covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Nimetafakari sana baada ya report ya CAG jana kwakeli hawa wenzetu wa serikali sijui ni bahati au ni nn
Imagine watu wanaongeza masifuri tu ila wala hawashughulikiwi wanasemwa tu.
Yaani unaambiwa tu boss ulizochukua hazikutosha?? Aya tupishe..
Jaman mnatuvunja moyo sana walipa kodi sana sana..
Hii nchi ni yetu wote na msituone tulio nje wa system ni wajinga au mazoba
sijui tunatengeneza taifa la aina gani isee..taifa la majambazi na ujanjajanja wa kipumbavu..
Imagine watu wanaongeza masifuri tu ila wala hawashughulikiwi wanasemwa tu.
Yaani unaambiwa tu boss ulizochukua hazikutosha?? Aya tupishe..
Jaman mnatuvunja moyo sana walipa kodi sana sana..
Hii nchi ni yetu wote na msituone tulio nje wa system ni wajinga au mazoba
sijui tunatengeneza taifa la aina gani isee..taifa la majambazi na ujanjajanja wa kipumbavu..