Kufa ni kufanya nini?

Kufa ni kufanya nini?

sijakuelewa bado kwenye suala la ufahamu kuacha mwili, maana umesema nafs/ufaham ni kujitambua inayotokana na milango ya fahamu kama pua, macho n.k
na ufaham umesema ni energy na energy haifi... .. . sasa ni sabab gani inasababisha ufaham uachanee na mwili(uthibitisho)

Kwa sasa katika maisha ya dunia hii ukiwa na mwili unatumia milango yako ya ufahamu kupata taarifa. Mfano pua inakupabtaarifa ya harufu, masikio yanakupa taarifa ya waves vibration au sauti, macho yanakupa taarifa ya kuona hali ni rangi na kadhalika lakini ukifa sio kwamba ufahamu unakosa kujua hali zilivyo.

Leo hii ukiwa unaota ndoto macho hayatumiki lakini unaona, masikio ya mwili ulio nao hayasikii lakini kwenye ndito unaweza kusikia sauti. Kwa sababu Milango hii ya ufahamu inakusaidia kwa sasa ni kama ufahamu unautumia mwili kufanya kazi ambayo hata ufahamu ukiwa peke yake unaweza kufahamu. Ndio maana hata ukifa utaweza kuona kusikia na kadhalika na utagundua maisha ya mwili yapo limited.

Ufahamu ni energy iliyo pure na haiwezi kuharibiwa wala kufanyiwa chochote katika dunia ya kifizikia. Lakini mwili unachoka na unapatikana upya. Hivyo sababu ya ufahamu kuuacha mwili ni kama kufanya recycling ya mwili na ufahamu kuchukua hali mpya.
 
Kwa sasa katika maisha ya dunia hii ukiwa na mwili unatumia milango yako ya ufahamu kupata taarifa. Mfano pua inakupabtaarifa ya harufu, masikio yanakupa taarifa ya waves vibration au sauti, macho yanakupa taarifa ya kuona hali ni rangi na kadhalika lakini ukifa sio kwamba ufahamu unakosa kujua hali zilivyo. Leo hii ukiwa unaota ndoto macho hayatumiki lakini unaona, masikio ya mwili ulio nao hayasikii lakini kwenye ndito unaweza kusikia sauti. Kwa sababu Milango hii ya ufahamu inakusaidia kwa sasa ni kama ufahamu unautumia mwili kufanya kazi ambayo hata ufahamu ukiwa peke yake unaweza kufahamu. Ndio maana hata ukifa utaweza kuona kusikia na kadhalika na utagundua maisha ya mwili yapo limited.

Ufahamu ni energy iliyo pure na haiwezi kuharibiwa wala kufanyiwa chochote katika dunia ya kifizikia. Lakini mwili unachoka na unapatikana upya. Hivyo sababu ya ufahamu kuuacha mwili ni kama kufanya recycling ya mwili na ufahamu kuchukua hali mpya.

We jamaa unaongea vitu gani wewe.
 
dini hiyo ya kweli ni ipi mkuu???

Ni dini ya kisasa inayoamini na kufundisha ukweli kama ulivyofunuliwa kwetu kupitia sayansi asili, sayansi Jamii, sayansi ya kiroho na sayansi akili.
Hivyo kile kilichothibitishwa kwa usahihi kupitia hayo hapo juu ndio dini/njia ya kweli
 
Naomba nikujibu maswali yako kutokana na jinsi nilivyotafuta mwenyewe majibu na kufahamu. Usiamini ninachosema ila chunguza na wewe upate majibu yako.

Kufa ni nini? Mwanadamu ni muunganiko wa huu MWILI na UFAHAMU. Na kila chenye uhai kina consciousness (ufahamu) lakini viumbe vinatofautiana hali na nafasi ya ufahamu na mwanadamu ndiye kiumbe chenye ufahamu wa juu zaidi. Ufahamu ni neno linalotumika kumaanisha hali zifuatazo- kujitambua (kujifahamu mimi ni nani na hiki ni nini), kumbukumbu zitokanazo na milango ya ufahamu (macho, masikio, pua, na kadhalika hukupa taarifa na ndio maana huitwa milango ya ufahamu), uwezo wa kufanya maamuzi, utambuzi na akili kwa ujumla. Ufahamu sio ubongo. Mpaka sasa ushahidi unaokubalika 100% ni kuwa UFAHAMU ni energy/nguvu. Ndani ya ubongo kuna seli maalum kupitisha umeme. Kumbukumbu ni umeme. Ufahamu ni umeme. Wazo ni Umeme. Hisia ni umeme. Unaweza usifahamu ni umeme kutokana na umeme uliouzoea majumbani lakini frequency yake ni umeme.

Kwa mwanadamu tunasema kufa ni UFAHAMU unapouacha MWILI lakuna hakuna kifo cha UFAHAMU au MWISHO WA UFAHAMU. Mwili ni matter (kitu) kama vitu vingine. Ufahamu ni umeme, na kama ni energy tunafahamu dhahiri sheria YA ULIMWENGU kuwa Energy yoyote haiwezi kufa wala kuharibiwa bali hubadilika katika hali moja kwenda nyingine. Mpaka leo hakuna energy inayokufa hivyo ni dhahiri kuwa UFAHAMU hauna mwisho.

Mwanzo wa kila kitu duniani ulianza katika UFAHAMU. Haijulikani katika ufahamu wa nani lakini bila UFAHAMU kuwepo, huu uumbaji na mageuzi ya ulimwengu yasingeanza. Hivyo Ufahamu umejigawa katika Ufahamu mingi na lengo ni Ufahamu mdogo kurudi katika ufahamu mkuu na kuwa Ufahamu mmoja kama mwanzo.

Kutopumua, ubongo kutofanya kazi na mapigo ya moyo kuacha sio kwamba Umekufa bali kilichokufa ni mwili tu. Mwili huu ni kama kitu chochote ukionacho kilivyo. Unajengwa na vitu (Chakula ni matter), Unazeeka (kama vile mwamba uliokaa muda mrefu), Unaumwa (kuingiliwa na uhai mwingine, vitu au chembechembe zozote zisivyo sahihi), Unakufa (Kufa kwa mwili ni kuurudisha katika uasili wake baada ya kuchoka), na mwili ukifa unarudi ardhini kwani umejengwa na chembechembe za dunia hii (Kila chakula kimetoka katika ardhi hii lakini tofauti ya chakula na vitu vingine ni kuwa hali ya chakula inaendana na mwili, hivyo chakula ni chembechembe zinazoendana na mwili na kuujenga mwili, kama vile mbao haiwezi kujengwa na mawe wala mawe hayawezi kuwa mbao ni kutokana na muundo wa chembechembe za kila kitu ulimwenguni upo kiupekee).

Hivyo kufa ni kukupa nafasi ufahamu wako kuchukua identity au hali mpya kwani kila kilichopo katika hali ya kifizikia kina mwisho, sema tu kila kitu kinatofautiana mwisho wake na kingine kwa muda tofauti tofauti. Lakini ufahamu hauna mwisho kwani ufahamu ni energy/nguvu kani. Na Ufahamu ndio NAFSI (Katika imani nyingine zinazoita nafsi au roho).

Hakika wewe ni nuru hapa jamiiforums :thumbup:
 
Kwa sasa katika maisha ya dunia hii ukiwa na mwili unatumia milango yako ya ufahamu kupata taarifa. Mfano pua inakupabtaarifa ya harufu, masikio yanakupa taarifa ya waves vibration au sauti, macho yanakupa taarifa ya kuona hali ni rangi na kadhalika lakini ukifa sio kwamba ufahamu unakosa kujua hali zilivyo. Leo hii ukiwa unaota ndoto macho hayatumiki lakini unaona, masikio ya mwili ulio nao hayasikii lakini kwenye ndito unaweza kusikia sauti. Kwa sababu Milango hii ya ufahamu inakusaidia kwa sasa ni kama ufahamu unautumia mwili kufanya kazi ambayo hata ufahamu ukiwa peke yake unaweza kufahamu. Ndio maana hata ukifa utaweza kuona kusikia na kadhalika na utagundua maisha ya mwili yapo limited.

Ufahamu ni energy iliyo pure na haiwezi kuharibiwa wala kufanyiwa chochote katika dunia ya kifizikia. Lakini mwili unachoka na unapatikana upya. Hivyo sababu ya ufahamu kuuacha mwili ni kama kufanya recycling ya mwili na ufahamu kuchukua hali mpya.

okey nimekuelewa... na kwA mtu ambaye alisha experience out of body experiences (OBE) anaelewa unamaanisha nini.
na baadh wapo watakuona unasema nonsense au umewehuka
 
Ni dini ya kisasa inayoamini na kufundisha ukweli kama ulivyofunuliwa kwetu kupitia sayansi asili, sayansi Jamii, sayansi ya kiroho na sayansi akili.
Hivyo kile kilichothibitishwa kwa usahihi kupitia hayo hapo juu ndio dini/njia ya kweli

teh teh teh... .. . ila mkuu tatzo ni kuwa hata Muslim and Catholic hawatak waumin waijue hiyo njia ya ukwel, wanataka tubak wafuas tu
 
Maisha baada ya kifo? yanategemea nini?I mean hayo ni kwa watu wote? na kwanini tusiishi moja kwa moja pasi na kufa?

ndio kuna maisha baada ya kifo, ni kwa watu wote pia,
kwanini tusiishi bila kufa hilo ni kosa la adam baada ya kula tunda la ujuzi wa mema na mabaya alijisahau kula na lile tunda la uzima ambalo lingetufanya tuishi milele bila kufa.
 
Mwanadamu is made up of three major parts, Body, Soul au nafsi ambayo inafanywa na vitu vitatu (Intellect, Free will na Emotions), halafu cha tatu ni spirit.

Elewa kuanzia leo kuwa spirit ni kipande kinachotokana na pumzi ya Mungu (angalia uumbaji wa mwanadamu) na kimsingi ndio mtu mwenyewe. Kwa maneno mengine ni kuwa binadamu ni roho, ana nafsi na anaishi kwenye nyumba inaitwa mwili.

Mtu sio mwili, na ndio maana tunasema mwili wa marehemu, maana yake ni kuwa mwenyewe hayupo mwenye huo mwili.
Biblia inathibitisha kuwa roho ndio mtu mwenyewe, Ufunuo 20:15 inasema kama jina la mtu halijaonekana kwenye kitabu cha uzima atatupwa kwenye ziwa la moto.

Siku ya hukumu hatutakuwa na miili yetu hii ya nyama, tutakuwa na miili ya rohoni. Ndio maana mtu akiitwa Fatuma ni roho yake ndio inaitwa Fatuma.

Baada ya hapo sasa kifo simply ni roho ya mtu ambayo ndio mtu mwenyewe anaondoka kwenye nyumba yake na kuacha pagala ambalo ni mwili. Mara nyingi anaiacha nyumba yake inapokuwa na matatizo either inavuja (magonjwa, nk). Mtu anapokufa hawezi kusema amekufa, yeye anajiona ameondoka tu na yupo sehemu nyingine.

Hii term ya kufa tunaijua sisi wanadamu lakini yule aliyekufa anajiona amechukuliwa na malaika au mashetani kulingana na jinsi alivyokuwa anaishi hapa duniani. Na ndio hapo eternity inapoanza...

Hili ni somo pana kidogo, mara nyingi Yesu alikuwa hatumii term kufa alikuwa anasema amelala na inabidi aamshwe, kwa Mungu kufa ni eternal separation kati ya Mungu na mwanadamu kwa kutupwa kwenye ziwa na moto au jehanum.

Sasa kwa fact hiyo ndio maana Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro aliita LAZARO NJOO!!! alifanya hivyo kwa sababu anajua kuwa Lazaro sio ule mwili, ila yupo somewhere na anaweza kuisikia sauti ya Yesu na kurudi kwenye nyumba (mwili) yake, na ndivyo ilivyokuwa.

uko sahihi sana mkuu ila tunatofautiana kidogo tuu hapo kwenye mambo ya jehanam ila sio big deal
 
maana daktari mmoja alikuwa akieleza swala zima la kufa nikaogopa kidogo maana alisema asilimia 60 ya watu wanaowapima watu na kukamilisha kuwa wamekufa huwa wanakosea kwani mtu anaweza zimia hata kwa siku 3 na bado akawa hajafa akaenda kufia kaburini kwa kukosa hewa na joto na vitu vingine.

duh! inawezekana asee mana mwili uko very complex,,tujuze zaidi
 
kwa mtindo huu, mimi natamani nikifa nisizikwe waniweke tu sehemu hadi nitakapoharibika basi ndio wanizike.maana nafikiri umestuka upo kaburini au frijini hv inakuwaje haya ni mateso sana.

hayo mawazo ht mm ninayo asee,yan ht km ni kaburin bc waniwekee lile la mfuniko tuu sio lile dongo la kilo 700,,hehe
 
Duuuuh me napita tuuh👣👣👣👣
 
Nakubaliana na wengi walio na wasiwasi kuhusu daktari kuthibitisha kuwa mtu fulani kafa. Ningependa kutoa maelezo ya ziada ili kuleta ufahamu zaidi kwa aliyeuliza swali. Ili daktari awezi kutoa uthibitisho kuwa mtu amekufa anafuata mchakato huu:
Kwanza anaangalia kuwa je kuna juhudi zozote za mtu au mgonjwa kupumua bila ya msaada wowote?
Pili anaangalia mtoto wa jicho (pupil)ambalo litakuwa limepanuka sana kuashiria kuwa ubongo ulikosa oxygen.
Tatu ni kuangalia kwa kutumia kipimo cha stethoscope kuhakikisha kuwa kuna mapigo ya moyo na vile vile kama kuna sauti ya hewa inapoingia au kutoka kwenye mapafu.
Hivyo vyote vilivyotajwa hapo juu ni viungo (organs)tatu muhimu kwa uhai wa binadamu. Vinapogundulika kuwa havifanyi kazi basi daktari atatoa uthibitisho wa kifo.

Viashiria vingine vya kifo ni kuendelea kushuka kwa joto la mwili amblo huanza kuonekana baada ya nusu saa baada ya kufa. Vile vile baada ya masaa 6 hadi 12 mwili wa mtu aliyekufa huanza kukakamaa (rigor mortis).

BRAIN DEATH
Kwa kawaida ubongo ni kiungo (organ) ambacho kinatumia oxygen na glucose nyingi kwa ajili ya shughuli zake nyingi. Ubongo unatumia hadi asilimia 20 ya oxygen na glucose mwilini ili uweze kufanya kazi yake kikamilifu.

Hivyo basi unapokosa vitu hivyo japo kwa dakika tatu tu unasimama kufanya kazi hivyo ndivyo tunasema kuwa kuna brain death.
Kwa kuwa ubongo ndio unaoongoza na kuelekeza viungo vyote vya mwili in maana kuwa unaposimama tu kufanya kazi basi moyo, mapafu, fingo na vinginevyo navyo vitasimama. Wengi mmesikia kuwa fulani kapata brain death na hawa mara nyingi wapo ICU ambapo kuna mashine zinazoweza kusaidia moyo na mapafu vifanye kazi ya kusukuma damu na kuiongezea oxygen japo ubongo wa mtu huo umesimama kufanya kazi.
Kwa wale wanaosema kuwa unaweza kuthibitishwa kuwa umekufa wakati ambapo bado una uhai inawezekana, kwani sisi binadamu tunao uwezo tofauti wa kuweza kuishi katika mazingira magumu. Ndio maana kuna wazamiaji wanaoweza kuwa majini kwa muda wa dakika 20 bila ya kudhurika.

ahsante mkuu kwa maelezo ya kitaalamu kabisa,,binadamu amembwa kwa namna ya ajabu sana
 
Mwanadamu is made up of three major parts, Body, Soul au nafsi ambayo inafanywa na vitu vitatu (Intellect, Free will na Emotions), halafu cha tatu ni spirit.

Elewa kuanzia leo kuwa spirit ni kipande kinachotokana na pumzi ya Mungu (angalia uumbaji wa mwanadamu) na kimsingi ndio mtu mwenyewe. Kwa maneno mengine ni kuwa binadamu ni roho, ana nafsi na anaishi kwenye nyumba inaitwa mwili.

Mtu sio mwili, na ndio maana tunasema mwili wa marehemu, maana yake ni kuwa mwenyewe hayupo mwenye huo mwili.
Biblia inathibitisha kuwa roho ndio mtu mwenyewe, Ufunuo 20:15 inasema kama jina la mtu halijaonekana kwenye kitabu cha uzima atatupwa kwenye ziwa la moto.

Siku ya hukumu hatutakuwa na miili yetu hii ya nyama, tutakuwa na miili ya rohoni. Ndio maana mtu akiitwa Fatuma ni roho yake ndio inaitwa Fatuma.

Baada ya hapo sasa kifo simply ni roho ya mtu ambayo ndio mtu mwenyewe anaondoka kwenye nyumba yake na kuacha pagala ambalo ni mwili. Mara nyingi anaiacha nyumba yake inapokuwa na matatizo either inavuja (magonjwa, nk). Mtu anapokufa hawezi kusema amekufa, yeye anajiona ameondoka tu na yupo sehemu nyingine.

Hii term ya kufa tunaijua sisi wanadamu lakini yule aliyekufa anajiona amechukuliwa na malaika au mashetani kulingana na jinsi alivyokuwa anaishi hapa duniani. Na ndio hapo eternity inapoanza...

Hili ni somo pana kidogo, mara nyingi Yesu alikuwa hatumii term kufa alikuwa anasema amelala na inabidi aamshwe, kwa Mungu kufa ni eternal separation kati ya Mungu na mwanadamu kwa kutupwa kwenye ziwa na moto au jehanum.

Sasa kwa fact hiyo ndio maana Yesu alipofika kwenye kaburi la Lazaro aliita LAZARO NJOO!!! alifanya hivyo kwa sababu anajua kuwa Lazaro sio ule mwili, ila yupo somewhere na anaweza kuisikia sauti ya Yesu na kurudi kwenye nyumba (mwili) yake, na ndivyo ilivyokuwa.

Naomba nieleweshe zaidi hasa pale Mungu alipomwambia Adam baada ya kula lile tunda. "Hakika utakufa" je alikuwa na maana roho ya Adamu itakufa au mwili wa Adam maana kama nimekuelewa vizuri umesema mtu/roho hafi ila roho inahama na kuuacha mwili.
 
Chukua vijiko viwili vya sumu ya panya,changanya kwenye glasi moja yenye bia(robo Lita) .Koroga taratibu kuepuka kumwaga,kunywa yote Mara moja ili ifanye kazi kiufasaha zaidi,kisha jifungie chumbani kwako na ufunguo ulale,baada ya siku mbili uje utuletee majibu.

NB: Hakikisha uwe peke yako kuepusha usumbufu na dawa kutokufanya kazi,ukaja kunilaumu.
 
hayo mawazo ht mm ninayo asee,yan ht km ni kaburin bc waniwekee lile la mfuniko tuu sio lile dongo la kilo 700,,hehe

inabid hawa ambao wanaharakisha mtu azikwe siku hiyohiyo(kuanzia saa 10) waache#
 
Chukua vijiko viwili vya sumu ya panya,changanya kwenye glasi moja yenye bia(robo Lita) .Koroga taratibu kuepuka kumwaga,kunywa yote Mara moja ili ifanye kazi kiufasaha zaidi,kisha jifungie chumbani kwako na ufunguo ulale,baada ya siku mbili uje utuletee majibu.

NB: Hakikisha uwe peke yako kuepusha usumbufu na dawa kutokufanya kazi,ukaja kunilaumu.

kama nina aleji na sumu ya panya na bia nitumie njia gani nyingine???
 
Naomba nieleweshe zaidi hasa pale Mungu alipomwambia Adam baada ya kula lile tunda. "Hakika utakufa" je alikuwa na maana roho ya Adamu itakufa au mwili wa Adam maana kama nimekuelewa vizuri umesema mtu/roho hafi ila roho inahama na kuuacha mwili.

alimaanisha kuwa mwili ndio utakufa... .. . ndio maana akasema "kama ulivyotoka mavumbini nawe utarudi mavumbini" akimaanisha kuwa mwili wa binadam uliumbwa kwa udongo nao utarudi tena kwenye udongo, ila hakumaanisha ile pumzi aliyo mpulizia.

Je unaijua sababu ya mungu kumfukuza adamu katika bustani ya edeni na kuweka malaika wenye mapanga makali yazungukayo ili adam asirudi tena?
 
Back
Top Bottom