Kufanya ngono na kila mwamke anaekatiza mbele yako sio ujanja ni kujitafutia mikosi

Kufanya ngono na kila mwamke anaekatiza mbele yako sio ujanja ni kujitafutia mikosi

Kweli ngono mbaya ila upwiru kwa rijali sio mchezoo

Niko mbeya zaidi ya mwezi na nusu kikazi aah chupa limejaa balaa yataka moyo asee, ngoja tuone.
 
Yaani umetoa mchanganuo mkubwa kama TRA
Ongezea hii

[emoji117] Pesa ya kumuunga bando ili uchati nae kwa amani
2500 per day × siku utakazo muhitaji utataikiwa umuunge kila siku let's say unamuunga kwa week mara 3 na mwez inakuwa 3×4=12, so 2500Tsh×12days =
30, 000Tsh
[emoji117] Pesa ya mafuta(si chini ya 10,000Tsh)
[emoji117] Pesa ya kusukia nywele kila baada ya week mbili (25, 000Tsh)×2 = 50, 000Tsh

[emoji117] pesa ya kubadiri kucha+rangi 10, 000
[emoji117] Pesa ya Hongo, hii uwaga hawasemi ya kazi gani direct na mara nyingi wao huiomba kwa kivuli cha kusema mama anaumwa, njaa, simu imevunjika kioo, kodi imekata, gesi imekata ama uwakope na hawarudishi na maranyingi pesa hii huanzia Tsh.50, 000+

Na hapo bado ile pesa utatakiwa utoe kwa ajili ya kumlainisha mtoke OUT hii huwa kwaajili ya kuyakazia mahusiano na kukazia jambo la kumuhitaji na kumuonesha kuwa unampenda nje ya kukutana kwaajiri ya Kunjunjana+Mizagamuo, hii andaaga 20,000Tsh ya usafiri wake pekee, 30,000Tsh ya kinywaji ama chakula na hakikisha isiwe chini ya 50,000Tsh ili usiaibike ukiletewa menyu yenye misosi gharama.


Kiuhalisia ukipiga Calculation za chapchap hapo kwa mwezi tu ni kama 220, 000.Tsh

Note: hiyo ni nje ya pesa ya kufanya mizagamuo, hii haihuisiki kabisa, kwahiyo mtu asije akaombwa hizi pesa akasahau na zile za kutoa siku za kuzagamuana na Slayqueen wake, hapa ndipo vijana wanaanza kusema wanawake wanapenda pesa.

Huo ni mchanganuo mdogo wa Hongo kwa mwanamke ambapo hiyo itaendana na HADHI ya mwanamke wako, kama ni wale Slayqueen pro max basi izidishe hiyo pesa kulingana na Muonekano wake na uhitaji wake,

Nb: starehe gharama, mnataka starehe na hamna pesa, mtaishia kuumia na kulaani bure, kabla hujamdate mdada hakikisha umejipima uwezo wa kumuhandle, sio unaombwa Buku5 unazima simu, na wengine wanawablock[emoji23][emoji23].

That's nof fair, wajalini wapenzi wenu maana kama majanga mmeyachagua wenyewe, huwezi kumuacha wife material ukamfuata slayqueen kisa ana makalio na muonakano feki wa make-up hapo lazima uumie na utatokwa sana pesa.

Nihitimishe kwa kusema kuwa, Wanaume tutafute sana pesa, tutafute sana pesa na hayo yooote tutazidishiwa.
 
Ujumbe mzuri ,ok

Ila hapo kwenye watoto wamatajiri kuonana na wao kwawao ,masikini umemwonea

Kwasababu ,masikini watakutana sangapi na wapi na hao familia MATAJIRI

Jamani!!!!
 
Hapa Dar es salaam gharama za kukutana na demu moja japo mara moja kwa siku kwenye guest, hiya hapa.

Guest house sh. 20,000.
Ngao. 1000
Usafiri wa bajaji 7000.
Chakula na vinwaji. 12000
Pesa ya kumuaga demu 10,000.

Jumla. 50,000.

Kwa mwezi kama unakutana nae mara 4. Hiyo ni 200,000 hiyo hapo hamna mizinga mingine. Ukiwa na demu watatu ni 600,000 kwa mwezi

Sasa niambie we mtumishi mwenye mshahara wa 800,000 utatoboa je? kwa ngono kama hizo? Kwasabb una bakiza 200,000 kwenye mshahara wako, hizo ndo nuksi zenyewe practical
mkuu ukiwa na pesa na mademu ni vitu vinakwenda sambamba,kama hela yako ni za mawazo huwezi kuwa na mdemu 4 kwa mwezi
 
mwanamke hakuachii baya wala hakuachii zuri lolote ukilala nae...bali uzinzi au uasherati ni dhambi...na dhambi huondoa ukaribu na roho mtakatatifu na yule malaika mlinzi anaetulinda kila siku atakaa mbali nawewe sasa mwisho wa siku zile balaa za kukuepusha haziepushi tena ...unakua mtu wa majanga tu...na vilevile malaika mlinzi hukuonya mara nyingi sana mpaka pale utakapokaidi sasa akiona hubadiriki ndo mibalaa huanza
 
Back
Top Bottom