Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!

Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!

Katika sheria za uislam mwanamke hatakiwi hata kucheka
Ko kufundisha sidhani
 
wafundishe mbona madrasa za kinamama hufundishwa na wanawake
 
Hawana akili hiyo,Wako bize na injili za Yesu sio Mungu.
Wakati watoto wao wanapanuliwa
 
Hata Mimi naona ni wakati sasa umefika mapadri na maaskofu wote wawe wanawake kwa sababu huko makanisani ulawiti umetamalaki dhidi ya watoto na waumini wengine pia wamekuwa wanashirikiana na waganga wa kienyeji kuua albino.
 
Si muda mrefu kazi nyingi utaomba km ni mwanaume hupati, wale wanaoponda wanawake wanazidi kuumia,

Ila hili liende mpaka makanisani hasa RC, pamoja na kuwa wale masister wao sijui wanawavutishaga bangi wana roho mbaya sijapata kuona, mfano ni mamangu wa kambo mshua alimtolea kwenye usister ila bonge moja ya katili
Ukali wao si ktk kulisha mtu sumu,ni katika kunyoosha mtoto ktk makuzi.
Shule za makasisi ukiitwa kwa ajili ya mwanao jua unarudi naye home hata ukajieleze umevaa rozali haitasaidia😁😁😁
 
Ukali wao si ktk kulisha mtu sumu,ni katika kunyoosha mtoto ktk makuzi.
Shule za makasisi ukiitwa kwa ajili ya mwanao jua unarudi naye home hata ukajieleze umevaa rozali haitasaidia😁😁😁
Nimeishi na ndg masister kuna ndg wamelelewa kwenye vituo vyao nawajua vizuri mno, wengi ni mabandidu wana ukali wa kiroho mbaya, wachoyo sana, na walafi mno kwenye mambo ya misosi
 
Walimu wote hadi form 2 wawe wanawake tu, ubakaji umezidi kwa watoto. Wanaume hawajaumbwa kulea watoto anything can happen akizidiwa hamu.
 
Nimeishi na ndg masister kuna ndg wamelelewa kwenye vituo vyao nawajua vizuri mno, wengi ni mabandidu wana ukali wa kiroho mbaya, wachoyo sana, na walafi mno kwenye mambo ya misosi
Hapana hatuwezi sema wamepata hayo huko walipokuwa shule.

Vitu kama uchoyo,ubinafsi,roho mbaya vinakaa damuni mwa mtu.
 
Hapana hatuwezi sema wamepata hayo huko walipokuwa shule.

Vitu kama uchoyo,ubinafsi,roho mbaya vinakaa damuni mwa mtu.
Nilitegemea kwa wito wao wawe na huruma ila ni kinyume tena ni wengi tu sio kwenye mashule vituo vya watoto yatima wala mahospitalini
 
Back
Top Bottom