Chadema ina wanachama wengi na sio Zitto peke yake. Kama Zitto anakipenda Chadema, basi natumaini atamuunga mkono yeyote yule atakayepewa nafasi ya uenyekiti wa chadema.
Mkuu,na hili la CHADEMA kuwa na mgombea mmoja wa uenyekiti wa Taifa unalizungumziaje???,si bora Zitto angebaki tu ili kuleta ushindani na kuangalia kama Mwenyekti wa sasa anakubalika miongoni mwa wana CHADEMA badala ya kuwachagulia wana CHADEMA Mwenyekiti(kwangu mimi kitendo cha Zitto kujitoa na kumwacha Mbowe peke yake ni sawa na kuwachagulia wana CHADEMA Mwenyekiti),kuna nini hapa???,ama ndo tunarudi enzi zilee za kupigia kura Sura na kivuli...Inasikitisha sana,demokrasia iko wapi hapa??,CHADEMA kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinatakiwa kiwe mfano wa kuigwa katika suala zima la democracy(Ijitofautishe na vyama vingine ambavyovenyewe na demokrasia ni sawa na mbingu na ardhi)
Atakayepewa na nani? Wazee wa CHADEMA au kina nani? Maana kwa mambo yalivyo mpaka sasa huwezi kusema kutakuwa na uchaguzi, bali itakuwa "mkusanyiko" wa wana-CHADEMA kumpitisha rasmi ndugu Mbowe! Sijui itakuwa ni kura zile za mgombea against kivuli kama enzi za chama kushika hatamu....kwi kwi kwi....kweli CHADEMA wamechemsha!
Binafsi naona Kosa la Zito ni kuanika Siri za Chama hadharani(JF),ndo maana anashambuliwa kama mpira wa kona.Pia ikumbukwe kwamba mara baada ya Zitto kutangaza nia yake ya kugombe Uenyekiti wa CHADEMA na kujitoa mengi mabaya juu yake yamesemwa hadharani ambayo kwa namna moja ama nyingine yamemchafua machoni mwa jamii(tuhuma kama anatumiwa na mafisadi,mtoa rushwa nk),na mbaya zaidi baadhi ya tuhuma hizi zilikuwa zikitolewa na viongozi/wazee wa CHADEMA...Zitto aliona kila mtu anamtenga/anamuona msaliti,kwamba jambo lolote baya litakaloitokea CHADEMA yeye ndo ataonekana chanzo..So ili aisulubiwe peke yake akaamua kumwaga ukweli wa yote yaliyo nyuma ya pazia hapa jamvini(Watoto wa mjini wanasema,wewe ukimwaga ugali mi namwaga mboga,ngoma inakuwa droo),mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yabaki kuwa ni siri ya chama,hayakutakiwa kutoka nje...Zitto wewe ni mwanasia mzuri sana ndugu yangu,cha msingi punguza jazba,ukiendelea na jazba hautafika kokote(huu ni mtizamo wangu tu),tafuta washauri wazuri na uwatumie ipasavyo....
Jamaa mmoja alienda kanisani kwa Walokole na kuanza kutafuta mlo.
Akasema kuwa yeye zamani alikuwa ni kibaka na sasa ametubu na anataka kumrudia Mungu. Wakampokea na kumpa kila aina ya msaada. Jamaa akawa mtu wa dini kweli huku akisali na kufanya kila jambo jema.
Siku moja jumapili akaja na kusema kuwa alikuwa anataka KUSUJUDIA. Akasema jinsi yeye alivyokuwa mchawi na kutembea sehemu kibao akiloga usiku na mchana akijifanya mlikole. Baada ya kuishi kwa udanganyifu wa namna hii kwa muda mrefu, nimeona hii tabia niiache.
Walokole walichukia, wakachukua vitu vyake na kuvitupilia mbali na yeye mwenyewe wakamfukuza. Jamaa akalia saana na mwisho akasema:
"Niliwadanganya, mkanipokea. Nimewaambia ukweli, mmenifukuza....."
Ha ha ha ha , lini umehama CCM kwenda Chadema? Au kwa vile Mwakalinga anasuasua kule Kyela?
Binafsi naona Kosa la Zito ni kuanika Siri za Chama hadharani(JF),ndo maana anashambuliwa kama mpira wa kona.Pia ikumbukwe kwamba mara baada ya Zitto kutangaza nia yake ya kugombea Uenyekiti wa CHADEMA na kujitoa mengi mabaya juu yake yamesemwa hadharani ambayo kwa namna moja ama nyingine yamemchafua machoni mwa jamii(tuhuma kama anatumiwa na mafisadi,mtoa rushwa nk),na mbaya zaidi baadhi ya tuhuma hizi zilikuwa zikitolewa na viongozi/wazee wa CHADEMA...Zitto aliona kila mtu anamtenga/anamuona msaliti,kwamba jambo lolote baya litakaloitokea CHADEMA yeye ndo ataonekana chanzo..So ili aisulubiwe peke yake akaamua kumwaga ukweli wa yote yaliyo nyuma ya pazia hapa jamvini(Watoto wa mjini wanasema,wewe ukimwaga ugali mi namwaga mboga,ngoma inakuwa droo),mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yabaki kuwa ni siri ya chama,hayakutakiwa kutoka nje...Zitto wewe ni mwanasiasa mzuri sana ndugu yangu,cha msingi punguza jazba,ukiendelea na jazba hautafika kokote(huu ni mtizamo wangu tu),tafuta washauri wazuri na uwatumie ipasavyo....
Pamoja mkuuHilo limeongelewa sana hapa na consensus ya wanachama wengi kama sio wote ilikuwa ni kwamba CHADEMA wamechemsha sana kwenye hili. Sidhani kama kuna sehemu yoyote ile mimi nimeunga mkono walichofanya chadema kwenye suala la mgombea wa mwenyekiti.
Katika hili nakubaliana nawe asilimia mia moja.
Jamaa mmoja alienda kanisani kwa Walokole na kuanza kutafuta mlo.
Akasema kuwa yeye zamani alikuwa ni kibaka na sasa ametubu na anataka kumrudia Mungu. Wakampokea na kumpa kila aina ya msaada. Jamaa akawa mtu wa dini kweli huku akisali na kufanya kila jambo jema.
Siku moja jumapili akaja na kusema kuwa alikuwa anataka KUSUJUDIA. Akasema jinsi yeye alivyokuwa mchawi na kutembea sehemu kibao akiloga usiku na mchana akijifanya mlikole. Baada ya kuishi kwa udanganyifu wa namna hii kwa muda mrefu, nimeona hii tabia niiache.
Walokole walichukia, wakachukua vitu vyake na kuvitupilia mbali na yeye mwenyewe wakamfukuza. Jamaa akalia saana na mwisho akasema:
"Niliwadanganya, mkanipokea. Nimewaambia ukweli, mmenifukuza....."
sio lazima afanye siasa,wao waliosema ametumwa na ccm na kutoa rushwa mbona hamuwaoni kama wana jazba ama wametoa siri?[/QUOTE]
Kukaa kimya pia ni busara aisee,Zitto angekaa kimya tu,maana nijuavyo mimi ukiargue na fool na wewe utaonekana fool pia(nimequote tu msemo huu simaanishi kuna mtu ambaye ni fool katika mada hii) maana watu watashindwa kuwatofautisha miongoni mwenu wawili nani ni fool na nani si fool.Zitto angekaa kimya ingemsaidia sana aisee
Damu ya Wangwe yawalilia toka udongoni,na hakika halitabaki jiwe juu ya jiwe
Mzee hii kali sana inabidi ni inote.
sio lazima afanye siasa,wao waliosema ametumwa na ccm na kutoa rushwa mbona hamuwaoni kama wana jazba ama wametoa siri?
Ingebidi uitumie kule Kyela labda kampeni Mwakalinga isingekuwa kwenye limbo kama ilivyo sasa hivi.
Nimekusoma mkuu..Pa1Hapana kaka
Mbona hujakaa kimya dhidi ya RA na Lowasa?? zitto anachofanya ni kupingana na ufisadi ambao mwingine na yeye pia kashiriki,sasa amekuwa mtumwa wa mda sasa ameamuwa kuushusha mzigo.
Kika kimya mana yake umekubaliana na ufisadi unaoendelea juu yake na juu ya wananchi.
Mbona ccm wanapolinda mambo yao mnawashambulia??
Huu sasa ni uhuni
Hapana kaka
Mbona hujakaa kimya dhidi ya RA na Lowasa?? zitto anachofanya ni kupingana na ufisadi ambao mwingine na yeye pia kashiriki,sasa amekuwa mtumwa wa mda sasa ameamuwa kuushusha mzigo.
Kukaa kimya mana yake umekubaliana na ufisadi unaoendelea juu yake na juu ya wananchi.