Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.
Kwanza - hiii sio breaking news.
Pili - wewe ni nani kuita mawazo ya wengine kuwa ni upuuzi.
Tatu - huu ulioandika nao ni upuuzi (kwa kipimo chako)?

Nakuuunga mkono 100/100 huyu jamaa upeo wake ni mfupi sana na isitoshe anashabikia kitu ambacho hakijui.Haangalii hata chaguzi za wenzetu like USA na hata Zambia jirani zetu,Ghana nk
Au nikibara wa C HAMA C HA M AFISADI?
 
Nakuuunga mkono 100/100 huyu jamaa upeo wake ni mfupi sana na isitoshe anashabikia kitu ambacho hakijui.Haangalii hata chaguzi za wenzetu like USA na hata Zambia jirani zetu,Ghana nk
Au nikibara wa C HAMA C HA M AFISADI?

Swala sio kushabikia chama chochote mimi siko c.c.m ama chama chochote. hebu nieleze wewe unachojua swala langu hapo ni kwamba unategemea nini chama kingine kikiingia madarakani ?

RK
 
Mimi nadhani huyu jamaa ana maana nzuri ila tatizo lake ni presentation.Anachotaka kusema ni kuwa vyama vya siasa hapa Tanzania vina staili moja ya kuendesha masuala yao.
Kwamba Chadema au CUF hawana kitu special kinachoweza kuwafanya tofauti na CCM.Pengine anafuatilia ya Zito na Mbowe,na kuyalinganisha na ya CCM.
 
...Kila mtu ana mawazo yake na mtazamo wake lakini wewe yako kali sana...

Wewe sio mpambanaji ni mtu wa kusubiri matokeo ya mapambamo tu ila unakata tamaa ile mbaya......hufai kuwa karibu na watu wanaopigania haki zao umeshatawaliwa maana Hao wanofaidika na rasilimali za nchi hii nani atawatoa kama sio mimi na wewe.. ili tufaidi sote....

..hivi Iddi Amini alipovamia Tanzania kama wewe ungelikuwa Rais basi leo hakuna Tanzania bali kuna Uganga Kubwa na sote ni mateka wa vita.....

...pole sana na hiyo haistahili kuwa breaking news.......
 
...Kila mtu ana mawazo yake na mtazamo wake lakini wewe yako kali sana...

Wewe sio mpambanaji ni mtu wa kusubiri matokeo ya mapambamo tu ila unakata tamaa ile mbaya......hufai kuwa karibu na watu wanaopigania haki zao umeshatawaliwa maana Hao wanofaidika na rasilimali za nchi hii nani atawatoa kama sio mimi na wewe.. ili tufaidi sote....

..hivi Iddi Amini alipovamia Tanzania kama wewe ungelikuwa Rais basi leo hakuna Tanzania bali kuna Uganga Kubwa na sote ni mateka wa vita.....

...pole sana na hiyo haistahili kuwa breaking news.......

una points zako mkuu, ila hujajibu unategemea nini ?kutoka hao wengine wakichukua nchi ?
 
Swala sio kushabikia chama chochote mimi siko c.c.m ama chama chochote. hebu nieleze wewe unachojua swala langu hapo ni kwamba unategemea nini chama kingine kikiingia madarakani ?

RK

Wewe ni ccm bana acha kukana chama chako
 
Wewe ni ccm bana acha kukana chama chako
Mimi siko ccm wala chama chochote hapa bongo maana vyama vyote kamba tu, mim nina kazi yangu professional,


swali linarudi pale pale unategemea nini ? ama mabadiliko gani ? wakati ukizangatia wengi wa hao hao wanaotaka kutuongoza hata pesa ya kuwapeleka watoto wao shule hawana , sasa wewe unafikiri wakipata cheo wataanza kufanya nini ?
 
Hawa ndo kabisa,wanaitwa heti wapiganaji,sasa risasi wameanza kuzipiga kwao wenyewe,sijuhi ndo upigaji gani hao
 
kwa sababu watakao chukua nchi hawatoki mbinguni ama pia hawatokua sio binaadamu na kwa mantiki hiyo watafanya yale yale ya kiubinadamu ambayo ni tamaa,wizi,uongo na kadhalika
Kwa hiyo kuna binadamu ambao wana hatimilki ya kuhodhi tamaa, wizi na uongo - wengine walie tu. Sijawahi kusikia ujinga unaozidi huu.
msikae makjidanganya eti nimeona humu jamvini kuna watu wana diriki kusema watu fulani ni wakombozi !!!
Ulianza kwa kuuliza swali, subiri ujibiwe. Kwamba kuna mtu mwenye akili timamu anaongea hivi ni dalili nzuri kuwa wakombozi wanafanya kweli - Radikali na mafisadi wenzako mmebanwa na viti vimekuwa moto.
Mhhh jamani tuache upuuzi huo, yana kukaaa nakusema cuf ama chadema na vyama kadhalika wakichukua madaraka basi wizi utaisha ama maisha yakua bora ? 'it is crazy'.
What is 'crazy' ni kuendelea na hii hali ya kukumbatia mafisadi na mpuuzi ni Radikali anayeita hii 'breaking news' - ni dalili ya kuchanganyikiwa.
Naomba mnipe mfano wa nchi moja hapa afrika ambayo chama cha upinzani ama baada ya kua na raisi mpya mambo yamekua kama mbinguni ?
Ghana.
jamani yote haya ni siasa.acheni kujidanganya jameni wote hawa watu ni binadamu kama sisi sote na wananjaa kama sisi sote,
Anayejidanganya ni wewe, CCM imekuwa chuo cha mafisadi na kuna kila sababu ya kukifunga hiki chuo - wewe, Radikali, kama moja wa wahitimu wake, itabidi uikimbie nchi. Wanaoitafuna nchi hivi sasa hawana njaa, ni ulafi usio mfano unaowasukuma.
wakisha pata kazi hua wanatusahau kama jinsi tulivyo sisi binaadamu.
Kuitoa CCM kutatoa fundisho kwa yeyote anayekuja - akivurunda na yeye atang'olewa. Miaka hamsini na bado wakereketwa hawajashiba, duh !
nawakilisha
Umewakilisha ujinga mtupu, kalaghabaho !
 
Wakipewa madaraka watatumaliza maana wenyewe hawataki kupingwa wala kutofautiana nao,ukiwapinga tu wewe ccm au wewe fisadi.Pumbavu sana hao
 
Mimi siko ccm wala chama chochote hapa bongo maana vyama vyote kamba tu, mim nina kazi yangu professional,


swali linarudi pale pale unategemea nini ? ama mabadiliko gani ? wakati ukizangatia wengi wa hao hao wanaotaka kutuongoza hata pesa ya kuwapeleka watoto wao shule hawana , sasa wewe unafikiri wakipata cheo wataanza kufanya nini ?

Wewe ni ccm bana acha kukana chama chako.

Hakuna makosa kuwa mwana ccm acha unafiki.
 
kama wao ni pumbavu na wewe ni nani?

wewe solomon natamani niiingie kwenye hii pc nije nikupe shule kidogo ya mabo haya ama yani mjadala mzima labda utanielewa nakupatia tena swali langu.na ni hili


UNATEGEMEA NINI CHAMA KINGINE KIKIWA KWENYE POWER?

TUNAJUA CCM IMESHA MESS UP SASA TUELEZE SIO ULETE LONGONGO
 
Cha ajabu huyu Tindikali..oops! Radikali amaeuliuzwa na watu mara kadhaa...kama hii ni "breaking news" lakini hajibu hilo. Anatoa tu utumbo wa propaganda za CCM!

Kwa ushauri bwana Radikali, unapoanzisha post ukaii-tittle "breaking news" inakuwa treated with special anxiousness na JF members. Kumbuka wengi wa JF members wanategemea hapa kupata real breaking news. Mtu kama mimi niko porini kinoma, habari za humu ni muhimu sana. Nitakupa mfano. Wakati wa mabomu ya Mbagala, niliingia humu nikakuta hiyo breaking news, haraka haraka nikapigia familia yangu simu. Halooo...nilikuta wako kwenye wakati mgumu sana na nikatoa ushauri wa cha kufanya, hatimaye mambo yakaenda safi kabisa.
Najua wewe bado mgeni humu (umejiunga mwezi jana), lakini naomba hilo la breaking news lizingatie. Weka post yako ya kawaida kikawaida na waungwana watachangia.

JF juuuuuu...juuu..zaidi.
 
DOCTORS PLIIIIZ

naona mwenzetu amewehuka kwani siyo kuntu kabisa kuyaita mawazo ni breakg newz
 
Cha ajabu huyu Tindikali..oops! Radikali amaeuliuzwa na watu mara kadhaa...kama hii ni "breaking news" lakini hajibu hilo. Anatoa tu utumbo wa propaganda za CCM!

Kwa ushauri bwana Radikali, unapoanzisha post ukaii-tittle "breaking news" inakuwa treated with special anxiousness na JF members. Kumbuka wengi wa JF members wanategemea hapa kupata real breaking news. Mtu kama mimi niko porini kinoma, habari za humu ni muhimu sana. Nitakupa mfano. Wakati wa mabomu ya Mbagala, niliingia humu nikakuta hiyo breaking news, haraka haraka nikapigia familia yangu simu. Halooo...nilikuta wako kwenye wakati mgumu sana na nikatoa ushauri wa cha kufanya, hatimaye mambo yakaenda safi kabisa.
Najua wewe bado mgeni humu (umejiunga mwezi jana), lakini naomba hilo la breaking news lizingatie. Weka post yako ya kawaida kikawaida na waungwana watachangia.

JF juuuuuu...juuu..zaidi.
Nikweli nimeulizwa na nilikosea kuweka kama ni breaking News niwieni radhi, ila swali limebaki pale pale
 
RADIKALI,
Mkuu tafadhali, swali lako halina kichwa mkuu wangu samahani sana kwa sanbabu unapohoji kitu ni vizuri upande wa pili kuwe na Mafanikio, hapo swali lako kidogo linaweza leta maana lakini kama Kuichagua CCM vile vile hutategemea zuri wala mfanikio yoyote sijui unataka upewe jibu gani.. Basi ni bora tujiulize kwa nini tunapiga kura kuwachagua viongozi, kwa sababu either way hakuna tumaini la mafanikio yoyote tukiwachagua CCM au Upinzani.. Labda nikuulize wewe unategemea nini kwa kuendelea kuichagua CCM?..

Halafu swali lako kidogo linajikita ktk hali ya kushangaza, ni sawa na kumuuliza mtu unafanya kazi ukitegemea kitu gani? yaani wewe muuliza swali tayari umeshafikiria akitakacho mfanyakazi..kwamba kama ni Utajiri hiyo kazi haiwezi kukupa Utajiri (in this case Ufisadi na maendeleo ya mwananchi)...Wakati sivyo kabisa dhamira ya wananchi kutafuta mabadiliko ya Uongozi nchini. Ni mtazamo kama wako unaweza kuuliza hata mtu anayekwenda shule kupata masomo, maadam umefikiria hawezi kutajirika au kushinda basi huoni sababu ya mtu huo kwenda shule.. yaani ni mchanganyiko mtupu wa fikra za ajabu ajabu..

Mkuu, sii swala la kutegemea kitu gani toka vyama vya Upinzani ila ni kutazama Vipaumbele gani ambavyo ni muhimu ktk maisha ya kila siku ya Mtanzania, na through that ndipo tunapojenga Uongozi ambao sii lazima tufanikiwe au tutajirike ila tuweze kumudu maisha yetu sawa na yule mtu anayekwenda kazini kila siku ya Mungu.
 
Last edited:
Cha ajabu huyu Tindikali..oops! Radikali amaeuliuzwa na watu mara kadhaa...kama hii ni "breaking news" lakini hajibu hilo. Anatoa tu utumbo wa propaganda za CCM!

Kwa ushauri bwana Radikali, unapoanzisha post ukaii-tittle "breaking news" inakuwa treated with special anxiousness na JF members. Kumbuka wengi wa JF members wanategemea hapa kupata real breaking news. Mtu kama mimi niko porini kinoma, habari za humu ni muhimu sana. Nitakupa mfano. Wakati wa mabomu ya Mbagala, niliingia humu nikakuta hiyo breaking news, haraka haraka nikapigia familia yangu simu. Halooo...nilikuta wako kwenye wakati mgumu sana na nikatoa ushauri wa cha kufanya, hatimaye mambo yakaenda safi kabisa.
Najua wewe bado mgeni humu (umejiunga mwezi jana), lakini naomba hilo la breaking news lizingatie. Weka post yako ya kawaida kikawaida na waungwana watachangia.

JF juuuuuu...juuu..zaidi.

Ni n kweli kwenye swala la breaking News nimechemka na ninaomba radhi saana wana Jf na baada ya hapo nasubiri nijibiwe maana mpaka sasa watu wanazungumzia tu breaking News na sio jibu ninalo lihitaji ama majadiliano ninayotaka kuyajua .

swali ni kwamba unategemea nini kutoka hao watakaongia madarakani ?

akhsante
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom