LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mkuu JPM mchagueni nyie, sisi tumechoka kuchagua Rais msimangaji na mbaguuzi.yeye Kwake wanawake ni weupe tuuu....hapanaaaHayo makampuni unayoyasema JPM ndio aliyainua Sasa kaipa kampuni ya kienyeji kujenga uwanja wa ndege kiiila siku mnamtukana nayo Bora awape suma jkt,
Tatizo Ni Lissu na matapeli wenzie kutukana wenzao kilasiku, tumejenga flyover nayeye kapita hapohapo kwenda kununua maparachichi mawili kariakoo eti anasema lingejengwa kijijini, ovyo