Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

Kumpa hela ya nauli manzi kuja kukutembela ni uzuzu
 
Dunia ingekuwa mahali salama kuishi kama kila mmoja angemind biashara zake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo zuzu tukiachana akitaka kubomoa nyumba tunamfunga
Hahahaaa. Usijali mdogo wangu japokuwa kuna Mazuzu wengine akili zao wanazijua wenyewe yaani hawachelewi kuzibomoa nyumba pindi mahusiano yakifika tamati[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…