Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,403
- Thread starter
- #21
Sawa.... ila ukweli ni kwamba Lisu akipata kura nyingi hata Magu akishinda things wont be the same... Kuna baadhi ya mambo yatabadilikaUnapoteza Kura yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.... ila ukweli ni kwamba Lisu akipata kura nyingi hata Magu akishinda things wont be the same... Kuna baadhi ya mambo yatabadilikaUnapoteza Kura yako
Hivi Kabombe for what reasons will you vote for Magufuli ??utawala huu hakuna janja janja,mpe tu lissu kura yako atakufufulia Richmond,hakuna tatizo
Safari hii tatizo sio chama tatizo ni mtu. CCM ya JK hawakuwahi lazimisha tume iengue wagombea wa upinzani mezani kama kipindi hiki..kwani huyo kikwete unaemsifia ni wa chama gani?tatizo lenu hamjui mnapigania nini
Very true!... Makampuni yameuliwa ovyo ovyo kabisa!.. .Utambue ya kuwa nchi ilishashuswa kutoka huo uchumi wa kati. ambao mlitangaziwa kwa twitter
( Tanzania yashushwa rating ya uchumi wa kati, yadaiwa uchumi wake sio halisi na ukwasi wake hautabiriki hasa katika kupata mikopo ya nje )
Pili Hakuna kampuni iliyokuwa hailipi kodi, makadirio yameongezeka na kodi pia zimeongezeka, na ndio iliyosababisha makampuni lukuki yakafungwa, kwa kipindi cha miaka 5, watu zaidi ya 1M wamepoteza ajira na hakuna ajira zilizoongezeka
NSSF, PSSF serikali hi imeziua, CCM ina madem huko mpaka inashindwa kukopesheka tena
Wamepunguza agent notice za TRA kwenda kwa mabenki..TRA wanakusanya Tsh.kwa mwezi? Mwaka jana walikuja na mbwembwe mwezi wa 9 walikusanya zaidi ya 1.8 billion ila mwaka huu wako kimya.
sijaelewa kamanda,hebu rekebisha niweze kukujibu kiufasahaSafari hii tatizo sio chama tatizo ni mtu. Ccm ya jk hawakuwahi lazimisha time dengue unagombea wa upinzani mezani kama kipindi hiki..
Zile Trillion 2 zilizopotea zilipoteajeutawala huu hakuna janja janja,mpe tu lissu kura yako atakufufulia Richmond,hakuna tatizo
zipi,achana na maneno ya kahawa,weka ripoti ya CAG hapaZile Trillion 2 zilizopotea zilipoteaje
nina sababu kama 2,000
siwezi kumchagua lissu wakala wa mabeberu kina Robert Amsterdam na mashogam
kwani Chato ipo kenya?Mimi mara 1000 rungwe apewe kura sio ufisadi wa chato, uwanja wa ndege unajenga shambani kwake chato badala ya geita.hapanaaa
Kama umeshindwa ona ufisadi wa Chato utaona wa wapi?Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Mlizoea ufisad,hamlipi kodi imekula kwenu
Kwa hyo kujenga uwanja wa ndege shambani kwake sawa? Je Geita iko Kenya?kwani chato ipo kenya?
Akikujibu nitagRichond ilitokea wakati chama gani kiko madarakani vile!
ni mtazamo wako unalazimisha iwe GeitaKwa hyo kujenga uwanja wa ndege shambani kwake sawa? Je geita iko Kenya?