Kiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana
Acha kauli zakitukutu izo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana
Atakayejipendekeza kwa mke wangu. Lazima nimpe ujauzito. [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hahahaaa..mkuu nani huyo anakuona wew fwala?!!!
Duh...haahahaa asee kuchapiwa inauma eeh?!!Atakayejipendekeza kwa mke wangu. Lazima nimpe ujauzito. [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Anaonesha kunidharau. Kama papuchi nilikuta inaliwa nami nikaichukua jumla ili isiliwe hovyohovyo. Sasa yeye aje tu na kibamia chake ajidai kupenda wake za watu? Lazima na yeye "nimuwowe"!Duh...haahahaa asee kuchapiwa inauma eeh?!!
Ha ha ha ha ha tenda za kuzibua chemba napewaga mmKiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana
We binti wewe mbona una mneno mzito ivyoKiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana
Ni kosa la madai, ndio maana wengine huwa wanaamua kabisa kumalizana na wagoni kuliko kumdai hela mtu aliyekulia mkeo, ni fedheha fulani. Ingekuwa kosa la jinai mtu anaenda jela, jamaa wangekomaa na wagoni wao wakafungwe walau waondoke uraiani roho isuuzike
Wataalam, nina swali nje ya mada kidogo...
Je, mwanamke akivalishwa pete ya uchumba na mwanaume...
Je, mwanaume anakuwa ana haki zozote kwa huyo mwanamke kisheria?
Ni kosa kisheria adhabu yake ni kuliwa jichoNdugu wasomi wa Sheria,
Naomba kufahamishwa juu ya mada husika hapo juu.
Kama jibu ni ndiyo, adhabu yake ni ipi?
Ikitokea mwanamke amepata mimba ambayo sio ya kwangu(ikathibitika kwa dna baada ya mtoto kuzaliwa)Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.
Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.
Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.
Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)
Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)
Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)
Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.
(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.
NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.
PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.
Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.
Nimechoka
Nawasilisha.
KabisaNi kosa kisheria adhabu yake ni kuliwa jicho
Anaweza kudai alifanya IVFIkitokea mwanamke amepata mimba ambayo sio ya kwangu(ikathibitika kwa dna baada ya mtoto kuzaliwa)
Je hicho hakiwezi kuwa kithibitisho japo mimi sikuona wakifanya?
Pole kwa uchovuUtatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.
Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.
Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.
Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)
Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)
Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)
Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.
(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.
NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.
PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.
Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.
Nimechoka
Nawasilisha.
Aiseee,Anaweza kudai alifanya IVF
Na je mwanamke akirudi kwao kwa maana yakuacha mji wake na mume na kuamua kujirudisha kwao. Hii haipelekei mume kudai mahali? Au hii si kosa kwa wazazi wa yule binti kukaa na mkr wa mtu?Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.
Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.
Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.
Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)
Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)
Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)
Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.
(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.
NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.
PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.
Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.
Nimechoka
Nawasilisha.
Hainaga makombo siyo!!Ni kosa Ila sio kosa la jinai ambalo linampelekea mtu kufungwa hapana ,mtu aliekuchukulia mwenza unaweza kumfungulia kesi mahakamani na akikutwa na hatia adhabu yake atatakiwa akulipe garama zote ulizo mgarimia huyo mwanamke.
Refer case ya Dr. Willbrod Slaa na Mume wa Josephine Mushumbuzi mchumba wa Dr. Slaa, mwisho wa ile kesi Dr. Slaa aliamriwa kumlipa fidia yule jamaa na alifanya hivyo yakaisha na yeye hadi Leo anakula bata na mtoto wa Kihaya
Mahakamani? Jamaa akikukamata lazima alipize apo apo kwako ili na wewe uone kipimo wakati shadede linazama makalioni. Nke wa Ntu ni hatari soomo.Inabidi nikae mbali na mke wa mtu maana hayo mambo yakulipana wakati yeye ndiye ananihonga nitatoa wapi hayo malipo!!!!