Kufanikiwa ukiwa maeneo uliyozaliwa ni mtihani

Kufanikiwa ukiwa maeneo uliyozaliwa ni mtihani

Mashine zote za uchimbaji madini walizingudua nakuanza kuzitumia wao kwanza inawezekana walipoona kwao madini yameisha ikabidi watafute madini nchi zingine waende wachimbe
Unaposema ^walizigundua^ wao, unaokosea sana. Hizi teknolojia kimsingi hazinaga mwenyewe, bali ni mwendelezo na uboreshaji tu toka karne na karne. Usikute wagunduzi halisi wa hizo teknolojia ni Waafrika, ila Wazungu wakazihodhi kimabavu, kama Wamarekani walikaliavyo jimbo la Hawaii kwa sasa.

Ondoa neno kuzigundua, weka kuzihodhi. Hivi unamjua injinia mahiri wa umeme Nikola Tesla?
 
Nyumbani Kuna wivu,
Kuna Ile comfort zone unakuwa nayo, yaani kwamba biashara ikibuma una option nyingine, uhakika wa kula n.k na hiyo itakubwetekeza
Na nchi yetu yenye tamaduni za kijana utafeli tu
Toka nyumbani, Tanzania kubwa Fanya maisha

Pia kudharauliana, husuda, kulogana nk
 
Labda kama una urithi wa kusimamia ila kama ni mpambanaji toka huo mkoa kaanze maisha kwingine kwenye fursa.
 
Kufanikiwa ni lazima uwe na connection, kufanya kazi kwa bidii/juhudi na maarifa haijalishi upo home ama ugenini maana kwenye bidii ndipo unapokutana na connection sasa we kaa kama mfuko apo utegemee kutoboa bila kusahau uvumilivu na matumaini maana huijui Kesho yako
 
Watu wasiosoma wamekalili sana hili suala mafanikio ni mda na wakati
 
Back
Top Bottom