Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwa hiyo tuanze kupewa jibu la swali langu kwanza au tumuache asijibu tumrukie Mbowe kwa swali lako lililokuja baadaye?Huyo ni kama Chacha Wangwe tu!! Aulizwe Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tuanze kupewa jibu la swali langu kwanza au tumuache asijibu tumrukie Mbowe kwa swali lako lililokuja baadaye?Huyo ni kama Chacha Wangwe tu!! Aulizwe Mbowe
President Nyerere ni strong stateman na SIO ICON,nchi nyingi zinafanya chaguzi zake mwaka huu,ninaufuatilia uchaguzi wa SA hapo 29th May,campaigns zenye uhuru zimetamalaki na nimeshangaa political parties wana list za wapiga kura waliojiandikisha kwa kila eneo ndani ya SA,mfano wakifika hapa lingusenguse kwenye address yangu tayari wana majina yote wanaoishi kwenye address hii waliojiandikisha na wanaomba kuongea nao kwa majina ili kuuza sera zao !!,Tanzania hii ujinga bado umetamalaki mno na mbaya umekorogwa na uoga wa kizuzuKuleta nukuu za Nyerere hapa ndipo ulipovuruga. Nyerere ndiye aliyetuletea CCM, chama ambacho kimetufisha hapa Watanzania. Ni bora tungeendelea kutawaliwa na wakoloni baadae tupate uhuru halisi kuliko uhuru wa Nyerere uliojaa magumashi 🤔