Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
hata m pia nimechoka kuisoma nimeishia njiani...SORRY mkuu!!
 
Hiyo ya kuzibua chamber ni muhimu sana, ila hiyo ya kumuua ni muhimu zaidi ili iwe fundisho kwa wengine..
Ukijua kusema haya na wewe ujue kujichunga usitembee na mume wa mtu au mke. Wa mtu.
 
Hongereni wanasheria kwa ufafanuzi japo natamani mfunguke zaidi maana haya mambo ya sheria za ndoa hatuyajui kabisa
 
Sasa ukimpiga jamaa ametembea na mkeo pia anaweza kufunguk lia mashtaka ya jinai ya Kujeruhi!
Kwa mlio owa unaweza ingia kwenye matatizo mara mbili

1. Umechapiwa mke
2. Jamaa kakushtaki umemjruhi na ukafungwa pia.
Maana kumbe vitu venyewe vinahitaji ushahidi wa live.

Kwa hiyo mliochangia happ kuu kuwa mtamdhulu mhusika na yeye anaweza tumia sharia ukaozea jela.
 
Ndio ni Kosa kisheria za Mungu na adhabu yake ni moto tu..
 
Sasa ukimpiga jamaa ametembea na mkeo pia anaweza kufunguk lia mashtaka ya jinai ya Kujeruhi!
Kwa mlio owa unaweza ingia kwenye matatizo mara mbili

1. Umechapiwa mke
2. Jamaa kakushtaki umemjruhi na ukafungwa pia.
Maana kumbe vitu venyewe vinahitaji ushahidi wa live.

Kwa hiyo mliochangia happ kuu kuwa mtamdhulu mhusika na yeye anaweza tumia sharia ukaozea jela.
Kuzibua chemba ndo suluhisho
 
Moja ya hukumu mbaya sana hapa duniani ni visasi
 
MIMI NAFIKIRI ILI KUTHIBITISHA KAMA NI KOSA KISHERIA, MLETA THREAD TEMBEA NA MKE WA MTU NA UKAMATWE, HALAFU UTALETA MREJESHO KAMA NI KOSA LA JINAI/MADAI AU NI RUKSA
 
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
Ikiwa nimezifuma jumbe kwenye simu ya mke/mume wangu zikithibitisha walifanya ugoni, je sio ushahidi huo?
 
Ndugu wasomi wa Sheria,

Naomba kufahamishwa juu ya mada husika hapo juu.

Kama jibu ni ndiyo, adhabu yake ni ipi?


HAKUNA kosa lolote ikiwa washiriki mnaelewa mnachokifanya na kukubaliana kwa dhati. Ndoa ina changamoto yake, kuna wanaume tata wengi wa Dar wanaoa lakini jogoo hawiki, na wanafanya vile kwa sababu hawataki jamii iwashitukie, kivumbi kinakuja pale Mamaa anapotaka kale kamchezo. Mara jamaa atasingizia ohoooo mpaka stimu ipande ngoja nikupige deki na kukushindilia ndizi au dodoki. Mama akishajuwa jamaa yake yuko hivi kwanini asiwe na mtu wa uhakika pembeni kwa ajili ya stimu mwanana tu si ya matunda? Tuacheni hizi Imani potofu, tumepewa ili tupeane.....nawasihi tusinyimane ila tupeane kwa umakini.
 
Me naona upuuzi tu, kwahiyo ukiwakuta wanafanya ndo utapata ushahidi kwa kutumia nini? utawapiga picha wakiwa wamelaliana? Na wao watakuwa bado wanalalana wanakusubiri wewe upige picha! Yani ukutwe unabusiana na mke wa mtu useme sio kosa kisheria? Na kama mtu hata lipa hiyo fine atachukuliwa hatua gani?
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
 
Na je mwanamke akirudi kwao kwa maana yakuacha mji wake na mume na kuamua kujirudisha kwao. Hii haipelekei mume kudai mahali? Au hii si kosa kwa wazazi wa yule binti kukaa na mkr wa mtu?
Mahali= mahari
 
Back
Top Bottom