Jembe Ulaya,na wanachadema wenzako,kwa hakika sasa mmefikia mahali pabaya,chadema kama vyama vyote vya upinzani tanzania sio maarufu bila ya kuweposome figures amazo wananchi wanazikubali,,,kama mnafanya character assassination ya kumuuwa zitto ,kitila etc soon mtakosa mvuto wa kisiasa na mtakuwa chama dhaifu....chadema kigoma ilidhoofishwa sana na mbowe as ugomvi wake na kabouru ulipelekea hata alipoenda kigoma asipande kumnadi kwenye mkutano wa hadhara.matokeo yake jama akarudi ccm.
zitto kajitoa sasa mnadai kuwa anatoa rushwa
....chadema mnahitaji mabadiliko walau mpunguze ata idadi ya madereva wachaga makao makuu yenu.
- I thank Invisible for his update. It makes the point that Zitto was not forced to abandon his move. Advising him to remove himself from the contest was not undemocratic.
- Chadema has been bruised in this saga. So has Zitto. Both can emerge with minor injuries, but they have given ammunition to many detractors.
- Tribalists and their CCM manipulators are using this difficulty to claim that Chadema is a tribal party. That is not true. It was founded by a most distinguished Tanzanian (Edwin Mtei) who, through no fault of his, happens to be Mchaga. I hate to see well educated groups of Tanzanians, like the ones we have here, being so tribal in their outlook.
- It is not a sin for the son in law of a leader to be a leader. Freeman Mbowe was elected Chadema leader. He was not simply given the chairmanship by Mzee Mtei. In fact, Mzee Mtei was succeeded by Bob Makani, and after Makani, Chadema elected Freeman. What is so sinister about that? Freemans association with the founder of Chadema may have helped him, but that there is nothing undemocratic about that.
- Those who would like to see CCM continue to misrule Tanzania some more will do all they can to exploit this episode. They have already began to try to dismantle the support that those who aim for change give to Chadema her at JF. Their argument that what transpired in Chadema was undemocratic has run out of steam, so they have now reverted to naked tribalism.
- Change must come to Tanzania. As Obama puts it, we cannot continue to do the same things over and over again and expect a different result. We cannot afford to re-elect CCM. We must build up the opposition, and it seems to me, Chadema is the focal point of that.
Omary ni nini kimekusukuma na ukaamua kuanzisha "Thread" ya uchochezi kama hii ilhali kilichotokea BAVICHA jana kule Mbezi kinafahamika na wajumbe na wanachama wote ambao walikuwepo pale. Naona hii ni direct attack kwa Mbowe na Baraza la Wazee.
Naamini wewe ni Muumini wa Zitto na hili halijaanza leo. Lakini ukiwa kama MwanaChadema (Kama ni Mwanachama) ulikuwa na jukumu la kuhamasisha Mshikamano na Umoja katika Chama badala ya kwa makusudi kabisa katika hii habari yako kuzidi kutengeneza mgawanyiko katika Chama kwa kuwaelezea watu kama Wafuasi wa Mbowe na Wafuasi wa Zitto.
Na mbona matokeo ya Baraza la Wazee yalikuwa yameshatangazwa na sehemu pekee ambayo ilikuwa na walakini ni BAVICHA. Ama hizo taarifa nazo hukupewa? Kaka jaribu kuweka personal interest pembeni unapojaribu kumtumikia Boss wako kwa maslahi ya Wanachadema na Taifa kwa Ujumla.
Poti Lusajo..vipi na wewe umepewa mke kule?
Ndesa aligombea na bob makani ,bob kaoa uchagani
Poti Lusajo..vipi na wewe umepewa mke kule?
Katika hali ya mshangao na kuonyesha kuchanganyikiwa kuna taarifa zinazosema kuwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA wameshinikiza kughairishwa kutangazwa matokeo ya uchaguzi ya Baraza la Vijana na Baraza la wazee ambayo yanaonyesha ushindi mkubwa wa wanachama ambao wanaaminiwa kuwa ni wafuasi wa Zitto Kabwe.
Wakati katika uchaguzi wa Baraza la Vijana unaonyesha kuwa Kafulila ambaye ni msaidizi wa Zitto ambaye amekuwa akimtayarisha kugombea ubunge Kigoma Kusini (sio kigoma kaskazini kwa Zitto) amemshinda kwa kura zilizojitosheleza ndugu Henche ambaye ni chaguo la wafuasi wa Mbowe ambao jana baada ya kumlazimu Zitto kujito walihamishia nguvu zao zote dhidi ya wagombea wanaomuunga mkono Zitto.
Katika matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Wazee yanaonyesha kuwa bwana Shilungeshela ambaye pia anasemekana ni mfuasi wa Zitto na ambaye jana usiku Zitto alikuwa akitpita kumuombea kura naye pia ameshinda kwa kura nyingi.
Ukweli ni kuwa haya yanaweza kuwa makosa makubwa zaidi kwa upande wa wafuasi wa Mbowe kwani nahofia nguvu hizi za ushindi wa waliokuwa wakimuunga mkono Zitto zikageuka kuwa kura ya HAPANA kwake na kujikuta akikosa kabisa uhalali wa kiuongozi. Hali ambayo jana usiku Zitto alikuwa akijaribu kuizuia kwa kuhofia kuumiza maslahi ya chama chao.
Cha ajabu na kinachoonyesha kupanick ni kuwa wasimamizi wa chaguzi zote mbili wamezuiwa hata kutangaza matokeo kama zilivyo taratibu....Inaelekea siasa za CCM zimeathiri sana psych ya watanzania.....
Ama kweli hawa jamaa wanajua kukabaka kademokrasia ketu....Mwataka tuende wapi....NYUMBANI kumeota magugu na kumejaa many'agau...
omarilyas
CHADEMA bwana! mara hii Zitto keshakuwa mtoa rushwa? Kweli hii Tanzania mtu mdogo hutakiwi kugusa maslahi ya wakubwa.
ZITTO umeambiwa ni fisadi, njoo CCM kwenye chama cha mafisadi uje ule kuku zako. Siasa za Kaskazini mtu wa bara huko Kigoma utaziweza? Mwishowe watakuambia wewe ni Mkongo.
Jembe Ulaya,na wanachadema wenzako,kwa hakika sasa mmefikia mahali pabaya,chadema kama vyama vyote vya upinzani tanzania sio maarufu bila ya kuweposome figures amazo wananchi wanazikubali,,,kama mnafanya character assassination ya kumuuwa zitto ,kitila etc soon mtakosa mvuto wa kisiasa na mtakuwa chama dhaifu....chadema kigoma ilidhoofishwa sana na mbowe as ugomvi wake na kabouru ulipelekea hata alipoenda kigoma asipande kumnadi kwenye mkutano wa hadhara.matokeo yake jama akarudi ccm.zitto kajitoa sasa mnadai kuwa anatoa rushwa....chadema mnahitaji mabadiliko walau mpunguze ata idadi ya madereva wachaga makao makuu yenu.