Habari ndugu wadau.Tangu mwaka 1995 tumekuwa tunafanya uchaguzi hewa na kutumia fedha kiasi kikubwa wakati tuna matatizo ya kumwaga.
Sasa naomba tukubaliane kama hatuko tayari kupata katiba mpya na tume huru tusifanye uchaguzi kuwafurahisha wazungu.Tutumie fedha za uchaguzi kutatua changamoto zilizopo kwa sababu haina maana kufanya uchaguzi haramu na kutumia fedha wakati tozo zipo zinataka kututoa roho alafu tujifunze matumizi mazuri ya fedha.
CCM wateue viongozi wote na kazi iendelee.
Hakuna haja ya kupoteza muda na fedha wakuu.
CC: Lema GODBLESS
Sasa naomba tukubaliane kama hatuko tayari kupata katiba mpya na tume huru tusifanye uchaguzi kuwafurahisha wazungu.Tutumie fedha za uchaguzi kutatua changamoto zilizopo kwa sababu haina maana kufanya uchaguzi haramu na kutumia fedha wakati tozo zipo zinataka kututoa roho alafu tujifunze matumizi mazuri ya fedha.
CCM wateue viongozi wote na kazi iendelee.
Hakuna haja ya kupoteza muda na fedha wakuu.
CC: Lema GODBLESS