Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 698
Chadema ina wanachama wengi na sio Zitto peke yake. Kama Zitto anakipenda Chadema, basi natumaini atamuunga mkono yeyote yule atakayepewa nafasi ya uenyekiti wa chadema.
Atakayepewa na nani? Wazee wa CHADEMA au kina nani? Maana kwa mambo yalivyo mpaka sasa huwezi kusema kutakuwa na uchaguzi, bali itakuwa "mkusanyiko" wa wana-CHADEMA kumpitisha rasmi ndugu Mbowe! Sijui itakuwa ni kura zile za mgombea against kivuli kama enzi za chama kushika hatamu....kwi kwi kwi....kweli CHADEMA wamechemsha!