Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
CCM waamua kufungua kituo cha kuhesabia kura katika uchaguzi mkuu wa 2020. Nakumhuka kituo kama hikinkilianzishwa na ukawa mwaka 2015 na wahusika walikamatwa na kunyimwa dhamana kwa kile walichokisema polisi kujitangqzia matokeo.
Sijajua ni hofu kiasi gani CCM wanayo na huku miaka yote 5 kuanzia rais hadi diwani wa CCM walikuwa ruksa kufanya siasa lakini wana hofu na uchahuzi huu.
Sijajua ni hofu kiasi gani CCM wanayo na huku miaka yote 5 kuanzia rais hadi diwani wa CCM walikuwa ruksa kufanya siasa lakini wana hofu na uchahuzi huu.