Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!

Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Mwanamke anaonekana km kimbilio la usalama kwa watoto hasa wa kiume, ilianzia kwenye school buses na wanafanya vizuri sana, huwa nafurahi napopishana nao jijini wanawavukisha watoto kwenye zebra nk km mama aleavyo mtoto wake,
 
Sahihi kabisa.Roho-mtakachafu ameanza kutwaa milki ya walioaminiwa kulinda jamii.
Si muda mrefu kazi nyingi utaomba km ni mwanaume hupati, wale wanaoponda wanawake wanazidi kuumia,

Ila hili liende mpaka makanisani hasa RC, pamoja na kuwa wale masister wao sijui wanawavutishaga bangi wana roho mbaya sijapata kuona, mfano ni mamangu wa kambo mshua alimtolea kwenye usister ila bonge moja ya katili
 
Si muda mrefu kazi nyingi utaomba km ni mwanaume hupati, wale wanaoponda wanawake wanazidi kuumia,

Ila hili liende mpaka makanisani hasa RC, pamoja na kuwa wale masister wao sijui wanawavutishaga bangi wana roho mbaya sijapata kuona, mfano ni mamangu wa kambo mshua alimtolea kwenye usister ila bonge moja ya katili
Sina la nyongeza. I've got boys and girls all together!😂
 
Wasali novena wamelala ngoja waamke na mimi
Zamani kulikuwa na misimamo katika kanisa (RC)ya "ex exlecia nula salus"(sijaandika kwa ufasaha)=nje ya kanisa hakuna wokovu.Ila,baada ya mapito magumu hiyo kauli ilifutwa.Ikaja kauli kwamba;Kanisa litakua na kuboreshwa na "refomandas"/reformers/wanamageuzi/wakosoaji.
 
Zamani kulikuwa na misimamo katika kanisa (RC)ya "ex exlecia nula salus"(sijaandika kwa ufasaha)=nje ya kanisa hakuna wokovu.Ila,baada ya mapito magumu hiyo kauli ilifutwa.Ikaja kauli kwamba;Kanisa litakua na kuboreshwa na "refomandas"/reformers/wanamageu7mzi/wakosoaji.
Ni kweli hata kwenye maisha ya kawaida adui anaweza kukusanua pale unapoharibu na sio rafiki
 
Back
Top Bottom