Kuendelea kujipa matumaini kwa historia kwamba tuna akili kuliko wazungu ni kupoteza muda.

Kuendelea kujipa matumaini kwa historia kwamba tuna akili kuliko wazungu ni kupoteza muda.

Acheni kupindisha hoja nyie vibaraka wa mashetani na mabeberu.

Afrika ni ardhi iliyobarikiwa. Tuliishi maisha mazuri ya kibinadamu kabla ya ujio wa hao majini weupe.

Tulikula, tulioa, tulizaa, tuliishi kwa amani. Hapakuwa na vita, ghasia wala magonjwa.

Walipokuja hawa mabaradhuli ndio wakaanza kuvuruga vuruga kila kitu.
Sasa hivi hauli?.Au kuna jamii ambayo aizai?.Mbwa wenyewe wanazaa sembuse binadamu.Hoja yako iko nje ya hoja ya mtoa mada.
 
Sasa hivi hauli?.Au kuna jamii ambayo aizai?.Mbwa wenyewe wanazaa sembuse binadamu.Hoja yako iko nje ya hoja ya mtoa mada.

Ulitakaje?

Africa is good and cool. Ni nyie wajinga wajinga tu ndio mnaoiharibu.

Na makorona yenu uchwara.
 
Pichani ni Eiffel Tower huko Paris, Ufaransa kwa picha ya mwaka 1900 na 2017. Picha inajieleza jinsi gani wazungu walikuwa mbele sana kimaendeleo. Kama unabisha tafuta picha ya Dar es Salaam ya mwaka 1900. Mimi nadhani tuachane na historia za kusema tuna akili kuwazidi wazungu. Huko ni kujipa moyo tu na haisaidii. Mababu wa kizungu mwaka 1900 wameshajenga Eiffel Tower je hawa wa kwetu walikuwa wanajenga nini? Nadhani tuachane na ishu za historia na kuanzia sasa tuangalie tuna nini mkononi na tusonge nacho mbele.

View attachment 2201616
Ina maana sasa unakubali Mabeberu wametuzidi akili kitambo?
 
Kumbe akili ni kuvamia taifa lingine na kuwageuza watumwa!?

Hiyo ndiyo akili kwa mujibu wako?
 
Sema wazungu wa zamani ndio walikuwa na akili.

Hawa wa siku hizi vilaza tu kama sisi. Wachache sana ndio wenye akili.
 
Uingerezz katawaliwa,Marekani katawaliwa lakini maendeleo waliyokuwa nayo ukilinganisha na sisi ni mbingu na ardhi..tatizo letu sisi ni moja bado tuna akili za Zinjanthropas
Kutawaliwa hakuifanya nchi kuwa masikini.Karibu KILA nchi imewahi tawaliwa.Japan katawaliwa na Mzungu, Mchina katawaliwa na Japan, India na Mzungu
 
Huwa unazindua hadi guest house!
mbio za mwengeeee....kuna baadhi ya hoteli/lodges/guest houses mwaeza kaa hata wikii...mmelipaa..mwenge ukikaribia mwaambiwa mwondokee mkatafte pa kulala adi mwenge upiteee
 
Back
Top Bottom