Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Kiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana

Acha kauli zakitukutu izo
 
Kiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana
Ha ha ha ha ha tenda za kuzibua chemba napewaga mm
 
Ni kosa la madai, ndio maana wengine huwa wanaamua kabisa kumalizana na wagoni kuliko kumdai hela mtu aliyekulia mkeo, ni fedheha fulani. Ingekuwa kosa la jinai mtu anaenda jela, jamaa wangekomaa na wagoni wao wakafungwe walau waondoke uraiani roho isuuzike




.
Inauma wewe!!ata ukinilipa faini haitoshi achana na kupigiwa wife wewe
 
Wataalam, nina swali nje ya mada kidogo...

Je, mwanamke akivalishwa pete ya uchumba na mwanaume...

Je, mwanaume anakuwa ana haki zozote kwa huyo mwanamke kisheria?

Hakuna cheti cha uchumba ndio maana uchumba unaweza kuvunjika bila utaratibu wowote.
 
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
Ikitokea mwanamke amepata mimba ambayo sio ya kwangu(ikathibitika kwa dna baada ya mtoto kuzaliwa)
Je hicho hakiwezi kuwa kithibitisho japo mimi sikuona wakifanya?
 
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
Pole kwa uchovu
 
Kesi hii inapofikishwa mahakamani jambo LA kwanza ni kuachanishwa kama umefumania anagegedwa ndipo fidia inapofika kwa sababu amepoteza sifa ya kuwa mke, hata katoliki tunaamin Yale mafundisho ya Paulo kwa wakorintho kuwa MTU asimuache mkewe isipokuwa kwa uzinzi, kumbe uzinzi kinaondoa kile kipengele cha upendo na ndio maana kanisa linakubali kuwa hakukuwa na upendo toka mwanzo na ndio maana uzinzi unatokea kumbe basi ndoa haipo ile siku ile yalikuwa maigizo kwani shart LA ndoa ni Upendo, kuvumiliana kwa shida na kwa raha, upendo pia haugawanyiki.

Ninatoa tafasir ya kisheria kwa ndoa za kikatoliki ambaZo wanadai hazivunjwi, lkn huo ndio tunahita
The nullification of marriage
 
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
Na je mwanamke akirudi kwao kwa maana yakuacha mji wake na mume na kuamua kujirudisha kwao. Hii haipelekei mume kudai mahali? Au hii si kosa kwa wazazi wa yule binti kukaa na mkr wa mtu?
 
Ni kosa Ila sio kosa la jinai ambalo linampelekea mtu kufungwa hapana ,mtu aliekuchukulia mwenza unaweza kumfungulia kesi mahakamani na akikutwa na hatia adhabu yake atatakiwa akulipe garama zote ulizo mgarimia huyo mwanamke.

Refer case ya Dr. Willbrod Slaa na Mume wa Josephine Mushumbuzi mchumba wa Dr. Slaa, mwisho wa ile kesi Dr. Slaa aliamriwa kumlipa fidia yule jamaa na alifanya hivyo yakaisha na yeye hadi Leo anakula bata na mtoto wa Kihaya
Hainaga makombo siyo!!
 
Inabidi nikae mbali na mke wa mtu maana hayo mambo yakulipana wakati yeye ndiye ananihonga nitatoa wapi hayo malipo!!!!
Mahakamani? Jamaa akikukamata lazima alipize apo apo kwako ili na wewe uone kipimo wakati shadede linazama makalioni. Nke wa Ntu ni hatari soomo.
 
Back
Top Bottom