MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Namba 6 sijakubali mkuu. Ungesema kiunoni sawa. Lakini kuna tatizo gani kushika mikono na mwanaume mwenzio wakati mnatembea. Wakati mwingine rafiki yako anakuwekea mkono begani. Sioni tatizo. Au hujawahi kuwa na maswahiba?