Iwe lowasa au cdm ila unajua nini kiliwakuta?Lowasa ndio aliefanya sio hao Cha Domo,na lowasa alitoka CCM na huo mpango na alivyoondoka alifia mbali wataweza wapi Wana Sacco's?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe lowasa au cdm ila unajua nini kiliwakuta?Lowasa ndio aliefanya sio hao Cha Domo,na lowasa alitoka CCM na huo mpango na alivyoondoka alifia mbali wataweza wapi Wana Sacco's?
Ni juu Yao kilicho wakuta sitaki hata kujua[emoji23][emoji1787]Iwe lowasa au cdm ila unajua nini kiliwakuta?
Ukweli upi unaoujua? Wakati lowasa amekodishiwa Sacco's ndio aliyekuja na huu mpango katoka nao CCM alivyoondoka mpango ukajifia kifo Cha mende,Sasa ukisema Cha Domo ndio walikuja na huo mpango nakuona hata chadema yenyewe huijui na ndio nikaona nikucheke tu [emoji23][emoji1787][emoji2960]Unaishia kujichekesha baada ya kuona umepewa ukweli ambao ulikuwa huujui!Vijana wa juzi mnakurupuka tu kwa mambo msiyoyajua!shame
Polisi ilivamia ile kituo dogoUkweli upi unaoujua? Wakati lowasa amekodishiwa Sacco's ndio aliyekuja na huu mpango katoka nao CCM alivyoondoka mpango ukajifia kifo Cha mende,Sasa ukisema Cha Domo ndio walikuja na huo mpango nakuona hata chadema yenyewe huijui na ndio nikaona nikucheke tu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
[emoji3][emoji3]Interview zilifanyika lini, make naona tayari kuna wafanyakazi!
Ukiangalia unakuwaje?Huwa siwezi kuangalia habari na mapicha ya CCM kama immediately nimetoka kula.
Eti makamu wa rais Salum Mwalimu! Uzezeta huu sijui CDM mtaacha lini.Copy na kupaste kutoka chadema digitali, hizi information centre chadema imeanzisha since 2010 ila polis huzivamiaga kila uchaguz na kuweka watu ndan
Published on Aug 17, 2020
KUELEKEA UCHAGUZI, CCM YATESTI MITAMBO! ONA DKT BASHIRU ALIVYOZINDUA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA... Kuelekea Uchaguzi mkuu 2020 Chama cha mapinduzi kimezindua kituo maalum cha mawasiliano lengo kuu likiwa ni kuhakikisha wanakuwa na mawasiliano ya karibu na wanachama na watendaji wa chama icho Katika kipindi cha uchaguzi mkuu Akizingumza mapema leo jiji Dodoma katibu mkuu wa ccm Dkt bashiru ally amesema kuwa mfumo huu ni matokeo ya uboreshaji wa utendaji na kuwasiliana na wanachama ambapo mpango huu alishapitishwa na kamati kuu ya chama hicho
Vifaa vimetengenezwa hapa hapa.mkuu hivi mitambo ya mh bashiru aliyoifungua wakati mgombea wa ccm amechukua form wamenunua nchi gani na ina ukubwa kiasi gani kukabiliana na KIMBUNGA 2020, MAANA ikumbukwe kimbunga husomba mpaka magorofa , ila pia mtu kikimkuba kama yupo gongo la mboto huweza jikuta amepigwa mtama yupo posta , kimbunga sio kitu kizuri chazoa sana so mitambo ya kukabili kimbunga haitakiwi kuwa ya kitoto at
Ok mkuu shukrani ila naomba kujua kama vina uwezo wa kuthibiti .... tundulism kimbunga 2020Vifaa vimetengenezwa hapa hapa.
2010 EL alikuwa CHADEMA?Ukweli upi unaoujua? Wakati lowasa amekodishiwa Sacco's ndio aliyekuja na huu mpango katoka nao CCM alivyoondoka mpango ukajifia kifo Cha mende,Sasa ukisema Cha Domo ndio walikuja na huo mpango nakuona hata chadema yenyewe huijui na ndio nikaona nikucheke tu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Ila wakuu tukubali au tukatae chadema ni chama kinenda kisasa sana kuanzia mipango yao, mavazi yao n.k , mfano kwa sasa mh lissu ndo mgombea wa urais but tiyari nimemuona mh heche kaweka kitu kwenye gwanda lake ya sura ya lissu namanisha tiyari wamefyatua.2010 EL alikuwa CHADEMA?
Chama kubwa, chama makiniKatibu Mkuu Ndg Bashiru Ally Kakurwa amezindua Kituo cha Mawasiliano kuhusu Habari za Uchaguzi kilichopo kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Uzinduzi huo umefanywa leo tarehe 17 Agosti 2020.
View attachment 1540435
Naona ‘Lumumba Buku 7’ wamepata ofisi mpya. Hapo naona wanatest mitambo.