Nizahiri sasa Tindu Lisu amejipanga na wafuasi wake wanaomuunga mkono iwe jua iwe mvua ni lazima agombee na awe mwenyekiti wa CHADEMA
Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.
Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu
Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B
Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo
Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo
Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo
Comasava
Pia mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe naye amejipanga na watu wake wanaomuunga mkono kutetea tena nafsi yake kama hiyo.
Kwa hali inavyoonyesha hakuna kambi itakayokubali kushindwa kati ya kambi hizi mbili, hali hii itasababisha chama hicho kugawanyika vipande viwili CHADEMA asili ya Mbowe na CHADEMA wazalendo ya Lisu
Baada ya kikao cha leo cha Lisu na wafuasi wake na waandishi wa habari inaonyesha mtia nia huyo hata akipitishwa na chama chake kushindana na boss wake akishindwa hatakubali matokeo ya kushindwa na pengine kujitenga na upande huo wa mwenyekiti na kuondoka na wafuasi wake kuanzisha CHADEMA B
Ingawa kwa maoni yangu CHADEMA wakimpitisha Lisu kugombea uwenyekiti kupambana na Mbowe italeta picha nzuri sana kwenye chama hicho na kuthibitisha kweli kuwa ni chama cha Demokrasia na Maendeleo
Itakuwa jambo la kifahari kama watashindanishwa mafahari hao wawili kwenye uchaguzi wa mwenyekiti na atakayeshindwa akubali matokeo
Lakini kwa hoja za Lisu leo na wafuasi wake inaonyesha hata akipatiwa nafasi ya kugombea akishindwa hawatakubaliana na kushindwa huko kutokana na kutokuwa na imani na uongozi wa Mbowe, watajitenga na uongozi huo kwa imani kuwa Mbowe mbinu zake na uongozi wake kukiongoza chama hicho umefika kikomo
Comasava