Kufika Mahakamani ni Haki yetu, si kosa Kisheria

Kufika Mahakamani ni Haki yetu, si kosa Kisheria

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kamanda Muliro na kamanda Sirro mmeonekana mkitoa vitisho kinyume cha sheria:



Vitisho hivi ni vya nini?

Kesho tunakuja kwa amani kusikiliza kesi ya mmoja wetu. Tuna amini kila mtu mkiwamo nyie mtazingatia sheria za nchi.

Tuna hata haja ya kutunishia misuli?

Jambo moja la hakika, hatutakuwa wa mwanzo kurusha ngumi.

----
Kusikiliza kesi mahakamani ni haki ya kisheria na Mahakama haipaswi kuzuia watu kuingia kusikiliza kesi hasa za jinai vinginevyo ikute mahakama imeamua kutokutenda haki na hivyo haitaki ionekane inavyosigina sheria. Kitendo Cha jeahi la Polisi kuingilia Uhuru wa mahakama na jaji mkuu kukaa kimya kinatia doa Uhuru wa mahakama dhidi ya serikali.

Tulitegemea jaji Mkuu kwa kesi ya kesho atoe mwongozo akizingatia umuhimu wa watu kuingia mahakamani. Kukaa kwake kimya na kutokukemea eneo la mahakama kunajisiwa kutapelekea mawakili kesho kuzuiwa kuingia mahakamani na ndugu wa watuhumiwa pia. Mahakama ilipaswa kuwakumbusha polisi kwamba Wana haki yakulinda amani siyo haki yakuingilia mahakama. Katika kutekeleza wajibu huo mahakama ilipaswa kuelekeza wazi kwamba kuingia mahakama kwa mwananchi asiye na silaha Ni haki lakini wapo wapo tu wanasubiri mshahara na maelekezo ya wanna siasa. Unajiuliza walikwenda shule kufanya Nini Kama wanaweza kuhuza Uhuru wao kwa polisi. Nani atawatetea matendaji wa mahakama wakiwemo mawakili ?
 
Kamanda Muliro na kamanda Sirro mmeonekana mkitoa vitisho kinyume cha sheria:

View attachment 1879982

Vitisho hivi ni vya nini?

Kesho tunakuja kwa amani kusikiliza kesi ya mmoja wetu. Tuna amini kila mtu mkiwamo nyie mtazingatia sheria za nchi.

Tuna hata haja ya kutunishia misuli?

Jambo moja la hakika, hatutakuwa wa mwanzo kurusha ngumi.
Ila polisi bana mpaka wapandikize hofu kwa wananchi.wewe una silaha afu mwananchi Hana kitu.
Yaani mpaka mrukeruke tuwaogope bana.

Kwa kuzingatia Sheria gani na huku wewe u rimoti tu.

Waache waende mahakamani wakiandamana kwa amani walindeni.

Ila Askari bana anamnyanyasa masikini mwenzake kwa maslahi ya mkoloni mweusi.

Yaani hauoni kuwa wote hapo mbasomesha Wana wenu kayumba ama.
Na mnavyojazanaga Kota zilivyo chafu ivyo bado unanipiga mie kisa tu jamaa kule atunyonye vizuri.

Shtuka Askari tunatumika ama tunanyonywa
 
Ila polisi bana mpaka wapandikize hofu kwa wananchi.wewe una silaha afu mwananchi Hana kitu.
Yaani mpaka mrukeruke tuwaogope bana.

Kwa kuzingatia Sheria gani na huku wewe u rimoti tu.

Waache waende mahakamani wakiandamana kwa amani walindeni.

Ila Askari bana anamnyanyasa masikini mwenzake kwa maslahi ya mkoloni mweusi.

Yaani hauoni kuwa wote hapo mbasomesha Wana wenu kayumba ama.
Na mnavyojazanaga Kota zilivyo chafu ivyo bado unanipiga mie kisa tu jamaa kule atunyonye vizuri.

Shtuka Askari tunatumika ama tunanyonywa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Wakivaa sare na kushika bunduki wanajiona kama serikali
 
Biti la kuvuta trigger sijui watoa risasi kwa magazine.
Wakati wakitokea jambazi sugu mnajificha.
Kuna muda majambazi sugu wanavamia karibia na kituo Cha polisi wakiondoka ndo mnakuja.


Yaani huwa mnatetea bosi wenu
 
Jeshi la police & jeshi la zimamoto hawawezi kamwe kuchekana
 
Kamanda Muliro na kamanda Sirro mmeonekana mkitoa vitisho kinyume cha sheria:

View attachment 1879982

Vitisho hivi ni vya nini?

Kesho tunakuja kwa amani kusikiliza kesi ya mmoja wetu. Tuna amini kila mtu mkiwamo nyie mtazingatia sheria za nchi.

Tuna hata haja ya kutunishia misuli?

Jambo moja la hakika, hatutakuwa wa mwanzo kurusha ngumi.
Ningekuwa nakujua kwa sura, kesho hapo kisutu aidha ungerudi ukasimlia uwapendao au nawe ungehifadhiwa katika nyumba mojawapo ya serikali.
 
IMG_20210804_202418_547.jpg
 
Jeshi la police & jeshi la zimamoto hawawezi kamwe kuchekana

Wajibu wao ilikuwa kutulinda sisi na mali zetu na kwa hayo wanapewa ujira kutokea kwenye kodi zetu.

Angalia wanacho kifanya. Hata wao wanaridhika kweli na utendaji wao?

Kazi kweli kweli.
 
Biti la kuvuta trigger sijui watoa risasi kwa magazine.
Wakati wakitokea jambazi sugu mnajificha.
Kuna muda majambazi sugu wanavamia karibia na kituo Cha polisi wakiondoka ndo mnakuja.


Yaani huwa mnatetea bosi wenu

Waungwana wanaita - maajabu ya Mussa.
 
Mm nimejipanga. Kisutu lazima niende kesho.....naishia hapa.
 
Mm nimejipanga. Kisutu lazima niende kesho.....naishia hapa.

Wingi wetu na umoja wetu ndiyo silaha na ngao yetu.

Kisutu tunakwenda kwa amani.

Imekaa vizuri. Hayupo wa kutuzuia.
 
Kusikiliza kesi mahakamani ni haki ya kisheria na Mahakama haipaswi kuzuia watu kuingia kusikiliza kesi hasa za jinai vinginevyo ikute mahakama imeamua kutokutenda haki na hivyo haitaki ionekane inavyosigina sheria. Kitendo Cha jeahi la Polisi kuingilia Uhuru wa mahakama na jaji mkuu kukaa kimya kinatia doa Uhuru wa mahakama dhidi ya serikali.

Tulitegemea jaji Mkuu kwa kesi ya kesho atoe mwongozo akizingatia umuhimu wa watu kuingia mahakamani. Kukaa kwake kimya na kutokukemea eneo la mahakama kunajisiwa kutapelekea mawakili kesho kuzuiwa kuingia mahakamani na ndugu wa watuhumiwa pia. Mahakama ilipaswa kuwakumbusha polisi kwamba Wana haki yakulinda amani siyo haki yakuingilia mahakama.

Katika kutekeleza wajibu huo mahakama ilipaswa kuelekeza wazi kwamba kuingia mahakama kwa mwananchi asiye na silaha Ni haki lakini wapo wapo tu wanasubiri mshahara na maelekezo ya wanna siasa. Unajiuliza walikwenda shule kufanya Nini Kama wanaweza kuhuza Uhuru wao kwa polisi. Nani atawatetea matendaji wa mahakama wakiwemo mawakili ?
 
Mkuu unaongea ukiwa wapi isjekuwa upo Namtumbo huko af unawaingiza kingi wenzako
 
Back
Top Bottom