Unashaur njia ipi mkuu , mi naona Alibaba nafuu boss? Kama huna mtu aliyeko kule inakuwaje ?Toka korona imeaanza mwaka jana...wafanyabiashara karibu wote hakuna anaekwenda China....kinachofanyika kwa sasa ni kuagiza mizigo bila kusafiri....na kwa hali ilivyo upo uwezokano mwaka huu ukaisha pia...wafanyabiashara wasiweze kusafiri....hata huduma ya viza kwa biashara hakuna....kama una mtu china muombe akusaidie kununua na kutumia....kwa Alibaba sikushauri Sana....bei zao kidogo ziko juu.
Kama una mtu yeyeto alieko China....wasiliana nae akusaidie kununua mzigo...au kukutafutia wauzaji wenye Bei nzuri...Kisha wakutumie....angalia bei za vitu unavyotaka kuagiza Alibaba....alafu pita Kariakoo ulinganishe...changamoto kubwa kwenye biashara ni kuuza....sio kununua.Unashaur njia ipi mkuu , mi naona Alibaba nafuu boss? Kama huna mtu aliyeko kule inakuwaje ?
Hongerasasa hivi huwezi kuja China,ukiachana na corona ,sasa hivi wachina wanafunga maduka na viwanda kwa ajili ya sikukuu yao Chinese new year itakayo anza 12 February.Hadi maduka na viwanda kuanza kufanya kazi ni around march.Lakini pia corona bado inasumbua na wiki ilopita wameweka majina ya nchi 12 ambazo hawawezi pata visa ya China kwa sasa hivi.Kwa Afrika ni Ethiopia pekee,nchi zingine 11 ni za ulaya na Asia.Bado haieleweki hawa jamaa watafungua mipaka lini.Anyway mimi nipo Guangzhou,Yiwu nilikuwa 2 weeks ago soko la Futian.
Mrejesho mkuu!Habari, samahani mimi ni mfanyabiashara mdogo wa accesories kofia miwani na pochi nataka kwnda China ninunue mizigo nije kuuza kwa jumla hasa yiwu lakini sina mwenyeji naomba ushauri? Na je kuna ma agent wakuja kukupokea airport na kukuzungusha af yiwu then unawalipa?
Au kama kuna yeyote anaweza kunisaidia nifanyaje tafadhali sijawahi fika China na sina wa kwenda nae, nmetafuta sana sijapata.
Habari yako mkiu naomba mawasiliano yako, hasa Whatsappvisa ama residence permit unalipia