Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Dogo ameiva
Tz ya wanyonge hajui kama ipo dunia hii 😀😀
Boss utatuua na vicheko jamani.Dogo ameiva
Tz ya wanyonge hajui kama ipo dunia hii 😀😀
Yah manBoss utatuua na vicheko jamani.
Yah man
Huyo dogo akiambiwa kuna mtu amekufa kwa njaa atabaki anashangaa kwann hakula 😀😀😀😀
HahahahYah man
Huyo dogo akiambiwa kuna mtu amekufa kwa njaa atabaki anashangaa kwann hakula 😀😀😀😀
Hata hapa TZ kuna mtu ukimwambia kuwa jana umelala na njaa anakushangaa sana! Wapo sana hapa Duniani watu wenye maisha kama ya huyo Dogo!