Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!

Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!

Ngoja nimalizie usingizi ili wakija niwasome vizuri maana huu uzi lazima utakuwa wa moto tu, huwezi kutatua ulawiti kwenye madrasa peke yake wakati huko kwenye shule za watoto makanisani zilikuwepo hizi tuhuma
Nimeupenda uzi kwa sababu ni wa kichokozi sana.Kuna ulamaa mmoja hapo juu badala na yeye atoe ya moyoni,kaamua atoe ya matusini.Angetaja na wa makanisani wanavyotenda ya hovyo ingependeza kuliko mia tisa.
 
Nimeupenda uzi kwa sababu ni wa kichokozi sana.Kuna ulamaa mmoja hapo juu badala na yeye atoe ya moyoni,kaamua atoe ya matusini.Angetaja na wa makanisani wanavyotenda ya hovyo ingependeza kuliko mia tisa.
Yani umekaa kimkao flani ukigusa tu umekuangukia! Lazima uwake yani kuna mada nikizisomaga najua tu lazima kiwake, hasa hizi zinazohusu imani
 
Nimeupenda uzi kwa sababu ni wa kichokozi sana.Kuna ulamaa mmoja hapo juu badala na yeye atoe ya moyoni,kaamua atoe ya matusini.Angetaja na wa makanisani wanavyotenda ya hovyo ingependeza kuliko mia tisa.
Huwa haina haja ya kuanza kuleta vielelezo
Lakini kama unavitaka, vipo vya tokea wakati wa ukoloni

Kuna huyu Father Kit Cunningham, alifira sana vijana wa wakatoliki wa Tanzania miaka ya 60 na 70, mpaka Queen Elizabeth alimvua heshima ya MBE

1719039487894.png
 
Huwa haina haja ya kuanza kuleta vielelezo
Lakini kama unavitaka, vipo vya tokea wakati wa ukoloni

Kuna huyu Father Kit Cunningham, alifira sana vijana wa wakatoliki wa Tanzania miaka ya 60 na 70, mpaka Queen Elizabeth alimvua heshima ya MBE

1719039487894.png
Kumbe sheikh una taarifa njema sana za kufundisha isipokua lugha tu ndiyo matata kidogo.Lete khabari zaidi maalim!
 
Back
Top Bottom