pale bm kwakweli ni hatari, mara ya mwisho niliingia VIP basi baada ya huduma zote nikapewa bill ya 70, 0000/= nilichoka mwenyewe kwakweli. wamekaa kiujambazi tu kwakweli na kwa vile watu wenye ujiko hapa mjini ile ndio salon yao kwakweli itabidi sasa hivi nihamie saloon za sinza.
si lazima kila wanachokifanya wao na sisi tufanye na si lazima wasichokifanya wao basi na sisi tusifanye. assume tu kwamba na sisi tunauwezo wa kubuni, kama miafrika ni mabingwa wa kuiga mbona hawawaigi waskotish kuvaa sketi?
napenda kujifunza mambo ya masj na scrub nimfanyie mpendwa wangu tunanunua tu vifaa na hizo components nadhani mkiwa na nyumba kubwa mnaweza mkatenga chu,ba kimoja kiwe cha masaji na scrub na kugegedana maana hayo mambo mwisho wake ni mbaya
kwa kweli kabisa, tena ukiingia wanakwambia nafunga mlango hakuna wa kuingia huku maana yake uko kwenye risk area tayari na wadada wengi wa saluni ni kama wameshajilipua
mboo means dushe???
NGOJA NIKASOMEE MASAJI
wengi wana nyaya
nitakutafuta aiseemimi ninaweza kumfanyia mwanamke masaji nilijifunza Azerbaijan. do you me? then I do you.
mimi ninaweza kumfanyia mwanamke masaji nilijifunza Azerbaijan. do you me? then I do you.
mmmmh nahis ugwajiiima hapa
nadhani umeshajibiwa na mkuu Pasco...:smile-big:haya nijalie hoja sasa maana ni kama unatka kusepa
mashhof nakufanyia masaji huku nakuimbia tenzi za rohoni na bwana atakubariki.
mi nikazani scrub hufanyiwa mademu na mashoga,kumbe mpaka masela?