Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

una recomendation ya women anatomy mzee nifanye ka-assignment kangu..au tuanze na kama sutra original version ya hindus?
Ntaweka link mkuu
 
'' Mathematics is a sacred knowledge''
Hii statement ni kweli mtupu, mi nakumbuka toka shule ya msingi nilikuwa mweupe darasani kwenye kila somo kiasi cha kuamini form four ndo mwisho wangu lakini nilipofika form two nikapata tuition ya hesabu tu, aisee ilinifungua macho sana kwani kidogo nilichojua kwenye hesabu kikanifanya kujua masomo mengi sana mpaka advance nikachagulia kusoma masomo yenye pure math, chuo kwa kutumia maarifa ya hesabu nikapiga fresh bila kutikisika mpaka leo naamini maarifa mengi mapya nayoyapata yanatokana na kuijua math, ngoja nirudi kuendelea kuisoma hesabu kwenye vitabu maana nilijua nimemalizana nayo shuleni.
 
Kuna watu wanaimba tu na wanajenga majumba kilasiku, najua kilichojenga ni pesa na sio hesabu zako mkuu. Otherwise elezea vzr hesabu pekee zilijenga vip?
 
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Kama kwa ajili ya kuelewa somo vitabu, ila kama kujaza makaratasi ndani soma PhD
 
'' Mathematics is a sacred knowledge''
Hii statement ni kweli mtupu, mi nakumbuka toka shule ya msingi nilikuwa mweupe darasani kwenye kila somo kiasi cha kuamini form four ndo mwisho wangu lakini nilipofika form two nikapata tuition ya hesabu tu, aisee ilinifungua macho sana kwani kidogo nilichojua kwenye hesabu kikanifanya kujua masomo mengi sana mpaka advance nikachagulia kusoma masomo yenye pure math, chuo kwa kutumia maarifa ya hesabu nikapiga fresh bila kutikisika mpaka leo naamini maarifa mengi mapya nayoyapata yanatokana na kuijua math, ngoja nirudi kuendelea kuisoma hesabu kwenye vitabu maana nilijua nimemalizana nayo shuleni.
Mathematics is the key of everything
 
Hahaha, mleta mada ni muongo sana probably atakuwa na stress ama kabaniwa kuhitimu masomo yake sasa anamaliza stress.

Mkuu katika jambo ambalo haliwezekani ni kusoma vitabu 400 vya wana mahesabu alafu ukakosa angalau 100 vyakukosoa na kwa nature ya uandishi wako lazima ungekuja kuwakosoa humu humu JF.

Mkuu haihitaji kuwa nguli wa hesabu ili ujenge nyumba 3 kwa mwaka mmoja hii argument yako ni kichekesho sana mkuu.

Jambo lililo wazi ni elimu yoyote inahitaji foundation hauwezi ukaponda shule alafu ukadhani utapata elimu bora sehemu tofauti na shule, kumbuka shule inaweza kuwa sehemu maalumu yenye majengo yake au kutoka kwa kiongozi wako wa maarifa.

Nadhani utakubaliana na mimi kuwa kujifunza na kusoma kunahitaji nidhamu.
hata mimi nimemuona muongo tu.
Halafu kusoma sana vitabu haina uhusiano wowote na mafanikio ya duniani.
Ingekuwa hivyo wakina bakhresa wangesoma vitabu vingi sana hadi wangegeuka wehu.
Haya kuna mtu kama kasheku msukuma hajasoma kabisa hivyo vitabu na anamiliki mabasi.
 
Miaka mitano
5 years ndugu ,sio easy kama unavyoandika
Kusoma mwenyewe sio rahisi kabisa
Kuna vitu vidogo vidogo mfano kutumia scientific calculator kusolve maswali mfano yale ya matrix 4x4 au umepewa equations zaidi ya 3 ambazo zimebeba variables zaidi ya mbili mfano x1,x2,x3 kupata thamani kutumia calculator lazima uwe na mtu atakae kuelekeza mambo ya calculating devices

Hata ishu ya mathematical table kutumia kupata majibu ya distributions tofauti tofauti kama ch-square, normal ,t-distribution, F.distribution, pia kwenye confidence interval bila mwalimu umesanda,. Hapo bado kusoma zile table za non parametric statistics ndio kabisaa utaona madudu

Halafu ishu ya kampuni nyingi wanahitaji mathematician/statistician/data scientist kudeal na large number of data so hata kama unajua hesabu kuliko hao maprofesa hawaangalii hayo maana kwa kichwa huwezi fanya chochote
Ndio maana lazima mtaalamu wa hesabu ajue some statistical parkeges mfano spss, R, stata etc hizo ndio zinazomsaidia kuprocess data nyingi kwa mkupuo .kama hujui inakula kwako
 
5 years ndugu ,sio easy kama unavyoandika
Kusoma mwenyewe sio rahisi kabisa
Kuna vitu vidogo vidogo mfano kutumia scientific calculator kusolve maswali mfano yale ya matrix 4x4 au umepewa equations zaidi ya 3 ambazo zimebeba variables zaidi ya mbili mfano x1,x2,x3 kupata thamani kutumia calculator lazima uwe na mtu atakae kuelekeza mambo ya calculating devices

Hata ishu ya mathematical table kutumia kupata majibu ya distributions tofauti tofauti kama ch-square, normal ,t-distribution, F.distribution, pia kwenye confidence interval bila mwalimu umesanda,. Hapo bado kusoma zile table za non parametric statistics ndio kabisaa utaona madudu

Halafu ishu ya kampuni nyingi wanahitaji mathematician/statistician/data scientist kudeal na large number of data so hata kama unajua hesabu kuliko hao maprofesa hawaangalii hayo maana kwa kichwa huwezi fanya chochote
Ndio maana lazima mtaalamu wa hesabu ajue some statistical parkeges mfano spss, R, stata etc hizo ndio zinazomsaidia kuprocess data nyingi kwa mkupuo .kama hujui inakula kwako
Mimi nimeweza mkuu penye Nia pana njia.. don't forget pia Kuna video nyingi sana tu za mafunzo ya hisabati.
 
Well sa
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Well said
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Wel
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani

Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Well said.
School system gives us the basics and shows the direction. Extensive knowledge is in books through personnel in-depth reading and understanding.
 
hata mimi nimemuona muongo tu.
Halafu kusoma sana vitabu haina uhusiano wowote na mafanikio ya duniani.
Ingekuwa hivyo wakina bakhresa wangesoma vitabu vingi sana hadi wangegeuka wehu.
Haya kuna mtu kama kasheku msukuma hajasoma kabisa hivyo vitabu na anamiliki mabasi.

Jamaa na kusoma kwake vitabu 400 kashindwa kutofautisha kati ya TAALUMA na UJUZI hii inaonesha kabisa wingi wa vitabu sio kuelimika
 
aisee LIKUD umesema kitu cha ajabu mno...Mimi nasoma vitabu kadhaa kwa mwezi labda sita au saba vya page 600-700 aisee najua vitu hadi najiogopa.
ngoja nikupe mfano, kuna bidhaa moja ni chemical nilikua nataka kutengeneza maana niliishtukia inatengenezwa na watu wachache mno na inauzika kikirtimba mno,nikawafata manufacture kama nane tu ndo wapo hapa dar aisee sikuambulia kitu pamoja na offer yangu ya milion na laki tano kwa formula tu

nikaingia online nikapata wahindi flani aisee jamaa wanauza kitabu ila kiukweli kina formula nyingi zenye msaada usd 800,tamaa ikaniingia nikasema hapana siezi toa hela nyingi hv big no,aisee nilihaha online,soma majournal ya chemistry,ingia maforum ya chemistry download vitabu ilinichukua whole week nikawa na formula kama nane ila haziko wazi yaani kama ni percentage wanakwambia 10%-40% wakati mi nataka single digit

nikazinarrow down mpaka nikapata fomula yenyewe aisee nikaingia mzigoni bado changamoto ikawa raw material zinafanya production cost ziwe juu baadae nikairekebisha product moja % yake ndo ikakaa sawa nikaingia sokoni

ningekua mvivu watoto wasingeenda shule,sa hv nina bidhaa 20 za chemical natengeneza na nyingine najua ila sina tu mtaji, sasa basi hapo ni kwenye chemicals nasoma fani nyingine kama sasa hv naanza kusoma electromagnetic sijui kabisa ila nimevutiwa,pia naanza kichina mwakani na nataka nijifunze kuhusu markets and stocks in deep

usisahau nipo vizuri kwenye ujenzi 80%
nipo vizuri biashara na mauzo na utawala 60%
nipo vizuri space and 30%
nipo poa kwenye inteligence

lakini nilisomea architecture...

kusoma nakubaliana na ww LIKUD ni silaha ya hatari sana hulali njaa,sasa hv najikita kusoma vitabu vya kunipa hela tu yaani nakisoma nakigeuza hela

tujitahidi kusoma vitabu
Brother una kitu unakijua! Ungefungua uzi juu ya hizi hustles,naamini kuna kitu tutajifunza
 
Usi ishi kwa kukariri mkuu

Nimekariri wapi mkuu?

Duniani kuna kitu kinaitwa utaratibu hichi ni kitu muhimu sana bahati mbaya nimekutana na mwana mahesabu asiyekifahamu/anayekipuuza.

Wakati msingi wa mahesabu ni taratibu. Mkuu taratibu na ziheshimiwe ndio maana kuna somo la ethics

Nitakupa mfano mwingine rahisi kabisa, mtu kusoma quran au biblia na kukariri swala na sala za dini hizi hakumfanyi kuwa muumini hadi atakapo fanya yafuatayo ama ku silimu, kubatizwa au kuokoka.

Sasa hauwezi kuwa Professional na Expert mpaka upitie mambo fulani fulani ndio maana watu wanakwenda kusoma hizo Masters na PhD
 
Binafsi nakubaliana kabisa na wazo lako mkuu, kimsingi mada si uliyoyapata kulingana na unachokijua ambacho umejifunza kupitia vitabu, Jambo la msingi na la kuzingatia ni kuwa SHULE(degree,Phd nk) pekee havitoshi kumfanya mtu awe na hiyo power anayoihitaji (competent) kwenye Jambo Fulani bali mpaka afanye jitihada za makusudi kujua mambo kiundani, na jitihada hizo ni KUJISOMEA vitabu vingi sana.

Let's try to be positive, tusi attack mfano wako bali tuchukue ushauri kuwa KUJISOMEA ni bora zaidi baada ya KUFUNDISHWA.

Sisi wengine inabidi tuchague maeneo yetu ya ukamilifu (areas of strength) na kujiwekeza huko kutafuta maarifa kama ambavyo mkuu amechagua eneo lake la hesabu.
 
Izo hesabu za advance mpaka PHD level na hivo vitabu 400 ,ulivo soma tu ukaelewa au kun mtu alikufundishaa?
 
Waliosema knowledge is power is true ..aisee at the beginning nilikuwa mvivu Sana wa kusoma lakini baadae nikajikuta nimevutiwa kusoma machapisho mbalimbali hasa ya maarifa ya dini.na kazi ...kwenye dini nikawa interested na hizi abrahamic religions (islam christian and judaism ) ..na zaidi christianity.. honestly ukisoma unajua vitu na inaongeza confidence..kabla nisome nilikuwa na mshaka sana juu ya exploitative nature of christianity ila sikuwa na evidence but now I have got knowledge am free ...nasisitiza Sana watu wasome aisee biblia watu hawaijui hata hawa wachungaji nao hawaijui na historia yake hawaijui ila wanaitumia kukusanyia sadaka za wasiojua biblia...
 
Izo hesabu za advance mpaka PHD level na hivo vitabu 400 ,ulivo soma tu ukaelewa au kun mtu alikufundishaa?
Both . Nilifundishwa plus kusoma mwenyewe. It took me five good years and was studying maths and maths only
 
Binafsi nakubaliana kabisa na wazo lako mkuu, kimsingi mada si uliyoyapata kulingana na unachokijua ambacho umejifunza kupitia vitabu, Jambo la msingi na la kuzingatia ni kuwa SHULE(degree,Phd nk) pekee havitoshi kumfanya mtu awe na hiyo power anayoihitaji (competent) kwenye Jambo Fulani bali mpaka afanye jitihada za makusudi kujua mambo kiundani, na jitihada hizo ni KUJISOMEA vitabu vingi sana.

Let's try to be positive, tusi attack mfano wako bali tuchukue ushauri kuwa KUJISOMEA ni bora zaidi baada ya KUFUNDISHWA.

Sisi wengine inabidi tuchague maeneo yetu ya ukamilifu (areas of strength) na kujiwekeza huko kutafuta maarifa kama ambavyo mkuu amechagua eneo lake la hesabu.
Ur the true son of ur father
 
Back
Top Bottom