Uchaguzi 2020 Kufa kwa Sekta Binafsi na Makampuni ya Ujenzi ya ndani ndio kunanifanya nimpe kura Lissu

Uchaguzi 2020 Kufa kwa Sekta Binafsi na Makampuni ya Ujenzi ya ndani ndio kunanifanya nimpe kura Lissu

Utambue ya kuwa nchi ilishashuswa kutoka huo uchumi wa kati. ambao mlitangaziwa kwa twitter

( Tanzania yashushwa rating ya uchumi wa kati, yadaiwa uchumi wake sio halisi na ukwasi wake hautabiriki hasa katika kupata mikopo ya nje )

Pili Hakuna kampuni iliyokuwa hailipi kodi, makadirio yameongezeka na kodi pia zimeongezeka, na ndio iliyosababisha makampuni lukuki yakafungwa, kwa kipindi cha miaka 5, watu zaidi ya 1M wamepoteza ajira na hakuna ajira zilizoongezeka

NSSF, PSSF serikali hi imeziua, CCM ina madem huko mpaka inashindwa kukopesheka tena
Very true!... Makampuni yameuliwa ovyo ovyo kabisa!.. .
 
Hayo makampuni unayoyasema JPM ndio aliyainua Sasa kaipa kampuni ya kienyeji kujenga uwanja wa ndege kiiila siku mnamtukana nayo Bora awape suma JKT,

Tatizo ni Lissu na matapeli wenzie kutukana wenzao kilasiku, tumejenga flyover nayeye kapita hapohapo kwenda kununua maparachichi mawili kariakoo eti anasema lingejengwa kijijini, ovyo
 
Pole mkuu kwa msongo wa mawazo. Kipindi JK anamaliza muda wake, ni wewe na hao akina MECCO mliungana kumtukana matusi mazito na mlisema kabisa JK hafai kabisa kuwa kiongozi, na hakuna aliyenyambulisha umuhimu wa sekta binafsi kama ulivyofanya. Mlihakikisha mnaungana kuipinga serikali ya JK. Mkitoa rushwa na kufanya vitu substandard. Mliweka gharama mara 10 ya ile gharama halisi na mkafurahia maisha.
 
Back
Top Bottom