and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
- Thread starter
- #41
Wapo wanawake walioamua kufungua madrasa zao The Daily Hustle: Why one Afghan girl decided to open her own madrasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point ☝️1. Hivi karibuni imeripotiwa Walimu wa kiume wa Madrassa kulawiti watoto huko Mafia, Zanzibar na Sumbawanga.
2. Nashauri kuanzia Sasa Walimu wa Madrassa wawe WANAWAKE tu kuepusha majanga zaidi.
Wabillah Taufiq
Wazo zuri.1. Hivi karibuni imeripotiwa Walimu wa kiume wa Madrassa kulawiti watoto huko Mafia, Zanzibar na Sumbawanga.
2. Nashauri kuanzia Sasa Walimu wa Madrassa wawe WANAWAKE tu kuepusha majanga zaidi.
Wabillah Taufiq
Hapa ni uzembe wa serikali! Pamoja na kwamba serikali inaletewa malalamiko kuhusiana na vitendo hivyo bado inachukulia poa!
Mbona ni kuwakamata hao maustadhi na kuwapeleka gerezani bila kupitia mahakamani.
Unguja wamewastukia mafirauniWazo zuri.
Madrasa kadhaa niliona zikifanya hivyo kule unguja,huwenda ni katika kuzuia jambo hilo.
Kwa sasa wanawake wanatakiwa wajitoe sana kuhakikisha jambo hili linakwenda vyema.
Eti kijana wa kiume anafundisha watoto wakike na wa kiume,lazima tuwadhibiti watafute kazi za kufanya hawa vijana wa kiume.
Wanawake ndio wawe wanafundisha watoto hiyo ni salama zaidi
Inaonekana mzee wako aliwai kupherwa huko madrasa1. Hivi karibuni imeripotiwa Walimu wa kiume wa Madrassa kulawiti watoto huko Mafia, Zanzibar na Sumbawanga.
2. Nashauri kuanzia Sasa Walimu wa Madrassa wawe WANAWAKE tu kuepusha majanga zaidi.
Wabillah Taufiq
@dgwajima
Wanawake wakikabwa na huuuooo upwlru wata(kaba)^_1 hao watot1. Hivi karibuni imeripotiwa Walimu wa kiume wa Madrassa kulawiti watoto huko Mafia, Zanzibar na Sumbawanga.
Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia
Licha ya Serikali kupambana kupiga vita dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia lakini bado Wananchi na wakaadhi wa Kisiwa cha Mafia baadhi yao wameonekana kutia pamba masikio na kupelekea kuongezeka kwa vitendo hivyo hasa kwa watoto wakiume Akizungumza kwa hisia kali kwenye mkutano wa hadhara...www.jamiiforums.com
2. Nashauri kuanzia Sasa Walimu wa Madrassa wawe WANAWAKE tu kuepusha majanga zaidi.
3. Watoto Wana haki ya kulindwa na hatari ya kulawitiwa.
Wabillah Taufiq
@dgwajima
Hiyo dini huwa haimtambui mwanamkeHv kuna madrasa zinaongozwa na wanawake? Tuanzie hapo naomba kueleweshwa
Bc ulawiti hapo hakuna namna ya kuzuiaHiyo dini huwa haimtambui mwanamke