Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,134
Nami nimejibu sababu ulikuwa unasubiri ,saa yake ufunguo au hujui saa bila funguo hata majira haiwezi kuwa sawa!!!!!
Haya bwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nimejibu sababu ulikuwa unasubiri ,saa yake ufunguo au hujui saa bila funguo hata majira haiwezi kuwa sawa!!!!!
Ndio raha ya kukubalika kwa ma wii!!!
Wala siondoki wii,ng'ombe halemewi na nundu yake.
Sio tu wenye heshima wanafanya , wanafanya wakiwa wazi bila nguo. Lait kuta zingekuwa transparenti mbona wengi tungeshaacha hata kuvaa nguo!!!!!
Umkute sasa yuko hewani halafu mtandao unazingua au salio limekata!!!!!
[/B]Haha haaaaaaaaaa!!!I can imagine!
Sio tu wenye heshima wanafanya , wanafanya wakiwa wazi bila nguo. Lait kuta zingekuwa transparenti mbona wengi tungeshaacha hata kuvaa nguo!!!!!
Umkute sasa yuko hewani halafu mtandao unazingua au salio limekata!!!!!
ndio raha ya kukubalika kwa ma wii!!!
Wala siondoki wii,ng'ombe halemewi na nundu yake.
unakubalika hadi.....
Tembo hashindwi na mkonga wake.....
Ha ha ha ha OLESAIDIMU.. Yaani sehemu pekee inapokata stimu ni pale mnatiririka halafu mtandao unakata.. Inabidi mmalizie kwanza halafu ndo mtafutane tena na kuanza kuwaporomoshea mitusi service providers lol..
Ennie.. do practice this..?
Ulikuwa una tafakari usiku kucha bila shaka? ila usingetoka ili uone mpaka mwisho anafikaje kwenye ZEUTAMUHakika! kwa mimi ni kero, cz amenisababishia nasinzia kazini
Acha janja janja yako wewe unapata picha ya usichokijua?????!!!!!!!Alivyo flow OLESAIDIMU nilipata picha stimu zinavyokata!!!