Kuendelea kujipa matumaini kwa historia kwamba tuna akili kuliko wazungu ni kupoteza muda.

Kuendelea kujipa matumaini kwa historia kwamba tuna akili kuliko wazungu ni kupoteza muda.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Pichani ni Eiffel Tower huko Paris, Ufaransa kwa picha ya mwaka 1900 na 2017. Picha inajieleza jinsi gani wazungu walikuwa mbele sana kimaendeleo.

Kama unabisha tafuta picha ya Dar es Salaam ya mwaka 1900. Mimi nadhani tuachane na historia za kusema tuna akili kuwazidi wazungu.

Huko ni kujipa moyo tu na haisaidii. Mababu wa kizungu mwaka 1900 wameshajenga Eiffel Tower je hawa wa kwetu walikuwa wanajenga nini?

Nadhani tuachane na ishu za historia na kuanzia sasa tuangalie tuna nini mkononi na tusonge nacho mbele.

FB_IMG_1650987999290.jpg
 
Pichani ni Eiffel Tower huko Paris, Ufaransa kwa picha ya mwaka 1900 na 2017. Picha inajieleza jinsi gani wazungu walikuwa mbele sana kimaendeleo. Kama unabisha tafuta picha ya Dar es Salaam ya mwaka 1900. Mimi nadhani tuachane na historia za kusema tuna akili kuwazidi wazungu. Huko ni kujipa moyo tu na haisaidii. Mababu wa kizungu mwaka 1900 wameshajenga Eiffel Tower je hawa wa kwetu walikuwa wanajenga nini? Nadhani tuachane na ishu za historia na kuanzia sasa tuangalie tuna nini mkononi na tusonge nacho mbele.

View attachment 2201616
Naunga mkono hoja
 
mbio za mwengeeee....kuna baadhi ya hoteli/lodges/guest houses mwaeza kaa hata wikii...mmelipaa..mwenge ukikaribia mwaambiwa mwondokee mkatafte pa kulala adi mwenge upiteee
 
Pichani ni Eiffel Tower huko Paris, Ufaransa kwa picha ya mwaka 1900 na 2017. Picha inajieleza jinsi gani wazungu walikuwa mbele sana kimaendeleo. Kama unabisha tafuta picha ya Dar es Salaam ya mwaka 1900. Mimi nadhani tuachane na historia za kusema tuna akili kuwazidi wazungu. Huko ni kujipa moyo tu na haisaidii. Mababu wa kizungu mwaka 1900 wameshajenga Eiffel Tower je hawa wa kwetu walikuwa wanajenga nini? Nadhani tuachane na ishu za historia na kuanzia sasa tuangalie tuna nini mkononi na tusonge nacho mbele.

View attachment 2201616
Babu zetu walikua busy kutunga methali eti harakaharaka haina baraka.
 
Wapigania UHURU walituingiza chaka kwa kuwahadaa waafrika wakawafukuza wakoloni kisha wao wakawa wakoloni weusi, wakijilimisha utajiri wa nchi wao na vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye ufukara zaidi ya wakati wa mkoloni. Viwanda, mashamba, na miradi yote waliyoacha wakoloni imekufa. Huku familia za wapigania UHURU wakiwa mamilionea wakiishi kifahari. Kumbe lengo lao lilikuwa ni wao na familia yao na sio waafrika wote.
 
Baada ya kukua na kufanya tafiti, nimegundua historia tuliyosoma mashuleni mengi tumesoma ni uongo na chuki tu zaidi dhidi ya race zingine. Kusema eti ukoloni ndo kikwazo cha maendeleo huu ni uongo mkubwa kabisa, mbona ethiopia, Liberia wao awakutawaliwa mbona SAwa na sisi tu. Mbona nchi za waarabu wanaoishi afrika wao mbona angalau awaisomi Sana namba.
 
Akili zetu zipo kwenye kutafuta kuiba yaaani mbongo kwenye wizi nakuambia fanyeni kila njia atatafuta namna tu awaibie

Ok mimi tazidi kuamini misingi waliyoweka baba zetu walizingua sana.
Sijui ndio uafrika wenyewe au ndo nini

Kila mtu yupo kiubinafsi ,familia yangu ,baba yangu , mama yangu n.k lakini wenzetu waliangalia manufaa mapana ya nchi zao.
 
Wapigania UHURU walituingiza chaka kwa kuwahadaa waafrika wakawafukuza wakoloni kisha wao wakawa wakoloni weusi, wakijilimisha utajiri wa nchi wao na vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye ufukara zaidi ya wakati wa mkoloni. Viwanda, mashamba, na miradi yote waliyoacha wakoloni imekufa. Huku familia za wapigania UHURU wakiwa mamilionea wakiishi kifahari. Kumbe lengo lao lilikuwa ni wao na familia yao na sio waafrika wote.
Inauma sana
 
Baada ya kukua na kufanya tafiti, nimegundua historia tuliyosoma mashuleni mengi tumesoma ni uongo na chuki tu zaidi dhidi ya race zingine. Kusema eti ukoloni ndo kikwazo cha maendeleo huu ni uongo mkubwa kabisa, mbona ethiopia, Liberia wao awakutawaliwa mbona SAwa na sisi tu. Mbona nchi za waarabu wanaoishi afrika wao mbona angalau awaisomi Sana namba.
Historia tunayosoma sisi imechakachuliwa hatari. Mimi hadi namaliza form six nilikuwa najua Idd Amin ni nduli alivamia bila sababu tukaamua tumpige. Kumbe kabla ya bita kuna hadi makubaliano ya amani yalishafanyika huko Somalia (Mogadishu accords)... au hata huu muungano tunaambiwa ni Nyerere na Karume waliamua waungane kumbe nyuma ya pazia kuna wababe waliounganisha kwa maslahi yao.
 
Historia tunayosoma sisi imechakachuliwa hatari. Mimi hadi namaliza form six nilikuwa najua Idd Amin ni nduli alivamia bila sababu tukaamua tumpige. Kumbe kabla ya bita kuna hadi makubaliano ya amani yalishafanyika huko Somalia (Mogadishu accords)... au hata huu muungano tunaambiwa ni Nyerere na Karume waliamua waungane kumbe nyuma ya pazia kuna wababe waliounganisha kwa maslahi yao.
True, Nyerere ndie aliyemchokoza Iddi Amin Ili amrudishe swahiba wake obote madarakani.Muungano ulikuwa ni kwa maslai ya Karume na Nyerere.Karume baada ya kuwafanyizia waarabu Ili wasimlipe kisasi akajisalimisha kwa Nyerere Ili ikitokea ampe msaada.Nyerere nae aliwaogopa wareno wa msumbiji na makaburu wa south africa kama Mwarabu akirudi zanzbar anaweza akashawishiwa na Mreno au Kaburu wampige Nyerere tokea zanZbar,maana Nyerere anafadhili harakati za kumtoa Mreno na Kaburu pia.
 
Baada ya kukua na kufanya tafiti, nimegundua historia tuliyosoma mashuleni mengi tumesoma ni uongo na chuki tu zaidi dhidi ya race zingine. Kusema eti ukoloni ndo kikwazo cha maendeleo huu ni uongo mkubwa kabisa, mbona ethiopia, Liberia wao awakutawaliwa mbona SAwa na sisi tu. Mbona nchi za waarabu wanaoishi afrika wao mbona angalau awaisomi Sana namba.
Uingerezz katawaliwa,Marekani katawaliwa lakini maendeleo waliyokuwa nayo ukilinganisha na sisi ni mbingu na ardhi..tatizo letu sisi ni moja bado tuna akili za Zinjanthropas
 
Acheni kupindisha hoja nyie vibaraka wa mashetani na mabeberu.

Afrika ni ardhi iliyobarikiwa. Tuliishi maisha mazuri ya kibinadamu kabla ya ujio wa hao majini weupe.

Tulikula, tulioa, tulizaa, tuliishi kwa amani. Hapakuwa na vita, ghasia wala magonjwa.

Walipokuja hawa mabaradhuli ndio wakaanza kuvuruga vuruga kila kitu.
 
Tungekua tumekubali huu ukweli tukaamua kusonga mbele tungekua mbali sana sasa hivi.
 
Acheni kupindisha hoja nyie vibaraka wa mashetani na mabeberu.

Afrika ni ardhi iliyobarikiwa. Tuliishi maisha mazuri ya kibinadamu kabla ya ujio wa hao majini weupe.

Tulikula, tulioa, tulizaa, tuliishi kwa am freeani. Hapakuwa na vita, ghasia wala magonjwa.

Walipokuja hawa mabaradhuli ndio wakaanza kuvuruga vuruga kila kitu.
Kwanini tulishindwa kuwavuruga wao kabla hawajatuvuruga sisi?

Kubali tu mzee, sisi tuna shida tena shida yetu ni kubwa sana, tuna kauli za kitoto sana ili kujifariji
 
Back
Top Bottom