Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,606
- 1,711
Wakati namsubiri Zitto aje kujibu barua yangu ya wazi, ngoja niendelee na dhahania:
Inawezekana Zitto alijua fika lililotokea litatokea wakati anajaza na kurudisha fomu.
- Kama alijua inawezekana basi alichukua fomu ili kulifanya lililotokea litokee
- Kama hakujua inawezekana basi hakuujua uzito wa Wazee na Mwenyekiti
- Na kama alifanya akijua basi inawezekana alifanya hivyo kufikisha ujumbe
- Na kama alifanya bila kujua basi inawezekana hakijui vyema chama chake
Swali la kujiuliza ni: Je, Viongozi na Wazee wa Chama wanajua walitendalo?
Pengine kuna umuhimu pia wa kuwasamehe wale wote wasiojua walitendalo!
Inawezekana Zitto alijua fika lililotokea litatokea wakati anajaza na kurudisha fomu.
- Kama alijua inawezekana basi alichukua fomu ili kulifanya lililotokea litokee
- Kama hakujua inawezekana basi hakuujua uzito wa Wazee na Mwenyekiti
- Na kama alifanya akijua basi inawezekana alifanya hivyo kufikisha ujumbe
- Na kama alifanya bila kujua basi inawezekana hakijui vyema chama chake
Swali la kujiuliza ni: Je, Viongozi na Wazee wa Chama wanajua walitendalo?
Pengine kuna umuhimu pia wa kuwasamehe wale wote wasiojua walitendalo!