The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Hamna kitu kinanikera kama
“nakuona online”,
“[emoji848] blue tick no reply”,
“mzee baba unasoma meseji zangu hujibu”
Ninaudhika sana hivyo nimeamua sitaki tena whatsapp tuma meseji ya kawaida kama ina umuhimu nitajibu kama haina hutakuwa na uhakika hata kama nimeona
“nakuona online”,
“[emoji848] blue tick no reply”,
“mzee baba unasoma meseji zangu hujibu”
Ninaudhika sana hivyo nimeamua sitaki tena whatsapp tuma meseji ya kawaida kama ina umuhimu nitajibu kama haina hutakuwa na uhakika hata kama nimeona