Kufanyike nini sasa ili Hayati Magufuli achukiwe na wote? Naona waliokuwa wanamchukia wanabaki kuwa walewale

Kufanyike nini sasa ili Hayati Magufuli achukiwe na wote? Naona waliokuwa wanamchukia wanabaki kuwa walewale

Tusifichane,

Imebaki kuwa wale wale wenye chuki na Hayati JPM, tena ni wale wale ambao yeye aliwaita wakwamishaji wa maendeleo ya nchi, na aliwashughurikia kisawasawa

Waliokuwa wakila pesa za walipakodi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa, ndio hao hao wana chuki naye mpaka leo, kwa sababu mirija yao ilizibwa!

Wenzangu na Mimi waiba majina ya watu ili tu waajiriwe bila kupita shule, ndio hao hao wameendelea kumchukia, lakini majuzi kuna rafiki yangu mmoja alimshukuru JPM baada ya yeye kutimliwa akiwa na cheti feki kipindi hiko, aliamua kuingia shule kwa hasira, amehitim majuzijuzi na akaajiriwa idara ya Maji Dawasa, alimshukuru saana JPM kwa kumfanya awe na elimu bora!

Wale waliokuwa wakishirikiana na mabeberu ili kukwamisha ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji na mazungumzo ya wamiliki wa migodi mbalimbali nchini ndio hao kila leo kelele na bahati mbaya wako mpaka huko juu, na ndiyo maana hata mradi huo hauendi utadhani anayekomolewa ni JPM, kumbe tunakomolewa wananchi! Hizo hasira zingine hazifai bhana!!

Mashoga wenyewe wanajulikana, bishara zao walizifanya kwa taaabu mno kiasi kwamba wakaingia kinyongo na JPM

Hata hivyo, Raia wema na wapenda nchi, wote walimwelewa huyu mwamba na bado wako upande wake lije jua au inyeshe Mvua, wataendelea kumtetea kila kunapotokea uhuni!

Na cha kushangaza, hao hao 2025 wataomba kura kwa kutumia jina na mifano yake ya uchapa kazi!
NI WALE WALE ILA NI wengi sana kuliko Wanaompenda

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Iundwe Wizara Maalum ya Kumnanga magufuli ambayo waziri kazi yake itakua ni moja tu kumnanga Magufuli.
 
Tusifichane,

Imebaki kuwa wale wale wenye chuki na Hayati JPM, tena ni wale wale ambao yeye aliwaita wakwamishaji wa maendeleo ya nchi, na aliwashughurikia kisawasawa

Waliokuwa wakila pesa za walipakodi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa, ndio hao hao wana chuki naye mpaka leo, kwa sababu mirija yao ilizibwa!

Wenzangu na Mimi waiba majina ya watu ili tu waajiriwe bila kupita shule, ndio hao hao wameendelea kumchukia, lakini majuzi kuna rafiki yangu mmoja alimshukuru JPM baada ya yeye kutimliwa akiwa na cheti feki kipindi hiko, aliamua kuingia shule kwa hasira, amehitim majuzijuzi na akaajiriwa idara ya Maji Dawasa, alimshukuru saana JPM kwa kumfanya awe na elimu bora!

Wale waliokuwa wakishirikiana na mabeberu ili kukwamisha ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji na mazungumzo ya wamiliki wa migodi mbalimbali nchini ndio hao kila leo kelele na bahati mbaya wako mpaka huko juu, na ndiyo maana hata mradi huo hauendi utadhani anayekomolewa ni JPM, kumbe tunakomolewa wananchi! Hizo hasira zingine hazifai bhana!!

Mashoga wenyewe wanajulikana, bishara zao walizifanya kwa taaabu mno kiasi kwamba wakaingia kinyongo na JPM

Hata hivyo, Raia wema na wapenda nchi, wote walimwelewa huyu mwamba na bado wako upande wake lije jua au inyeshe Mvua, wataendelea kumtetea kila kunapotokea uhuni!

Na cha kushangaza, hao hao 2025 wataomba kura kwa kutumia jina na mifano yake ya uchapa kazi!
Ni mtu mavii tu ndiyo anaweza kumchukia JPM
 
Mnavyomsifu ndivyo hivyohivyo mkubali akinangwa.Tatizo lenu hamtaki wala kupenda akisemwa kwa mabaya yake.Anyway,aungue polepole huko alipo na aangazwe na mwanga mkali hadi umpofue macho.Teh!
Nyumbu mna pambana na marehemu inawasaidia nini kama sio kupoteza muda kijinga.

JPM ukimchukia nikama unachukia ukweli, ukweli hataukiuchukia unabaki kuwa ukwelitu.

Mtapambana na marehem mbaka mnaingia kaburini nakupotea lakini yeye atabaki kuwa mfano wa kiongozi bora katika nchi hii kwa miaka mingi ijayo.
 
Nyumbu mna pambana na marehemu inawasaidia nini kama sio kupoteza muda kijinga.
JPM ukimchukia nikama unachukia ukweli, ukweli hataukiuchukia unabaki kuwa ukwelitu.
Mtapambana na marehem mbaka mnaingia kaburini nakupotea lakini yeye atabaki kuwa mfano wa kiongozi bora katika nchi hii kwa miaka mingi ijayo.
Mifisi mnamsifu "maliyemu" utadhani anawapikia ubwabwa. Mkajilaze kando ya shimo lake alimohifadhiwa.
 
Akifa itakaa poa.Lakini ninyi huu ni muda muafaka mkajilaze pembeni ya shimo lake huku mnajiliza kwa kwikwi.Fuateni ushauri hata dhambi mtafutiwa.
Miongoni mwa wanaotajwa kuwa na chuki na Hayati na wewe umo?

Kwani wewe ni shoga, muuza ngada, jizi' au wewe ni cheti feki au ni ndugu wa hao?
 
Tusifichane,

Imebaki kuwa wale wale wenye chuki na Hayati JPM, tena ni wale wale ambao yeye aliwaita wakwamishaji wa maendeleo ya nchi, na aliwashughurikia kisawasawa

Waliokuwa wakila pesa za walipakodi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa, ndio hao hao wana chuki naye mpaka leo, kwa sababu mirija yao ilizibwa!

Wenzangu na Mimi waiba majina ya watu ili tu waajiriwe bila kupita shule, ndio hao hao wameendelea kumchukia, lakini majuzi kuna rafiki yangu mmoja alimshukuru JPM baada ya yeye kutimliwa akiwa na cheti feki kipindi hiko, aliamua kuingia shule kwa hasira, amehitim majuzijuzi na akaajiriwa idara ya Maji Dawasa, alimshukuru saana JPM kwa kumfanya awe na elimu bora!

Wale waliokuwa wakishirikiana na mabeberu ili kukwamisha ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji na mazungumzo ya wamiliki wa migodi mbalimbali nchini ndio hao kila leo kelele na bahati mbaya wako mpaka huko juu, na ndiyo maana hata mradi huo hauendi utadhani anayekomolewa ni JPM, kumbe tunakomolewa wananchi! Hizo hasira zingine hazifai bhana!!

Mashoga wenyewe wanajulikana, bishara zao walizifanya kwa taaabu mno kiasi kwamba wakaingia kinyongo na JPM

Hata hivyo, Raia wema na wapenda nchi, wote walimwelewa huyu mwamba na bado wako upande wake lije jua au inyeshe Mvua, wataendelea kumtetea kila kunapotokea uhuni!

Na cha kushangaza, hao hao 2025 wataomba kura kwa kutumia jina na mifano yake ya uchapa kazi!
Ili ikusaidie nini kwa huyo marehemu?
 
Wanashindana na kivuli cha Magufuli lakini bado kinawabwaga chini!! Magufuli alipendwa sana na watanzania walio wengi!! Ila kuna sehemu ndogo ya watanzania hasa mafisadi na jamaa zao, wakwepa kodi, na wale waliotaka kuleta ugaidi huko kibiti na rufiji na familia zao, hao kwa kweli hatuwezi kuwalaumu wakimchukia, aliwashughulikia vilivyo ila ni kwa manufaa ya Tanzania!
 
Tusifichane,

Imebaki kuwa wale wale wenye chuki na Hayati JPM, tena ni wale wale ambao yeye aliwaita wakwamishaji wa maendeleo ya nchi, na aliwashughurikia kisawasawa

Waliokuwa wakila pesa za walipakodi Kwa mgongo wa wafanyakazi hewa, ndio hao hao wana chuki naye mpaka leo, kwa sababu mirija yao ilizibwa!

Wenzangu na Mimi waiba majina ya watu ili tu waajiriwe bila kupita shule, ndio hao hao wameendelea kumchukia, lakini majuzi kuna rafiki yangu mmoja alimshukuru JPM baada ya yeye kutimliwa akiwa na cheti feki kipindi hiko, aliamua kuingia shule kwa hasira, amehitim majuzijuzi na akaajiriwa idara ya Maji Dawasa, alimshukuru saana JPM kwa kumfanya awe na elimu bora!

Wale waliokuwa wakishirikiana na mabeberu ili kukwamisha ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji na mazungumzo ya wamiliki wa migodi mbalimbali nchini ndio hao kila leo kelele na bahati mbaya wako mpaka huko juu, na ndiyo maana hata mradi huo hauendi utadhani anayekomolewa ni JPM, kumbe tunakomolewa wananchi! Hizo hasira zingine hazifai bhana!!

Mashoga wenyewe wanajulikana, bishara zao walizifanya kwa taaabu mno kiasi kwamba wakaingia kinyongo na JPM

Hata hivyo, Raia wema na wapenda nchi, wote walimwelewa huyu mwamba na bado wako upande wake lije jua au inyeshe Mvua, wataendelea kumtetea kila kunapotokea uhuni!

Na cha kushangaza, hao hao 2025 wataomba kura kwa kutumia jina na mifano yake ya uchapa kazi!
Sitakaa nisahau ile tr 1.5

Sitakaa nisahau ujenzi wa air port Chato bila kuidhinishwa na bunge (ufisadi) sitakaa nisahau hospital kubwa kuliko kcmc kujengwa porini chato badala hata kujengwa Mwanza jijini.

Sitasahau manunuzi ya ndege bila kuidhinishwa na bunge wala kutangazwa zabuni kama sheria zinavyotaka

Sitasahau watu wanatoa ushauri kuambiwa wanawashwawashwa

Sitasahau maiti za watz wenzetu kuokotwa kwenye sandarusi

Sitasahau watumiaji wa kivuko kigamboni kuambiwa wapige mbizi

Sitasahau watu wa kimara kuvunjiwa nyumba kwamba wamejenga kwenye hifadhi ya barabara lakini wa mwanza ikazuiwa wasivunjiwe ilhali wamejenga eneo la barabara kisa eti ndio waliompigia kura

Sitasahau gharama iliyotumika kununua wapinzani eti wanaunga mkono juhudi

Sitasahau watu kupigwa risasi mchana kweupe kisa ana mawazo tofauti na ya mtawala

Sitasahau wakurugenzi kupewa maagizo eti "nikupe kazi, nikupe gari, nikupe mshahara na nyumba halafu umtangaze mpinzani kashinda huna kazi"

Yapo mengi, kwa leo naishia hapa
 
Wewe hujui nchi hii ukimtukana mwamba unalamba uteuzi? Kalaga baho Mimi sio muda nateuliwa wilaya mpya ya mtovindembwe nakuwa mkurugenzi.
Jerry Muro, sabaya, hapi, na wengineo walipewa ukuu wa wilaya kwa kutukana wapinzani
 
Mkuu, kuna watu humu wanamchukia yeye personally, japo hayupo nasi (rip rip JPM). Wanajua hawawezi kupambana na sera, utendaji kazi wake, uthubutu wake, nk, wanajua hivyo vitawasuta, kwa hiyo kitu rahisi kwao ni kumtukana yeye mwenyewe mchana kutwa usiku kucha. Hao watamchukia mpaka siku wanakufa.
Hakuna wa kumchukia mfu wewe kinachozungumzwa ni matendo yake maovu
 
Back
Top Bottom