kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Sawa. Saidia pia kujibu swali kama unaufaham kuhusu masuara la mahaRiMahali= mahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Saidia pia kujibu swali kama unaufaham kuhusu masuara la mahaRiMahali= mahari
Sawa mkuu,, mke akiachika kwa kufukuzwa na mume hapo mwanaume hana haki ya kudai mahari lakini iwapo mke ndiye eliyevunja ndoa/kumkataa mwanaume ama kudai talaka basi huyo mwanaume ana haki ya kudai mahari yake aliyokuwa amelipa japo mwisho wa siku mwanaume anaweza kulipwa fidia kiasi kulingana na makadirio! Fidia haiwezi kuwa sawa na kiasi cha mahari ambayo mwanaume alilipa kwani inachukuliwa kuwa ukikaa na mke kuna uzalishaji Fulani anachangia kwenye pato la familiaSawa. Saidia pia kujibu swali kama unaufaham kuhusu masuara la mahaRi
Thanks mkuu, hii ni kwa mujibu wa sheria gan labda au mila?Sawa mkuu,, mke akiachika kwa kufukuzwa na mume hapo mwanaume hana haki ya kudai mahari lakini iwapo mke ndiye eliyevunja ndoa/kumkataa mwanaume ama kudai talaka basi huyo mwanaume ana haki ya kudai mahari yake aliyokuwa amelipa japo mwisho wa siku mwanaume anaweza kulipwa fidia kiasi kulingana na makadirio! Fidia haiwezi kuwa sawa na kiasi cha mahari ambayo mwanaume alilipa kwani inachukuliwa kuwa ukikaa na mke kuna uzalishaji Fulani anachangia kwenye pato la familia
Nimeshuhudia kesi za namna hii kadhaa katika ngazi ndogo ya mahakama mfano mahakama ya mwanzo, baraza la kata n.k...baada ya mivutano ya hapa na pale waliweza kuamua vile na wakati mwingine hata kama mwanamke kuvunja ndoa lakini cha ajabu mmwanaume anakosa kila kitu ..hii inategemea pia ni muda gani hao wanandoa wameishi pamojaThanks mkuu, hii ni kwa mujibu wa sheria gan labda au mila?
Suala la nani ana initiate suala.la talaka linaamriwa na nn? Mfano ktk mazingira ya mwanamke kuondoka na kurudi kwao na kuzamia huko mwanaume akienda mahakamani, maana yake ni mume anatoa talaka au mke amelazimisja talaka, na suala la fidia liko handled vp hapo, let say wameishi hata mwaka haujaisha.Nimeshuhudia kesi za namna hii kadhaa katika ngazi ndogo ya mahakama mfano mahakama ya mwanzo, baraza la kata n.k...baada ya mivutano ya hapa na pale waliweza kuamua vile na wakati mwingine hata kama mwanamke kuvunja ndoa lakini cha ajabu mmwanaume anakosa kila kitu ..hii inategemea pia ni muda gani hao wanandoa wameishi pamoja
Hahahaaa...kama ulikuwepo mkuu siku hizi ke ni wajanja sana! Mke anaenda kwao anakatalia huko hataki kusema sikutaki au nimekupa talaka akijua tu akifanya hivyo atadaiwa fidia aka mahari! Kwa maana hiyo huyo mke kalazimisha talaka ambapo vyombo husika vya kutoa maamuzi huamua kuubana upande wa ke ulipe fidia kwa makadirio kama nilisema mwanzo iwapo hao watu wameishi pamoja kwa muda mfupi mfano mwaka mmoja km ulivosema..asee kama hawa wanandoa waliishi kwa mda mrefu kidogo hapo mme asitegemee kupata kituSuala la nani ana initiate suala.la talaka linaamriwa na nn? Mfano ktk mazingira ya mwanamke kuondoka na kurudi kwao na kuzamia huko mwanaume akienda mahakamani, maana yake ni mume anatoa talaka au mke amelazimisja talaka, na suala la fidia liko handled vp hapo, let say wameishi hata mwaka haujaisha.
Ni kwel mkuu kesi nyngi zipo hivo. Na je katika mazingira hayo, mwanamke anayohaki ya kuchukua milki yyte kwa mumewe anayodai kuwa ni yake au kama sehem ya mali anazogawana na mume wake katika kutengana? Ni wakat gan anaweza kupatiwa sehem ya mali aliyochuma na mamlaka ya kugawa hyo mali ipo kwa nani?Hahahaaa...kama ulikuwepo mkuu siku hizi ke ni wajanja sana! Mke anaenda kwao anakatalia huko hataki kusema sikutaki au nimekupa talaka akijua tu akifanya hivyo atadaiwa fidia aka mahari! Kwa maana hiyo huyo mke kalazimisha talaka ambapo vyombo husika vya kutoa maamuzi huamua kuubana upande wa ke ulipe fidia kwa makadirio kama nilisema mwanzo iwapo hao watu wameishi pamoja kwa muda mfupi mfano mwaka mmoja km ulivosema..asee kama hawa wanandoa waliishi kwa mda mrefu kidogo hapo mme asitegemee kupata kitu
Awe ndan ya ndoa halafu atumie IVF??Anaweza kudai alifanya IVF
Tifu jipya kwako na mkeo, ila yule mgoni wako anakua amejiokoa, yeye atasema alimuuzia mbegu kwa bei maalum kwenye kichupa, na hakulala naeAwe ndan ya ndoa halafu atumie IVF??
Hilo tifu jipya kabisa
Sheria ndo inasema kama ni Hakimu wa kike atamtetea mwanamke??.LMA CAP 29 on 1971
Imeeleza mtu anapo commit adultery lazima mahakama ijilize na ushahidi udhibitishe kuna wanandoa wengine wanaweza kukubaliana mwanamke akazini ili wapate watoto halafu mme anbadilika kwamba ni ugoni hiyo itaangariwa kisheria zaidi kam ni adultery itakuwa refund of bride price inarudishwa after issuing a decree of divorce on ground of adultery.
Hizo ni matrimonial offence hapo ni faini tu itategemea na hakimu kama ni wa kike itabidi amtetee mwanamke kwa hata milioni 50, anakugonga ili heshima iwepo kwahiyo usije ukadhani kitu cha masihala tu. We chepuka tu Ila siku wakikubamba ndo utaelewa SOMO. Hizi sheria ni evidence tu..... Kuna jamaa angu mmoja alifanya hiyo kitu alilipa million 1 bila maswali
Kitu kingine ni right to dameges after enticement hii nikitendo cha kumshawish mwn ndoa aachike zile SMS za mahaba wakati ata sio make wako wakikunasa faini utakayo kutana nayo itakuwa siri yako
Mkuu hilo sijui likoje kisheria..Ni kwel mkuu kesi nyngi zipo hivo. Na je katika mazingira hayo, mwanamke anayohaki ya kuchukua milki yyte kwa mumewe anayodai kuwa ni yake au kama sehem ya mali anazogawana na mume wake katika kutengana? Ni wakat gan anaweza kupatiwa sehem ya mali aliyochuma na mamlaka ya kugawa hyo mali ipo kwa nani?
Anakua wa kwetu wote ila utabaki nae wwhahaa inamaana unamlipa jamaa mahari aliyolipaga alafua anakuachia mke.
Usiteseke sana, ngoja nikutumie makosa ya jinai ujisomee mwenyewe
Weka number nikutumie muongozo wote watsup ndugu, na aina ya makosa na adhabu zake
ninaishi nae miaka 2; nasikia ukiishi nae miaka 2; anatambulika kama Mke.Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.
Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.
Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.
Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)
Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)
Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)
Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.
(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.
NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.
PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.
Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.
Nimechoka
Nawasilisha.
Kweli umenianzishia siku😀😀😀Anaonesha kunidharau. Kama papuchi nilikuta inaliwa nami nikaichukua jumla ili isiliwe hovyohovyo. Sasa yeye aje tu na kibamia chake ajidai kupenda wake za watu? Lazima na yeye "nimuwowe"!
Sasa hiyo IVF alifanyiwa by force au?Anaweza kudai alifanya IVF