Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Umeona kwenye comment yangu yeyote nimeandika mwaka? Lowasa Ni 2015 ndio nilichomwambia huyo jamaa huu mpango alikuja nao lowasa2010 EL alikuwa CHADEMA?
Wanashindwa na hawataki kabisa kushughulikia suala la TUME HURU YA UCHAGUZI badala yake wana fanya yale ambayo yatawapa upendeleoPublished on Aug 17, 2020
KUELEKEA UCHAGUZI, CCM YATESTI MITAMBO! ONA DKT BASHIRU ALIVYOZINDUA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA... Kuelekea Uchaguzi mkuu 2020 Chama cha mapinduzi kimezindua kituo maalum cha mawasiliano lengo kuu likiwa ni kuhakikisha wanakuwa na mawasiliano ya karibu na wanachama na watendaji wa chama icho Katika kipindi cha uchaguzi mkuu Akizingumza mapema leo jiji Dodoma katibu mkuu wa ccm Dkt bashiru ally amesema kuwa mfumo huu ni matokeo ya uboreshaji wa utendaji na kuwasiliana na wanachama ambapo mpango huu alishapitishwa na kamati kuu ya chama hicho
2010 CDM ilikuwa na Data centre!Sema wewe umefikia hatua ya kujitambua 2015!Ukweli upi unaoujua? Wakati lowasa amekodishiwa Sacco's ndio aliyekuja na huu mpango katoka nao CCM alivyoondoka mpango ukajifia kifo Cha mende,Sasa ukisema Cha Domo ndio walikuja na huo mpango nakuona hata chadema yenyewe huijui na ndio nikaona nikucheke tu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Hawana pesa hela za kampeni hawana na safari hii lowasa hayupo.Chadema waanzishe kituo chao!!
Wana Sacco's wanawewesekaUongo Huwezi weka kituo Cha kuhesabu kura wakati huhesabu kura
embu leta angalau pixture tuone. wameanziashia wapi maana hawana hata ofis au ni hoteli. hiv kwenye kile kinyumba cha room mbili mnakaaje huko ndaniCopy na kupaste kutoka chadema digitali, hizi information centre chadema imeanzisha since 2010 ila polis huzivamiaga kila uchaguz na kuweka watu ndan
Kikwete alisema ni Bora yeye akose Urais kulikoni Mh. Lissu kuingia Bungeni. Magufuli analifahamu hilo fika ndiyo maana wanafanya juu chini asigombee.CCM waamua kufungua kituo cha kuhesabia kura katika uchaguzi mkuu wa 2020. Nakumhuka kituo kama hikinkilianzishwa na ukawa mwaka 2015 na wahusika walikamatwa na kunyimwa dhamana kwa kile walichokisema polisi kujitangqzia matokeo.
Sijajua ni hofu kiasi gani CCM wanayo na huku miaka yote 5 kuanzia rais hadi diwani wa CCM walikuwa ruksa kufanya siasa lakini wana hofu na uchahuzi huu.
Kweli mkuuKikwete alisema ni Bora yeye akose Urais kulikoni Mh.Lissu kuingia Bungeni.Magufuli analifahamu hilo fika ndiyo maana wanafanya juu chini asigombee.
Wanafahamu kitakachotokea endapo atagombea Urais,hawawezi kumshinda.Jamaa anagusa maisha ya wengi na anakubalika bila shinikizo.
EXACTLY!Copy na kupaste kutoka chadema digitali, hizi information centre chadema imeanzisha since 2010 ila polis huzivamiaga kila uchaguz na kuweka watu ndan
Soma post za juu ili kujua zilipoKwani huduma kama hizi mbona zipo tu duniani.Sasa kama Mlianzisha ziko wapi, mliuza mkapiga pesa.
Copy na kupaste kutoka CHADEMA digitali, hizi information centre CHADEMA imeanzisha since 2010 ila polis huzivamiaga kila uchaguz na kuweka watu ndani.
CHADEMA hawalali ofisini..wako field.Mie Naipenda chadema ila uongo kwangu ni Mwiko! Hiki kituo ni kizuri kuliko hata makao makuu ya chadema!
Swali: unataka nambia chadema imeanzisha kituo kizuri kuliko makao makuu yao?
Chadema kwenye Majengo, office etc kwa kweli wanatia aibu, wanaweka mashuka yao ya blue hivyo hivyo, aibu tupu!
Ila ukiangalia Nyumba zao, magari yao etc ni mazuri mno! Hemu chadema badilikeni sasa maana ni wakati mnapaswa kufanya hivyo!
Wanajipanga kwa ukwapuajiSehemu ya kituo cha CCM cha kupokelea taarifa za uchaguzi, pichani Dr. Bashiru akikagua vifaa vilivyofungwa kwenye kituo hicho kwenye jengo la Jakaya Kikwete mara baada ya kukifungua jijini Dodoma.