C umesema waalimu wawe wanawake au?Ulawiti na kuongozwa na wanawake kipi afadhali Shehe?
Zianze sasa.Wabillah Taufique!Hv kuna madrasa zinaongozwa na wanawake? Tuanzie hapo naomba kueleweshwa
Sahihi kabisa.Roho-mtakachafu ameanza kutwaa milki ya walioaminiwa kulinda jamii.Mwanamke anaonekana km kimbilio la usalama kwa watoto hasa wa kiume, ilianzia kwenye school buses na wanafanya vizuri sana, huwa nafurahi napopishana nao jijini wanawavukisha watoto kwenye zebra nk km mama aleavyo mtoto wake,
Si muda mrefu kazi nyingi utaomba km ni mwanaume hupati, wale wanaoponda wanawake wanazidi kuumia,Sahihi kabisa.Roho-mtakachafu ameanza kutwaa milki ya walioaminiwa kulinda jamii.
Sina la nyongeza. I've got boys and girls all together!πSi muda mrefu kazi nyingi utaomba km ni mwanaume hupati, wale wanaoponda wanawake wanazidi kuumia,
Ila hili liende mpaka makanisani hasa RC, pamoja na kuwa wale masister wao sijui wanawavutishaga bangi wana roho mbaya sijapata kuona, mfano ni mamangu wa kambo mshua alimtolea kwenye usister ila bonge moja ya katili
Wasali novena wamelala ngoja waamke na mimiSina la nyongeza. I've got boys and girls all together!π
Zamani kulikuwa na misimamo katika kanisa (RC)ya "ex exlecia nula salus"(sijaandika kwa ufasaha)=nje ya kanisa hakuna wokovu.Ila,baada ya mapito magumu hiyo kauli ilifutwa.Ikaja kauli kwamba;Kanisa litakua na kuboreshwa na "refomandas"/reformers/wanamageuzi/wakosoaji.Wasali novena wamelala ngoja waamke na mimi
Ni kweli hata kwenye maisha ya kawaida adui anaweza kukusanua pale unapoharibu na sio rafikiZamani kulikuwa na misimamo katika kanisa (RC)ya "ex exlecia nula salus"(sijaandika kwa ufasaha)=nje ya kanisa hakuna wokovu.Ila,baada ya mapito magumu hiyo kauli ilifutwa.Ikaja kauli kwamba;Kanisa litakua na kuboreshwa na "refomandas"/reformers/wanamageu7mzi/wakosoaji.
UtajutaWasali novena wamelala ngoja waamke na mimi
Waje mi mwenyewe ni nani sasaπππUtajuta
Ujifunge kibwebwe huku umeshika tasbihi/rozari.Ni nginjanginja.No escape from Sorbibo!Waje mi mwenyewe ni nani sasaπππ
πWaje mi mwenyewe ni nani sasaπππ
Upo vizuri sana.Hongera.Mimi huwa sitolewi kwenye reli
Hiyo mada ni ya kimavimavi kuhusu imani za watu
Kwa hiyo mleta mada lazima atakula za uso
Hakuna hoja hapa ya kujadiliwa
Ngoja nimalizie usingizi ili wakija niwasome vizuri maana huu uzi lazima utakuwa wa moto tu, huwezi kutatua ulawiti kwenye madrasa peke yake wakati huko kwenye shule za watoto makanisani zilikuwepo hizi tuhumaUjifunge kibwebwe huku umeshika tasbihi/rozari.Ni nginjanginja.No escape from Sorbibo!
Wala sihitaji hongeraUpo vizuri sana.Hongera.