Kufanya biashara ya ubia partnership na mbongo bora pesa yako ujenge nyumba ya wapangaji

Kufanya biashara ya ubia partnership na mbongo bora pesa yako ujenge nyumba ya wapangaji

Basi tu pesa haikai na ilipata matumizi mengine, am sure angekuwa na za ziada angekuongezea au huenda yeye sio business minded kama wewe..., ukweli ni kwamba Biashara nyingi za Bongo ni zima moto hizo soda zipo dukani ili wageni wakija pia wanye kuliko kununua kwa mangi; sukari ikiisha ni dukani kwahio kanakuwa ni ka mradi fulani hivi kasikokuwa bali kanapigana tafu na wanafamilia (nipe nikupe)
Uko sahihi sana ahahahaah..nikaona isiwe tabu
 
Back
Top Bottom