BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Lol! Mie nimepita mahali nikawaomba jamaa wanifanyie shughuli yangu wakaniambia waiting time ni 2 hours! Nikawatolea nje maana hii game ya leo si ya kuikosa kabisa. Kombe linashuka Hala Madrid. Haya shughuli njema.
Hala Madrid,ngoja nimalize shughuli zangu nije tupeane live updates na kubeba kombe hapahapa.