Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 naiona CHADEMA kugawanyika sehemu mbili "CHADEMA Asili" na "CHADEMA Wazalendo"

Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 naiona CHADEMA kugawanyika sehemu mbili "CHADEMA Asili" na "CHADEMA Wazalendo"

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
388
Reaction score
506
Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA

Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.

Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu

Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B

Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo

Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo

Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo

Comasava
 
Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA

Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.

Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu

Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B

Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo

Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo

Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo

Comasava
Mbowe hapana shaka ni kiongozi anayeheshimika lakini ni mstaarabu sana kwa ccm kiasi kwamba wanawaona cdm ni chama poa.Kama itampendeza MKT Mbowe akubali kuwa mshauri wa chama
 
Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA

Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.

Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu

Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B

Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo

Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo

Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo

Comasava
Hekima nzuri Mbowe ajitoe kwa heshima. Haileti afya kupambana na junior wako hata kama ni demokrasia. itifaki nayo izingatiwe. Lissu na Mbowe wakae wayasuke kwa maslahi mapama ya chama chao na nchi kwa ujumla.
 
Ccm nyie mbona mna kila kitu asee.....nashangaa bado mnahangaishwa na hawa chadema. You guys owns everything kwa nn sasa mnakuwa roho juu namna hii.
Mbowe aliwahi kusema kuwa CCM INA KILA KITU LAKINI CHADEMA ni mpango WA MUNGU pengine hiyo ndio inawatisha CCM
 
L
Mbowe hapana shaka ni kiongozi anayeheshimika lakini ni mstaarabu sana kwa ccm kiasi kwamba wanawaona cdm ni chama poa.Kama itampendeza MKT Mbowe akubali kuwa mshauri wa chama
Lakini kumbuka siasa sio uadui wanasema wenyewe kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ishi na kauli hiyo utaelewa siasa ni nini mdogo wangu
 
Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA

Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.

Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu

Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B

Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo

Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo

Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo

Comasava
Mbowe ni muungwana na anaijua Siasa. Atamuachia Lissu na atamuunga mkono na yeye kubaki mshauri katika chama chake.
 
Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA

Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.

Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu

Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B

Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo

Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo

Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo

Comasava
Unaota ww
 
Mbowe ni muungwana na anaijua Siasa. Atamuachia Lissu na atamuunga mkono na yeye kubaki mshauri katika chama chake.
Akifanya hivyo litakuwa jambo jema sana na kuonyesha ukomavu
 
CDM haigawanyiki - ukitaka uongozi wa juu wa chama fuata utaratibu, kuwa na nidhamu.
 
Back
Top Bottom