Sio kweli mkuu tatizo jamaa alilinda masrahi ya DOWANS maana Zito sasa hivi dhambi hii ndio inayo mtafuna kwa taarifa yako asingejihusisha na hili alikuwa na kila sababu ya kuwa Mwenyekiti.
Mimi sidhani kama alichosema ZITTO kuhusu Dowans ndicho kinamponza. No kwa upande wangu mim nadhani jamaa bado hajakomaa vya kutosha kuongoza taasisi anakurupuka kwenye baadhi ya maamuzi. Anaitaji busara zaidi thats why nikasema kuwa wamuandae ka baadaye. Chadema sasa hivi iko kwenye matatizo je ataweza? au ndiyo wataogeza mengine?