Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Sawa. Saidia pia kujibu swali kama unaufaham kuhusu masuara la mahaRi
Sawa mkuu,, mke akiachika kwa kufukuzwa na mume hapo mwanaume hana haki ya kudai mahari lakini iwapo mke ndiye eliyevunja ndoa/kumkataa mwanaume ama kudai talaka basi huyo mwanaume ana haki ya kudai mahari yake aliyokuwa amelipa japo mwisho wa siku mwanaume anaweza kulipwa fidia kiasi kulingana na makadirio! Fidia haiwezi kuwa sawa na kiasi cha mahari ambayo mwanaume alilipa kwani inachukuliwa kuwa ukikaa na mke kuna uzalishaji Fulani anachangia kwenye pato la familia
 
Sawa mkuu,, mke akiachika kwa kufukuzwa na mume hapo mwanaume hana haki ya kudai mahari lakini iwapo mke ndiye eliyevunja ndoa/kumkataa mwanaume ama kudai talaka basi huyo mwanaume ana haki ya kudai mahari yake aliyokuwa amelipa japo mwisho wa siku mwanaume anaweza kulipwa fidia kiasi kulingana na makadirio! Fidia haiwezi kuwa sawa na kiasi cha mahari ambayo mwanaume alilipa kwani inachukuliwa kuwa ukikaa na mke kuna uzalishaji Fulani anachangia kwenye pato la familia
Thanks mkuu, hii ni kwa mujibu wa sheria gan labda au mila?
 
Thanks mkuu, hii ni kwa mujibu wa sheria gan labda au mila?
Nimeshuhudia kesi za namna hii kadhaa katika ngazi ndogo ya mahakama mfano mahakama ya mwanzo, baraza la kata n.k...baada ya mivutano ya hapa na pale waliweza kuamua vile na wakati mwingine hata kama mwanamke kuvunja ndoa lakini cha ajabu mmwanaume anakosa kila kitu ..hii inategemea pia ni muda gani hao wanandoa wameishi pamoja
 
Nimeshuhudia kesi za namna hii kadhaa katika ngazi ndogo ya mahakama mfano mahakama ya mwanzo, baraza la kata n.k...baada ya mivutano ya hapa na pale waliweza kuamua vile na wakati mwingine hata kama mwanamke kuvunja ndoa lakini cha ajabu mmwanaume anakosa kila kitu ..hii inategemea pia ni muda gani hao wanandoa wameishi pamoja
Suala la nani ana initiate suala.la talaka linaamriwa na nn? Mfano ktk mazingira ya mwanamke kuondoka na kurudi kwao na kuzamia huko mwanaume akienda mahakamani, maana yake ni mume anatoa talaka au mke amelazimisja talaka, na suala la fidia liko handled vp hapo, let say wameishi hata mwaka haujaisha.
 
Suala la nani ana initiate suala.la talaka linaamriwa na nn? Mfano ktk mazingira ya mwanamke kuondoka na kurudi kwao na kuzamia huko mwanaume akienda mahakamani, maana yake ni mume anatoa talaka au mke amelazimisja talaka, na suala la fidia liko handled vp hapo, let say wameishi hata mwaka haujaisha.
Hahahaaa...kama ulikuwepo mkuu siku hizi ke ni wajanja sana! Mke anaenda kwao anakatalia huko hataki kusema sikutaki au nimekupa talaka akijua tu akifanya hivyo atadaiwa fidia aka mahari! Kwa maana hiyo huyo mke kalazimisha talaka ambapo vyombo husika vya kutoa maamuzi huamua kuubana upande wa ke ulipe fidia kwa makadirio kama nilisema mwanzo iwapo hao watu wameishi pamoja kwa muda mfupi mfano mwaka mmoja km ulivosema..asee kama hawa wanandoa waliishi kwa mda mrefu kidogo hapo mme asitegemee kupata kitu
 
Hahahaaa...kama ulikuwepo mkuu siku hizi ke ni wajanja sana! Mke anaenda kwao anakatalia huko hataki kusema sikutaki au nimekupa talaka akijua tu akifanya hivyo atadaiwa fidia aka mahari! Kwa maana hiyo huyo mke kalazimisha talaka ambapo vyombo husika vya kutoa maamuzi huamua kuubana upande wa ke ulipe fidia kwa makadirio kama nilisema mwanzo iwapo hao watu wameishi pamoja kwa muda mfupi mfano mwaka mmoja km ulivosema..asee kama hawa wanandoa waliishi kwa mda mrefu kidogo hapo mme asitegemee kupata kitu
Ni kwel mkuu kesi nyngi zipo hivo. Na je katika mazingira hayo, mwanamke anayohaki ya kuchukua milki yyte kwa mumewe anayodai kuwa ni yake au kama sehem ya mali anazogawana na mume wake katika kutengana? Ni wakat gan anaweza kupatiwa sehem ya mali aliyochuma na mamlaka ya kugawa hyo mali ipo kwa nani?
 
Kisheria mpaka sindano ipite tunduni, ndio tunampiga mawe baada ya ushahidi wa watu 4
 
Awe ndan ya ndoa halafu atumie IVF??
Hilo tifu jipya kabisa
Tifu jipya kwako na mkeo, ila yule mgoni wako anakua amejiokoa, yeye atasema alimuuzia mbegu kwa bei maalum kwenye kichupa, na hakulala nae
 
LMA CAP 29 on 1971

Imeeleza mtu anapo commit adultery lazima mahakama ijilize na ushahidi udhibitishe kuna wanandoa wengine wanaweza kukubaliana mwanamke akazini ili wapate watoto halafu mme anbadilika kwamba ni ugoni hiyo itaangariwa kisheria zaidi kam ni adultery itakuwa refund of bride price inarudishwa after issuing a decree of divorce on ground of adultery.

Hizo ni matrimonial offence hapo ni faini tu itategemea na hakimu kama ni wa kike itabidi amtetee mwanamke kwa hata milioni 50, anakugonga ili heshima iwepo kwahiyo usije ukadhani kitu cha masihala tu. We chepuka tu Ila siku wakikubamba ndo utaelewa SOMO. Hizi sheria ni evidence tu..... Kuna jamaa angu mmoja alifanya hiyo kitu alilipa million 1 bila maswali

Kitu kingine ni right to dameges after enticement hii nikitendo cha kumshawish mwn ndoa aachike zile SMS za mahaba wakati ata sio make wako wakikunasa faini utakayo kutana nayo itakuwa siri yako
Sheria ndo inasema kama ni Hakimu wa kike atamtetea mwanamke??.

Dameges = Damages.
 
Ni kwel mkuu kesi nyngi zipo hivo. Na je katika mazingira hayo, mwanamke anayohaki ya kuchukua milki yyte kwa mumewe anayodai kuwa ni yake au kama sehem ya mali anazogawana na mume wake katika kutengana? Ni wakat gan anaweza kupatiwa sehem ya mali aliyochuma na mamlaka ya kugawa hyo mali ipo kwa nani?
Mkuu hilo sijui likoje kisheria..
 
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
ninaishi nae miaka 2; nasikia ukiishi nae miaka 2; anatambulika kama Mke.
Imekaaje kwenye ili; na ushahidi unakuwaje
 
Anaonesha kunidharau. Kama papuchi nilikuta inaliwa nami nikaichukua jumla ili isiliwe hovyohovyo. Sasa yeye aje tu na kibamia chake ajidai kupenda wake za watu? Lazima na yeye "nimuwowe"!
Kweli umenianzishia siku😀😀😀
 
Back
Top Bottom