kuona tu maji shingoni CCM sasa inatumia majenerali wa jeshi kuingilia na kutisha wananchi! Haijawahi kutokea! Inatia hofu kubwa kwa mustakabali wa nchi yetu -- chama tawala kuomba msaada wa jeshi? Mwaka huu tutaona mengi. Mi nadhani hata Slaa akishinda jeshi litaingilia kati on behalf of ruling party. Wameanza kuonyesha azma hiyo.
 
Back
Top Bottom