Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

Waliosema knowledge is power is true ..aisee at the beginning nilikuwa mvivu Sana wa kusoma lakini baadae nikajikuta nimevutiwa kusoma machapisho mbalimbali hasa ya maarifa ya dini.na kazi ...kwenye dini nikawa interested na hizi abrahamic religions (islam christian and judaism ) ..na zaidi christianity.. honestly ukisoma unajua vitu na inaongeza confidence..kabla nisome nilikuwa na mshaka sana juu ya exploitative nature of christianity ila sikuwa na evidence but now I have got knowledge am free ...nasisitiza Sana watu wasome aisee biblia watu hawaijui hata hawa wachungaji nao hawaijui na historia yake hawaijui ila wanaitumia kukusanyia sadaka za wasiojua biblia...
I agree with u
 
aisee LIKUD umesema kitu cha ajabu mno...Mimi nasoma vitabu kadhaa kwa mwezi labda sita au saba vya page 600-700 aisee najua vitu hadi najiogopa.
ngoja nikupe mfano, kuna bidhaa moja ni chemical nilikua nataka kutengeneza maana niliishtukia inatengenezwa na watu wachache mno na inauzika kikirtimba mno,nikawafata manufacture kama nane tu ndo wapo hapa dar aisee sikuambulia kitu pamoja na offer yangu ya milion na laki tano kwa formula tu

nikaingia online nikapata wahindi flani aisee jamaa wanauza kitabu ila kiukweli kina formula nyingi zenye msaada usd 800,tamaa ikaniingia nikasema hapana siezi toa hela nyingi hv big no,aisee nilihaha online,soma majournal ya chemistry,ingia maforum ya chemistry download vitabu ilinichukua whole week nikawa na formula kama nane ila haziko wazi yaani kama ni percentage wanakwambia 10%-40% wakati mi nataka single digit

nikazinarrow down mpaka nikapata fomula yenyewe aisee nikaingia mzigoni bado changamoto ikawa raw material zinafanya production cost ziwe juu baadae nikairekebisha product moja % yake ndo ikakaa sawa nikaingia sokoni

ningekua mvivu watoto wasingeenda shule,sa hv nina bidhaa 20 za chemical natengeneza na nyingine najua ila sina tu mtaji, sasa basi hapo ni kwenye chemicals nasoma fani nyingine kama sasa hv naanza kusoma electromagnetic sijui kabisa ila nimevutiwa,pia naanza kichina mwakani na nataka nijifunze kuhusu markets and stocks in deep

usisahau nipo vizuri kwenye ujenzi 80%
nipo vizuri biashara na mauzo na utawala 60%
nipo vizuri space and 30%
nipo poa kwenye inteligence

lakini nilisomea architecture...

kusoma nakubaliana na ww LIKUD ni silaha ya hatari sana hulali njaa,sasa hv najikita kusoma vitabu vya kunipa hela tu yaani nakisoma nakigeuza hela

tujitahidi kusoma vitabu
Mkuu kwa nini unasoma electromagnetism ? Ukinijibu nitakusaidia kuielewa halafu ntakuongezea kitu hapa.
Kwa nini architecture haikukulipa, huku mimi nilijutia kukosa hio kozi.
Af umeenda kwenye makemikali, je ulitumia muda vizuri kusoma kitu usichokipenda?
 
A na B yote Ni sawa kwa sababu hata Mimi sijasoma vitabu vya mathematics pekee. Nimesoma pia vitabu vya fields kuanzia " intelligence" ( ujasusi) mpaka female anatomy. In addition to that Kama mwanaume hauja master somo la female anatomy both in theory and practice basi jua kwamba hauna uwezo wa kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani.. uki master somo Hilo linakupa uwezo wa kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe..
Unapata faida gani kumridhisha mwanamke huku wewe ukikosa kuridhishwa?
 
There is no sexual pleasure for a man than to see a woman is sexually satisfied by you.
Vitabu huwa unatoa wapi? Nadhani hata pale udsm au tanganyika libraly hawana kopi 400 za vitabu vya hesabu au pdf mkuu.Naomba unijibu swali langu kwa nini unasoma magnetsm.
Jaribu kusoma na quantum physics, mule ni hesabu tupu physics kidogo sana, una advantage ya kuilewa.ni kitu konki sana inayofikirisha ubongo.
 
Mkuu kwa nini unasoma electromagnetism ? Ukinijibu nitakusaidia kuielewa halafu ntakuongezea kitu hapa.
Kwa nini architecture haikukulipa, huku mimi nilijutia kukosa hio kozi.
Af umeenda kwenye makemikali, je ulitumia muda vizuri kusoma kitu usichokipenda?
Hujajibu hii comment, nitendee haki nimependezwa na andiko lako.
Kuna mtu anaitwa OSHO alisoma vitabu 100000 wazungu walikuwa wanamuogopa kama ukoma,angalia usije ogopwa na watu maana ukisoma sana vitabu utagundua watu ni wajinga sana.
Halafu kuna hatari ya kuwa chizi.
 
Vitabu huwa unatoa wapi? Nadhani hata pale udsm au tanganyika libraly hawana kopi 400 za vitabu vya hesabu au pdf mkuu.Naomba unijibu swali langu kwa nini unasoma magnetsm.
Jaribu kusoma na quantum physics, mule ni hesabu tupu physics kidogo sana, una advantage ya kuilewa.ni kitu konki sana inayofikirisha ubongo.
Asante kwa taarifa
 
Vitabu huwa unatoa wapi? Nadhani hata pale udsm au tanganyika libraly hawana kopi 400 za vitabu vya hesabu au pdf mkuu.Naomba unijibu swali langu kwa nini unasoma magnetsm.
Jaribu kusoma na quantum physics, mule ni hesabu tupu physics kidogo sana, una advantage ya kuilewa.ni kitu konki sana inayofikirisha ubongo.
Vitabu vingine naagiza nje
 
Kijana Tulia.. Hujui Hesabu Bado.. Labda ujue Historia ya Hesabu.
 
Pia ulitumia muda gani. Ulitumia kusoma hivyo vitabu vyote na ukafika hadi level ipi na muongozo ulikuwa ni upi maana unaweza kusoma vitabu 400 lakini ukaishia humo humo kwenye kutafuta maumbo ya pembe tatu/ pythagoras

Wale mathematician wenzangu watanielewa hesabu ni bahari huwezi imaliza ni sawa na mtu kuwa daktari bingwa wa magonjwa yote haiwezekani kabisa haiwezekani.

Mfano kwa level ya degree moja mtaala wa udsm hadi namaliza kwenye differential equations. Tumesoma ordinary halafu tukamaliza na partial differential equations ukitaka advanced differential utaikuta masters huko

Hivyo hivyo probability tulianza level ya chini kabisa probability theory,then distribution 1 tukamaliza na distribution 2 ndio level ya degree ikaishia hapo ,even algebra tuliishia linaer algebra 2.

Nahapo ukitoa core courses 32 tulizozisoma kuna optional course kibao kama 60 kuanzia mwaka wa 1 hadi wa mwisho
Nikuchagia moja unayopenda kuisoma ndio uone hesabu ilivyo msitu kuna courses kama topology, fluid mechanics, mathematical demography, vectors analysis, graphics and electives network, rapid mechanics, survial models, quineng theory, numerical analysis, multivariate elective, stochastic,hyperbolic na nyingine nyingi sikuwahi hata zisoma .

Na pia utuelezee kwenye hiyo level yako umebobea upande gani wa hesabu maana nguli wote wana area of specialization tofauti na sisi wa ngazi ya chini
Mkuu hajui Hesabu Huyo..bhana.. Sijui anazjngumzia historia ya Hesabu huyo.. Differential equations zenyewe kuna ambazo zinanikimbiza.. Kuna Integration.. hapo sijagusa Mchawi Aljebra na Proba za Fourier series!
 
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Kwa hiyo mkuu mahesabu ya kanuni za Fractal itakuwa inaya manya manya sana. Heko!
 
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Nakupa option mkuu.
Hapa ni aliye soma PhD

Harafu hapa ni aliye soma vitabu.

Kazi kwako mkuu
 
Mkuu kwa nini unasoma electromagnetism ? Ukinijibu nitakusaidia kuielewa halafu ntakuongezea kitu hapa.
Kwa nini architecture haikukulipa, huku mimi nilijutia kukosa hio kozi.
Af umeenda kwenye makemikali, je ulitumia muda vizuri kusoma kitu usichokipenda?
Mkuu sijui kabisa electromagnetism lakini katika kusoma kwangu vitabu vingi sana nimegundua ni kitu cha ajabu sana na inawezekana bado sana binadamu hajaijua vizuri hiyo energy, nimegundua vitu vingi sana vya kisasa vilivyo advance msingi wake ni hiyo energy, sasa basi nataka nijue kidogo kuhusu hiyo hasa upande wa usafiri, kuna siri kubwa sana hapo ila lengo langu hasa ni kujua tu nielewe hiyo energy basi!

wakati nasoma architecture ilikua bado inalipa,nilivyoingia mtaani ikabadilika,ikatoka kwenye ma drawing boards to autocad,archcad,chief architect and revit...sasa hapa kikatokea kitu cha ajabu sana kila mtu akawa anaweza kuchora yaani ukiweza kuchora tu floor plan inakuinulia yenyewe kila kitu...

mkuu Architecture haina hela hata mia, hizo kampuni kubwa zote either zimefilisika au wamegeuka consultants na angalau kipindi cha jakaya walipata kazi kidogo ila bro ma architect wengi wanahustle mambo mengine kabisa mkuu..

sio sikuipenda archutecture mkuu mm nilikua naangalia maslahi bro, ile falsafa ya kwamba fanya kazi unayoipenda mi sinaga hizo mastyle..mi nacheki noti tu, machemical nilipata basic kampuni moja hv nilikua mtu wa sales nikajiongeza...mpaka sa hv nadeal na chemicals ila nafanya na ishu nyingine kibao za tofauti kabisa..najenga,nina kampuni kabisa ya ujenzi,nina magazine nzuri tu ya ujenzi,hizo chemicals, yaani nipo flexible sana....
 
Hujajibu hii comment, nitendee haki nimependezwa na andiko lako.
Kuna mtu anaitwa OSHO alisoma vitabu 100000 wazungu walikuwa wanamuogopa kama ukoma,angalia usije ogopwa na watu maana ukisoma sana vitabu utagundua watu ni wajinga sana.
Halafu kuna hatari ya kuwa chizi.
Ngoja nikwambie mkuu, Mimi ni mtu social sana, ni heavy drinker, msosi napiga wa kutosha napata muda wa kupumzika wa kutosha, ila sasa hapa kwenye leisure time ndo huwa sipotezi muda kwa mfano social media ukitoa telegram na jamiiforums hizi nyingine situmii muda sana kama hamna cha maana, kwa hiyo nikiwa kwa mfano bar, kama sina wa kuongea nae naweza soma kitabu cha page 100-150 na kikaisha fresh kabisa na notisi nikahighlight maana simu yangu lazima iwe na kalamu hiyo ni lazma, nikiwa home naangalia sana series mno, ila lazma iwe ya aina yangu, currently naangalia 1. line of duty 2 blacklist 3 Luther 4 Ozark ....hizi naangalia cocurently..nadownload hii
naangalia ikiisha naangalia hii basi inakua burdan..

huezi kuwa chizi kama unajitambua unafanya nn maana kila kitu ukizidisha ni tatizo, mi hata totoz ikikaa sawa nanyoosha tu so sio mtu wa kucomplicate maisha kabisa sema...naumizaga kichwa kwenye hela hapo ndo huwa nafikiriaga kama mwehu...

Nina principle moja rahisi sana, nikiwa naongea na mtu nampima uelewa wake kirahisi, so kama ana uelewa kuliko mm huwa natumia huo mwanya kujifunza kwake ila kama ana uelewa mdogo najishusha nakua kama yeye na maongezi yanakua burdani kabisa..

ujuaji ndo utakufanya watu wakuogope na mbaya wanaweza hata kukuchukia kabisa.
 
Ngoja nikwambie mkuu, Mimi ni mtu social sana, ni heavy drinker, msosi napiga wa kutosha napata muda wa kupumzika wa kutosha, ila sasa hapa kwenye leisure time ndo huwa sipotezi muda kwa mfano social media ukitoa telegram na jamiiforums hizi nyingine situmii muda sana kama hamna cha maana, kwa hiyo nikiwa kwa mfano bar, kama sina wa kuongea nae naweza soma kitabu cha page 100-150 na kikaisha fresh kabisa na notisi nikahighlight maana simu yangu lazima iwe na kalamu hiyo ni lazma, nikiwa home naangalia sana series mno, ila lazma iwe ya aina yangu, currently naangalia 1. line of duty 2 blacklist 3 Luther 4 Ozark ....hizi naangalia cocurently..nadownload hii
naangalia ikiisha naangalia hii basi inakua burdan..

huezi kuwa chizi kama unajitambua unafanya nn maana kila kitu ukizidisha ni tatizo, mi hata totoz ikikaa sawa nanyoosha tu so sio mtu wa kucomplicate maisha kabisa sema...naumizaga kichwa kwenye hela hapo ndo huwa nafikiriaga kama mwehu...

Nina principle moja rahisi sana, nikiwa naongea na mtu nampima uelewa wake kirahisi, so kama ana uelewa kuliko mm huwa natumia huo mwanya kujifunza kwake ila kama ana uelewa mdogo najishusha nakua kama yeye na maongezi yanakua burdani kabisa..

ujuaji ndo utakufanya watu wakuogope na mbaya wanaweza hata kukuchukia kabisa.
Nakutahadharisha tu mkuu. Elimu ikizidi inakuwa janga.
Halafu hakuna chizi anaekubali kuwa yeye ni chizi. Kufanya hayo unayoyafanya hakukufanyi usiwe chizi.
Hata kusoma sana vitabu ni uchizi. Kama unasoma vitabu isivyo kawaida tatari channel zimejata mkuu unahitaji ushauri wa daktari.
 
Mkuu sijui kabisa electromagnetism lakini katika kusoma kwangu vitabu vingi sana nimegundua ni kitu cha ajabu sana na inawezekana bado sana binadamu hajaijua vizuri hiyo energy, nimegundua vitu vingi sana vya kisasa vilivyo advance msingi wake ni hiyo energy, sasa basi nataka nijue kidogo kuhusu hiyo hasa upande wa usafiri, kuna siri kubwa sana hapo ila lengo langu hasa ni kujua tu nielewe hiyo energy basi!

wakati nasoma architecture ilikua bado inalipa,nilivyoingia mtaani ikabadilika,ikatoka kwenye ma drawing boards to autocad,archcad,chief architect and revit...sasa hapa kikatokea kitu cha ajabu sana kila mtu akawa anaweza kuchora yaani ukiweza kuchora tu floor plan inakuinulia yenyewe kila kitu...

mkuu Architecture haina hela hata mia, hizo kampuni kubwa zote either zimefilisika au wamegeuka consultants na angalau kipindi cha jakaya walipata kazi kidogo ila bro ma architect wengi wanahustle mambo mengine kabisa mkuu..

sio sikuipenda archutecture mkuu mm nilikua naangalia maslahi bro, ile falsafa ya kwamba fanya kazi unayoipenda mi sinaga hizo mastyle..mi nacheki noti tu, machemical nilipata basic kampuni moja hv nilikua mtu wa sales nikajiongeza...mpaka sa hv nadeal na chemicals ila nafanya na ishu nyingine kibao za tofauti kabisa..najenga,nina kampuni kabisa ya ujenzi,nina magazine nzuri tu ya ujenzi,hizo chemicals, yaani nipo flexible sana....
Hongera mkuu. Architectute ilikuwa kozi of my dream but nikaangukia course ya ulalamishi kwa serikali.
Kuna mama mmoja marehemu anaitwa Zaha Hadid, naona ameshiriki project kubwa duniani ikiwepo uwanja wa ndege wa China. Sasa inakuwaje dada kama yule aweze kukubalika dunisni na wewe uishie bilabila. Je architecture ni kipaji au elimu au zali.
Unataka kuniambia majengo makubwa kama masoko ya kisasa ya magufuli kina nani wamedizaini, magorofa ya daresalamu hapo nk.
Majengo mazuri ya kisasa yanadizainiwa na lasaba?
 
Nakutahadharisha tu mkuu. Elimu ikizidi inakuwa janga.
Halafu hakuna chizi anaekubali kuwa yeye ni chizi. Kufanya hayo unayoyafanya hakukufanyi usiwe chizi.
Hata kusoma sana vitabu ni uchizi. Kama unasoma vitabu isivyo kawaida tatari channel zimejata mkuu unahitaji ushauri wa daktari.
mkuu unanilazimisha kuwa mm ni chizi anyway nafkiri nimekujibu...ila kama kuna lingine niulize
 
Hongera mkuu. Architectute ilikuwa kozi of my dream but nikaangukia course ya ulalamishi kwa serikali.
Kuna mama mmoja marehemu anaitwa Zaha Hadid, naona ameshiriki project kubwa duniani ikiwepo uwanja wa ndege wa China. Sasa inakuwaje dada kama yule aweze kukubalika dunisni na wewe uishie bilabila. Je architecture ni kipaji au elimu au zali.
Unataka kuniambia majengo makubwa kama masoko ya kisasa ya magufuli kina nani wamedizaini, magorofa ya daresalamu hapo nk.
Majengo mazuri ya kisasa yanadizainiwa na lasaba?
uliza kina suma varma wapo wapi,waliochora ppf tower,kawaangalie Md architect wakina dudley mawala hii miaka mitano ni kama walifunga ofice, zaha ni international architects kupenya ukafika pale sio mchezo ila jua tu architecture bongo ni ishu sana shida ipo kwa clients...
architecture ni kama football au soccer...kuna kipaji kama messi na kuna kipaji na hardworking kama ronaldo...
 
Mimi nasema Bora kusoma vitabu. Kufanya masters/PhD waachie ma academicians au watu ambao bado Wana mindset za kuajiriwa ( kuongeza elimu ili daraja la mshahara lipande) but kama una taka ku acquire the real and true knowledge u must go for reading books. A lot of books...

Mtu anae Soma vitabu vya field husika hawezi kuwa beaten na mtu mwenye masters au PhD ya field hiyo.

Mimi ni mfano hai katika hili..kozi niliyo Soma chuo Ni ' Ngwine" but yrs baada ya kumaliza chuo nilikuwa exposed na information kwamba " Mathematics is a sacred knowledge" and that Mathematics ndio chanzo Cha Kila Kila kitu duniani. Kwamba hata hii dunia tunayo ishi Mimi na wewe ni result ya a mathematical calculation. Kwa ufupi mathematics ndio ufunguo Jambo LOLOTE unalolijua wewe chini ya jua. ( A topic for another day)

Kwamba mtu ambae hajui mathematics" pure mathematics" huyo Ni sawa na mtu ambae anapita duniani Kama kimvuli .

Nili Soma mathematics kwa nguvu zangu zote Kwanza nilianza na kujikumbushia hesabu za msingi " basic " kuanzia form one mpaka form four " na.kuzimasters vizuri then Nikaendelea na Pure Mathematics. Siku ishia hapo nimesoma vitabu zaidi ya Mia nne vya Mathematicians nguli wa dunia hii.. Hakuna Mathematicians yoyote katika sayari hii ambae sijasoma na kumaster mafundisho yake kuanzia Pythagoras et Al..kwa ufupi I am a Mathematics wizard.. Things like Arithmetic , , Geometry and co are a child play for me.



Nimefanya discussion na maprofesa wengi wanao jiita maprofesa wa mathematics wote weupe tu kwangu.. (.nje ya mada vijana someni mathematics, kwa ku master mathematics nimejenga nyumba tatu ndani ya mwaka.mmoja. ) ninafanya kazi na taasisi nyingi kama.mtaalamu wa mathematics.. men i can tell you Kuna utukufu mkubwa sana katika mathematics.

Angalizo: The true knowledge is the one which helps a person in three basic things.

1. To acquire power

2. To maintain power

3. To protect power .

( Kile kikundi Cha Siri Cha watu wanao tajwa kuitawala dunia.hii kina maarifa yenye sifa hizo tatu hapo juu. Kiapo kikubwa kuliko vyote ambavyo members wa kikundi hicho hulishwa ni kuto kutoa Siri za kikundi kwa watu walio nje ya kikundi hata Kama Ni mtoto wako unae mpenda sana kwa sababu hawataki " Power" yao iwe transfered kwa watu wa nje ya kikundi kupitia maarifa hayo ambayo ukiwa nayo Basi hapa duniani utaishi Kama kivuli Cha Mungu.

Hata wachawi humuua mchawi mwenzao ambae atatoa Siri zao kwa watu wengine. Siri za namna wanavyo fanya ili kupata results katika Mambo yao wanayo fanya.

Kama unaenda kufanya masters au PhD halafu at the end of the time una remain kuwa powerless then unatakiwa kufahamu kwamba ulicho kuwa unakifanya ilikuwa ni kugonga Moto unaungua mavuzi

# Hii Ni theory ambayo imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba UKITAKA KUWA MASTER WA JAMBO LOLOTE LILE HAPA DUNIANI, THEN READ EXTENSIVELY AND THOUROUGHLY AT LEAST FOUR HUNDRED BOOKS ABOUT THE THING WHICH YOU WANT TO BE AND WITHOUT A DOUBT U WILL BECOME WHAT U WANT TO BE BECAUSE YOU WILL MASTER ALL THE NECESSARY REQUIREMENTS FOR BEING A MASTER OF WHAT YOU WANT TO BE..


Update: wanaume someni pia kuhusu Female Anatomy. Kama mwanaume haujasoma na kumaster somo la female anatomy both in theory and practice basi kuwa na uhakika kwamba hauwezi kumridhisha kingono mwanamke yoyote yule duniani... Uki masta somo hilo utaweza kuujua mwili wa mwanamke Kama unavyo ujua mwili wako wewe mwenyewe... Huwezi kumridhisha mwanamke kingono bila Kwanza kuujua mwili mwili wake kiundani.
Hivi diamond kasoma vitabu vingapi?
Mark zuckerberg kasoma vingapi?Bakheresa,Msukuma na Fred vunja bei wamesoma vingapi?
Vitabu mia nne! kwa mada moja!hata kama utasoma kitabu kimoja kila siku,utakuwa umesoma vitabu 365 kwa mwaka!
We jamaa uliyoyaeleza hapa yana ukweli?!
Kuna vijana wanafanya IT renovation za kutisha mtaani lakini sio kwa kusoma mavitabu yote hayo.
Kusoma vitabu ni muhimu inategemea unataka ku accomplish nini.
 
vyeti vya kitaaluma ni makaratasi tu jombaa, hata matapeli wanavyo. ndio maana baadhi ya taasisi huwa haziamini katika vyeti bali katika talent na umahiri wako wa kufanya vitu practically vikaonekana.

visa vya vyeti fake ni vingi, kimoja ni cha daktari aliyekuja kushtikwa baada ya kuhudumu kwenye eneo hilo kwa miaka mingi mpaka akawa anawafanyia upasuaji wagonjwa.
Ur fucking kidding man,hata kama kuna watu wanafoji vyeti,uwezi kusema mfumo wa vyeti tuutoe,lazima kuwe na mamlaka zinazopima kiwango Cha uhodari uliofikia,uwezi kusema uende upige story tuuu watu wakupe kusimamia mradi kama wa bwawa la umeme la Nyerere,au udesign power plant kwa kusema tu Mimi nimesoma vitabu vingi!
Lazima watu wajue,shahada umepata wapi,wewe ni graduate engineer,professional engineer,au engineer mshauri.
Kama hujapita kwenye taasisi za Elimu ya juu,huwezi kujua umuhimu wake,
Juzi ulaya walikuwa Wana cerebrate uhodari wa Prof Ndulu katika uchumi,wewe unafikiri alifika hapo kwa kupiga story tu na kujisomea mavitabu akiwa ghetto Kwake?amepitia mifumo rasmi,akapewa kazi kwenye taasisi,akaonyesha maajabu,uprofesa na uhodari hauji hivi hivi tu
 
Back
Top Bottom