Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hebu jifunze kunyamaza, Hujui wala hufeel pain ambazo watu wamezipata kutoka Kwa huyo ibilisi unayemtetea, labda angeuwawa baba yako mzazi na mama yako mzazi ndio ungejuwa uchungu wake.Kwani hakuna Marais wabaya Waliohai?
Kama lengo ni kutafutana ubaya, hatuwezi kosa ubaya WA yeyote.
Lakini kutafuta ubaya wa Wafu ni dalili ya ucheshi wa mwendawazimu.
Hakunaga Hukumu ya Wafu, wanaohukumiwa ni Waliohai.
Hata hivyo kuna Ile hasira ya wahanga ambayo MTU akifa humsema kutuliza hasira na chuki zao. Lakini kumchukia Na kuwa na hasira ya Marehemu Kwa zaidi ya miaka ni Jambo la kipuuzi hasa ukijua amekufa na hatorudi
Huyo hata ipite miaka 50 ni lazima atashtakiwa tu ili haki itendeke haijarishi yupo kaburini cha msingi ni ile hukumu itakayotolewa ili ikae kwenye kumbukumbu.