Unajua utawala wa JK umekuwa kama ulimwengu wa Kambale ata kakambale kadogo nako kanazaliwa kana tundevu.
Yaani hakuna discipline kabsaaaaaaaaaaaa.
Yaani mtu akishahongwa anabwabwaja tuu bila kujari anaongea nini na wapi?
Kama mna hamu ya kupigana si mwende somali au sudani.
Naona tukishazipiga Tz ndo discipline itakuwepo
Mhariri aseme yake, yule Hiza aseme na huyu naye aseme, na mwanae nae aseme, orodha ni ndefu mno.
