Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

Kufahamiana [JF Identities] - Faida na Hasara [?]

Bishanga unavyopenda nyumba ndogo ndo tufahamiane live uje home uanze kumtamani bint yangu au mke wangu si itakuwa balaa hapa jf?

hahahahaha! Kuna watu huwezi pata wazo la kufahamiana nao hata kidunchu.
 
Bishanga unavyopenda nyumba ndogo ndo tufahamiane live uje home uanze kumtamani bint yangu au mke wangu si itakuwa balaa hapa jf?
'Masoud amekuwa jambazi,ukikutana naye ukimbilie mbali'
(source:Hassan Rehani Bitchuka na Mlimani Park ochestra).
 
hamna ubaya kujuana,unless hujiamini......mtu akikujia na mbovu mbovu zake kisa anakufahamu si na wewe unamjibia mbovu tu?
 
hamna ubaya kujuana,unless hujiamini......mtu akikujia na mbovu mbovu zake kisa anakufahamu si na wewe unamjibia mbovu tu?

naomba tujuane,mimi ni kadogoo,ndo kwanza naingia form4 makongo.
 
Nilipanga appointment na Mwana JF mmoja kufika Pale nikagundua kwamba ni RA. Nikasanda
 
Nimefahamiana na baadhi ya member wachache hapa, nimeona faida zake na ni very constructive, tumesaidiana na tunasaidiana inapowezekana.

Inawezekana (hili limekuwepo hivi karibuni) wapo ambao wanaongozwa na hisia na wanaibua mambo (kama mdau mmoja alivyosema) attention lakini kiuhalisia haya mambo wamebuni.

Pamoja sana wakuu
 
i concur with you TF,na proof ya hili ni jinsi watu wanavyotaniana humu ndani hata kama hawajuani,na si wote wanataniana,mfano spirin anamtania Klloro na malaria sugu,Kaizer anamtania Ashadii,SL ,AD, Husn wanamtania
TF n.k you see kutaniana means they are comfortable with each other hata kama hawafahamiani kwa sura.Na kuna watu humu ma long timer katu hawataniani mfano Lizzy na Dena....you see? Kwa hiyo hata kama hatufahamiani lakini suala la vibe liko pale pale.
Just an observation,msinitoe macho mwanawane!
Spot on.
It's all about connection. . .
Hata huku mitaani kuna watu tunafahamiana nao muda mrefu ila hatuna "ile bond" , na wengine hata kama miezi inahesabika tangu kufahamiana lakini tunajikuta tunakua karibu, tunaconnect kama vile tunafahamiana miaka.
 
Unapanga Kukutana na Mtu kama Boflo halafu kwa Mshangao unakuta kwamba Boflo ni Baba yako LoL!
 
Wanaotaka kujuwana na mimi waje mtaa wa Lumumba na amani, nyumba ilipozaliwa TANU waulize tu hapo, FaizaFoxy, wataoneshwa kwangu, ni jirani kabisa na hapo. Karibuni, haina haja ya appointment, waswahili hatuna hilo, wakati wowote tunasema Ahlan Wasahlan.
 
Back
Top Bottom